Hello guys,what's up?
here is another divine workable Idea! to be done on 06th April 2013 at City Harvest Auditorium, Victoria service Station 1st floor, mabibo Garage along Mandela road from 08-1230pm
here is what mean with it;
“A special divine social, spiritual and intellectual based morning feast through which all ready and willing Tanzania gospel singers (ready on board and those who are in-process of coming) and all other stakeholders from all strata and diversities will mingle together for soul, mind and body foods, in order to be STRONG in all spheres of life, for the sake of improving our servant hood, our focus and efficiency in serving and manifesting the Kingdom of God in Tanzania and in the Universe. Hopefully this event will serve singers to be impacted, motivated, inspired and challenged to think bigger. Moreover it will help them to familiarize, socialize, and strategize more on how to build a better united, focused future oriented powerful Gospel family in Tanzania, East Africa and Africa which dwell in Gospel Standards!”
Hope all Gospel Musician will be there!!!
Tchaoooooo!
CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
Papaa On Tuesday....Siri Za Makosa Yetu Zinazogharimu Furaha Kwenye Maisha Yetu (2)(Hali Hii Itaendelea Mpaka Lini)??
Tunakila Sababu Ya Kumshukuru Mungu Kwa ajili ya Wakenya Kuamua Kiongozi ya Taifa lao ambapo Uhuru Kenyatta anakuwa Rais wa Nne wa Nchi hiyo, Kati ya Marais Wanne Watatu Wakikuyu na Mmoja Moi ndo alikuwa M-Karamajong kama alivyo Makamu wa Rais Wa Sasa Wa Nchi hiyo. Miaka ya Nyuma iliwahi sikika Kiongozi mmoja either kwa Kejeri ama hasira kuwa "Kenya Itatawaliwa na Wakikuyu Tu". Ninamtafuta Mzee Wa Upako Antony Lusekelo alitabiri "Raila Odinga" atashinda ili nimsikie atasema juu ya haya yaliyotokea nchini Kenya. Niwapongeze sana Wakenya.
Wiki Chache Zilizopita nikiwa ninatazama Tv nilimsikia Mzee Wa Upako Akihubiri, nikatega sikio Kumsikiliza kwa sisi watu wa habari Watu Kama Mzee Wa Upako hatutakosa la Kujifunza ama Kulidadisi katika mahubiri yake maana yeye ni Mzee Wa Transformer kazi kubwa ni kulipua mabomu. Juzi wakati anaongea alitoa mfano ambao nimekuwa nikiusikia mara nyingi na hata Mhe. Vicky Kamata Kuna wimbo wa kuhusu "Kuku" ametumia mfano huo huo aliotoa Mzee Wa Upako. Mfano huo unasema kulikuwa
I APPRECIATE THIS LEVEL OF COMPOSITION....Here is the Lyrics of the song "WHEN A WOMAN LOVES"By R.Kelly!!
"When A Woman Loves"
When a woman loves
She, she loves for real
When a woman loves
She, she, she loves for real
She took me back
After I broke my heart
When a woman loves
She, she loves for real
When a woman loves
She, she, she loves for real
She took me back
After I broke my heart
Papaa On Tuesday......Usitukane Wakunga Wakati Uzazi Ungalipo
Ninakila sababu ya Kumshukuru Mungu kwa siku ya leo kwa kuweza kunipa nafasi hii muhimu kuongea na Marafiki kwa njia hii ya Fasihi Andishi. Wakati Tukisubiri Matokeo Ya Uchaguzi Kenya Basi Ipo haja ya Kujifunza Kutoka kwa wenzetu katika Kile Wanacho Kifanya
Najua wengine ni kizazi cha dot com hapa hawajasoma methali wala hawajui tafsiri zake, lakini wengi pia Watoto wa Mahospitalini utajulia wapi mambo ya maneno kama Wakunga??Leo nataka tuongelee
PUMZIKA KWA AMANI BIBI KALLOVA!!
ALHAMISI JIONI YA WIKI JANA BIBI YANGU MZAA BABA ALITUACHA BAADA YA KUTESEKA KWA MUDA MREFU!
TULIMUAGA NA KUMZIKA JMOS KATIKA MAKABURI YA SEMTEMA-IRINGA!
NINAWASHUKURU WATU WOTE WALIOFANYIKA FARAJA KWETU KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU!
KWA NIABA YA FAMILIA NA UKOO NASEMA AHSANTE SANA NA MUNGU AWABARIKINI NYOTE,AMEN!!
KING CHAVALA!!
TULIMUAGA NA KUMZIKA JMOS KATIKA MAKABURI YA SEMTEMA-IRINGA!
NINAWASHUKURU WATU WOTE WALIOFANYIKA FARAJA KWETU KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU!
KWA NIABA YA FAMILIA NA UKOO NASEMA AHSANTE SANA NA MUNGU AWABARIKINI NYOTE,AMEN!!
KING CHAVALA!!
Papaa On Tuesday...A Way To Go Up Is To Go Down
Niwape pole Watanzania Kwa Msiba Uliotupata kwa ajili ya Padri aliyepigwa risasi kule Visiwani Zanzibar. Wiki Iliyopita niliandika Papaa On Tuesday nikasema Kama hatuwezi Kuziba Ufa Tutaweza Kujenga Ukuta??leo tunashindwa kuwadhibiti watu wachache wanaofanya fujo kutowesha hii amani je kweli kabisa wakifanya fujo nchi nzima hawa ndugu zetu tutaweza kweli wazuia?
Nakumbuka mwaka 2010 tulishuhudia tukio la Ki-historia kuhusu ndugu zetu wa Chile ambao walikaa ardhini kwa muda mrefu lakini hatimaye walifanikiwa kutoka. Katika story ya Chile nimependa story ya Jamaa aliyekuwa ameziba shimo la panya kwa kipande cha mkate na matokeo yake akaharibu. Katika wale waliokuwa ardhini kuna jamaa alikuwa na mke wake na kumbe jamaa pia alikuwa na nyumba ndogo ambayo alikuwa anaihudumia muda mrefu kwa siri. Siku ya kutoka kwenye shimo wanawake wote wawili wakawa wanamijihamu ya kumuona na kuwa nae teh teh yaani unaokoka na mauti tu unafikia kesi. Kuna siku tu ukweli utajulikana kwenye maisha yetu, tutajua chanzo cha vurugu hizi kweli ni uchinjaji ama kuna mengine, tutajua tu kuwa unamwibia mwajiri wako, tutajua tu wewe sio mwaminifu kwenye ndoa yako watu watajua tu wewe sivyo hivyo unavyoonekana.
Kwenye maisha yangu nimejifunza kufanya kazi na watu wengi sana hasa vijana na wanafunzi wakati mwingine watu wazima kabisa. Kuna wakati watu wazima Mitume na Manabii, Wakurugenzi na Wafanyabiashara tumewahi kukaa na kuongea mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa ajili ya huduma
#IMPORTANT TIPS#.....LEARN TO VOLUNTEER!!!
VOLUNTEERING IS NOT "A EASY/LOWLY PAYING EMPLOYMENT' BUT MORE THAN A PLATFORM TO REACH YOUR HIGHER DREAMS!!!!
I do hope that this idea will meet you rightly!!
i have meet very many people with wrong perception over this issue of volunteerism, many are treating it as low wage temporal job...that is why they either don't get those chances or when they got them, they under underperform!!
VOLUNTEERING is a willing will and act of the heart, just to pay-off a certain duration of your time to save others' objectives while gaining from it indirectly!!
Papaa On Tuesday....Leo Hakuna Papaa On Tuesday
Unajisikiaje siku unaamka ukatarajia Jambo liwe kama unavyotarajia kisha unakuta jambo lenyewe halipo kama ulivyolitarajia. Unajisikiaje leo umejiandaa kusoma Papaa On Tuesday ghafla unakutana na heading "Leo Hakuna Papaa On Tuesday" nini kinakuja kwanza kwenye Kichwa Chako??Umewahi sikia ile Sera ya "Utii Pasipo Shuruti" kwa maana ya kwamba hakuna anayekulipa mshahara kwa kazi unayoifanya Hakuna anayekushikia fimbo kuhakikisha unafanya lakini unawajibika kuifanya kazi hiyo kikamilifu sababu kuna watu wanakutegemea ufanye, utajisikiaje pale ambapo siku mtu anasema "kwanza kazi yenyewe silipwi", "Kazi yenyewe nafanya basi tu". Inahitaji Moyo Kufanya kazi kila siku kuandika Papaa On Tuesday pasipo kushurutishwa pasipo kulipwa ili kupitia kile Mungu alichoruhusu kuongea na watu wiki hiyo uweze kukiachilia.
Unavyotaka watu wa kufanyie kwenye maisha basi na wewe unawajibika kwa kipimo kile kile kuwafanyia wao kwanza, inakera sana unapoamka asubuhi watu walikuwa wanahakika utawafanyia jambo fulani kisha unawaambia kuwa lile jambo haliwezekani tena, cha
JIEPUSHE NA MATAPELI WALIOKUBUHU HAPA DSM....IMENITOKEA MM LEO 02/02/2013 KWA MARA YA PILI
Kuna utapeli fulani
unaendelea Tanzania na inaelekea wanaoufanya wamefanikiwa sana na wanaendelea
kufanikiwa kwani ni wa muda mrefu sasa. Nadhani matapeli hawa wanatumia ujinga
wetu maana sisi sio watu wakutafuta sana usahihi wa mambo kabla ya kusema au
kutoa maamuzi, pamoja na ujinga wetu wa kutaka kufanikiwa kwa haraka kwa njia
yeyote ile hata kama hatujafanya kazi na bila kutumia akili. Utapeli huu sio
mwingine bali ni ule wa wale watu wanaompigia mtu simu wakijifanya wanakujua
kabisa na wanaweza hata kukupa some backgrounds zako za kazi, ajira au elimu na
meninge hadi ukashawishika kuwa unayeongea naye ni mtu unayemfahamu/munayefahamiana
na hivyo kutokua na hofu na uhalisia wa anachokuambia. Baada ya hapo wanaanza
kukushawishi juu ya kuwasaidia kupata madawa ya kuhifadhi nafaka kwa madai kuwa
mawakala wao ambo wamekua wakizipata toka kwao wameanza kuleta uswahili hivyo
kwa vile unayeongea naye ndio anahusika na suppy, basi ameona ni vema akutumie
wewe “mpendwa anayekujua” ili angalau upate hiyo commission kubwa ambayo huwapa
ho mawakala na mugawane kidogo. Mara nyingi wanasema wanafanya kazi na shirika
la chakula duniani (FAO) au shirika la wakimbizi duniani (UNHCR) na wako
Kigoma.
Papaa On Tuesday....Mtu Aonavyo Nafsini Mwake Ndivyo Alivyo
Ninakila Sababu ya Kumshukuru Mungu kula Inapoitwa leo kwa ajili ya Upendo wake kwangu kwenye maisha yangu, ninamshukuru Sababu nina ishi vile atakavyo na sio kama watu wengi watakavyo maana kwenye Kiswahili tunajifunza methali inayosema "Miluzi Mingi Inampoteza Mbwa" we unadhani uwongo??we ishi kama watu wanavyotaka nakuambia utapotea sana. Jua kwanini Upo na Unapaswa Kufanya Nini kwenye maisha utafurahia maisha yako.
Kwenye maisha nimekutana na watu wengine walitakiwa kuwa Wanajeshi wamekuwa Viongozi wa dini, nimekutana na watu walitakiwa kuwa Waalimu Kwa sababu mbali mbali wamekuwa Askari wa Barabarani, kuna watu walitakiwa kuwa Askari Magereza wamekuwa wake za Wachungaji kwani we unadhani bongo maisha yana formula??wengi tunafanya kazi ili tupate hela, kuna wacheza movie wengi sana wako maofisini, kuna waandishi wa habari wengi sana wanauza mitumba, kuna wabunifu wengi sana mambo wako sehemu kwa ajili ya
....IF YOU MANAGED TO THINK AND COME OUT WITH AN IDEA THEN TO START IT IS NOT A BIG DEAL....JUST START DOING WHAT IS NEEDED TO BE DONE NOW!!!
FIRST OF ALL I AM VERY GLAD TO BE CHOSEN TO SEE 2013, I BELIEVE I AM HERE FOR A SPECIFIC PURPOSE AND ALLOW ME TO SAY HAPPY NEW YEAR TO YOU!!!!
AFTER SAYING THAT....ALLOW ME TO SHARE A BIT ABOUT WHAT POWER IT TAKES FOR SOMEONE TO COME UP WITH IDEA!!!
In this world we live Nothing is new at all,but we are the one who are new,that is why every time we come across with matter that we have never seen before we become so excited but those matters remain just normal, but in our heads/minds we have different configurations and settings upon everything we come across with and always high attention always catch those matters that we interested most basing on background informations that we have about those issues,and all that we call it MOTIVATION/PASSION....Then the process of our brain to suitably set up those motivations in course of action in our environment, we call it THINKING, this is work involve very many inputs,energy and time and honestly speaking THIS IS THE HARDEST JOB IN THE WORLD BUT THE MOST PAYABLE ONE,and very few people opt to do this!!!
Then after thinking you come out with the product called IDEA, it might be solution oriented or problem based idea but the most important issue to consider is workability of such an idea!!!
THEN THE PROCESS OF THINKING AND COMING OUT WITH A VERY GOOD WORKABLE IDEA IS THE BEST ONE AND INVOLVE ENOUGH OF YOUR BRAIN,then going on to start it is not the big deal at all!!
I have come across very many people with very good ideas(though i am not sure if they have not just copied somewhere) but they remain stacked with thousands of reasons!!...many claim Money to be an issue but i want to tell you that money has never been a problem in this earth but the problem is your seriousness with what you have
...One thing that you need to know is this BELIEVE IN YOURSELF,TRUST YOUR IDEA then CONVINCE PEOPLE TO PUT THEIR HANDS INTO YOUR IDEA!!!
However small the Idea might be just start to do what you can do for the time being!!!
"Everything in this Earth is done by Faith,you need not to see the whole staircase,just start the first step by faith" King Martin Luther
THE POWER THAT YOU HAVE USED TO THINK(IF YOU HAVE DONE THAT) AND COME UP WITH AN IDEA IS TEN TIMES THE ONE NEEDED TO START UP AN IDEA!!
I HAVE ENOUGH EXPERIENCE AND I HAVE ESTABLISHED MANY IDEAS AND UP TO NOW THEY ARE STILL OPERATING SO I AM SURE OF WHAT I AM ADVISING YOU TODAY,YOU DON'T NEED TO BE LIKE SOMEONE SOMEWHERE JUST BE YOURSELF!!
![]() |
| Clown Chavala |
I HAVE NEVER DESPISED ANY IDEA HOWEVER SMALL IT MIGHT BE NOR ABASED ANYONE WITH AN IDEA FOR I KNOW THE BEGINNING OF ANY THING HAS SOME HARDSHIPS!!
So i want to insist once again as i am concluding my wisdom,if you think you have an idea then start working on that idea now!!!
THANK YOU FOR READING!!! I REAL SALUTE ALL PEOPLE WHO HAVE IDEAS,AND I WANT TO ENCOURAGE YOU THAT KEEP ON PRESSING ON MPAKA KIELEWEKE!!! By Chavala President-ChIP +255 713 883 797/+255 753 883 797 FACEBOOK;facebook.com/chavalapf Twitter@kingchavala |
HATIMAYE LAWRANCE NA WEMA NI WACHUMBA RASMI SASA!!
iLIKUWA VIGUMU KIDOGO KUAMINI WAZO HILI HAPO AWALI,LAKINI SASA TUNAPATA KUAMINI KUWA THAT IDEA OF LAWRANCE TO MARRY WEMA IS REAL AND WORKABLE!!
ALL THE BEST MAN!!!
ALL THE BEST MAN!!!
LAWRANCE MWANTIMWA a.k.a GOLIATH ALIYE RAFIKI NA DAUDI KUMVIKA MTU PETE JPILI HII!!!
MAISHA NI SAFARI NDEFU SANA!!
HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE AMEWAHI KUWAZA KESHO YA MWENZIE ITAKUWAJE!
KUNA NYAKATI MTU HUPITA NA KUDHARAULIKA NA KILA MTU NA HATIMAYE SAA YA HESHIMA HUFIKA PIA NA SASA YULE KIJANA ALIYEKUWA SII KITU HAPO KWANZA NA HATA AKAAMUA KUSOMA KWA JUHUDI NA HATIMAYE SASA MUDA UMEFIKA IMEONEKA NA ASIKAE PEKE YAKE,MUNGU AMEMFANYIA MSAIDIZI WAKE!!
MMH JPILI HII ATAKUWA ANAMUWAHI ILI WALE WOTE WALIOKUWA WANAZUNGUSHIA MOTO WACHOMEKE WENYEWE!!
ANAJIITA LAWRANCE THE PRESIDENT AMA MC LAWRANCE MWANTIMWA,ILA MIMI KWANGU NAMUONA GOLIATH ALIYEPATANA NA DAUDI(YAANI BEHIND THE SCENE YA ILE YA BIBLE)
HAYA MKAKA NI IDEA NZURI SANA HIYO NA NDIO MAANA NIMEONA NIIANDIKE HAPA!!....NA MAPEMA TAR 14TH aPRIL ATAFANYA KWELI KABISA HAHAHAHAH!!
IBAADA HII YA KUMVIKA PETE YA UCHUMBA BINTI HUYU,ITAFANYIKA KATIKA KANISA LA CITY HARVEST,DAR-MANDELA RD-GEREJI MAHALI KILIPO KITUO CHA MAFUTA CHA VICTORIA KUANZIA SAA NNE ASUBUHI!!
NANI AJUAYE KUWA BAADA YA NDOA WATU HAWA WATARUDI KUISHI HUKU,MMMH JUST MY WORDS!!
NIKIRIPOTI KUTOKA MOYONI
ni mimi DAUDI MPOLE!!
HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE AMEWAHI KUWAZA KESHO YA MWENZIE ITAKUWAJE!
![]() |
| LAWRANCE MWANTIMWA BY 2007 |
KUNA NYAKATI MTU HUPITA NA KUDHARAULIKA NA KILA MTU NA HATIMAYE SAA YA HESHIMA HUFIKA PIA NA SASA YULE KIJANA ALIYEKUWA SII KITU HAPO KWANZA NA HATA AKAAMUA KUSOMA KWA JUHUDI NA HATIMAYE SASA MUDA UMEFIKA IMEONEKA NA ASIKAE PEKE YAKE,MUNGU AMEMFANYIA MSAIDIZI WAKE!!
![]() |
| GODWIN GONDWE NA LAWRANCE |
ANAJIITA LAWRANCE THE PRESIDENT AMA MC LAWRANCE MWANTIMWA,ILA MIMI KWANGU NAMUONA GOLIATH ALIYEPATANA NA DAUDI(YAANI BEHIND THE SCENE YA ILE YA BIBLE)
HAYA MKAKA NI IDEA NZURI SANA HIYO NA NDIO MAANA NIMEONA NIIANDIKE HAPA!!....NA MAPEMA TAR 14TH aPRIL ATAFANYA KWELI KABISA HAHAHAHAH!!
IBAADA HII YA KUMVIKA PETE YA UCHUMBA BINTI HUYU,ITAFANYIKA KATIKA KANISA LA CITY HARVEST,DAR-MANDELA RD-GEREJI MAHALI KILIPO KITUO CHA MAFUTA CHA VICTORIA KUANZIA SAA NNE ASUBUHI!!
![]() |
| WEMA MUNISI |
NIKIRIPOTI KUTOKA MOYONI
ni mimi DAUDI MPOLE!!
Papaa On Tuesday........Everyone Has A Story....Its a Matter Of Time
Ninawasalimu Kupitia Jina la Bwana Wangu Yesu Kristo siku hii Ya Leo. Nimatumaini Yangu Ya Kuwa wewe ni Mzima na Unaendelea Vema na Shughuli za Ujenzi Wa Taifa. Mwenzi January leo tunaugawa nusu kwa nusu ndio mwaka 2013 umeanza na kasi yake. Ninajua ni mwezi ambao kama unatafuta kukopa hela basi ujue unahitaji kuwa na vyanzo vya uhakika visivyopungua 15 maana ni mwezi ambao majority ya maisha ya kawaida ya Mtanzania tupo kwenye kuishiwa maana kwetu kujifunza kuwa kila mwezi january ni mwezi mgumu ni zoezi linalohitaji kugeuzwa nia. Kwa maombi maalum ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Vya Dar-es-Salaam, nimelazimika kufanya mwendelezo wa Papaa On Tuesday niliyoandika Mwaka Jana.
WOKOVU WETU SIO SABABU YA INJILI YA VITISHO BALI SABABU YA UPENDO WA MUNGU TU KWETU!!!
Inawezekana mtu uliokokoka baada ya kutishiwa au kutishwa na mwingine mkumbo ma labda mwingine aliumwa sana sana mpaka akakaribia kufa hivyo namna pekee ya kuwa salama ilikuwa ni wokovu,lakini sisi wengine hususani mimi na my PS tumeokoka kwasababu ya Neema yake tu!!
MIMI NAWEZA NIKAWA sina USHUHUDA KAMA WAKO ILA MIMI MWENYEWE NI USHUHUDA HAI UNAOISHI!
Leo nilipata bahati ya kuongea na my PS na nikagundua kuwa somehow tunashare track ya wokovu wetu,maana wakati anatamani kumtumikia Mungu bado alikuwa kama vile haamini au haelewi vile lakini siku moja alimwambia Mungu natamani niamke kuomba lakini kila siku naamamka kumeshakucha sasa nataka kesho uniamshe saa kumi alfajiri ili nikaombe....na basi MyPS akalala na alikuwa peke yake chumbani...na jambo la kushangaza...usiku sana aliguswa mkono kwa ishara ya kuamshwa(ni kama vile mtu alimuamsha kihalisia),na kwasababu alijua amelala peke yake na hakumwambia mtu yeyote amuamshe isipokuwa Mungu tu basi aliamka kwa mshtuko mkubwa sana huku moyo ukimwenda mbio na alipoangalia kote hakuona mtu na alipoangalia tu saa ilikuwa saa kumi kamili juu ya alama,aliogopa sana na kuanza kulia tu na kwenda kanisani kuomba na hapo ndipo alipothibitisha kuwa Mungu yupo na anamsikia na tangu hapo hata sasa Upendo wa Mungu ndio wimbo wa hekima wa my PS.
Na hata mimi nakumbuka wokovu wangu haukuwa sababu ya injili ya vitisho,bali upendo waMungu tu!!
NAWEZA KUWA SIFANYI VEMA SAAANA AU MY PS HAFAANYI VEMA SAAANA BUT WHAT I KNOW FOR SURE IS THAT WE LOVE GOD AND HE LOVES US SOOOOOO MUCH!!!
BLESSED YOU ALL!!
Papaa On Tuesday.....Jipya Litoke Wapi Kwa Mwaka Mpya, Watu Wale Wale, Fikra Zile Zile Matokeo Yale Yale
Ninawasalimu rafiki zangu wote tulio ndani na nje ya Tanzania nimatumaini yangu kuwa tumeuanza mwaka 2013 kwa amani kabisa. Nami na team yangu nzima ya Utendaji Tunawatakia Happy New Year.
Mwaka 2013 umeanza kwa kasi sana juzi tu hapa tumesherekea mwaka Mpya Ghafla leo tarehe 8, nexr week nikiandika tayari katikati ya mwezi maisha yanasonga na siku zinasonga na mwaka utaisha tutaingia 2014.
Kati ya maneno ambayo watu wengi wanayo anaoanza kupanga mipango utasikia "mwakani nataka nianze kusoma" au "Mwakani nataka Nianze Kulima" mwingine ukumuuliza swali tu atakuambia Mwakani, utadhani mwakani huwa haifiki, Mwakani na Kesho vinapishana kidogo sana. Ukimwambia mtu tuonane lini anakuambia "kesho", au hela yangu unanilipa lini anajibu "kesho", ama ukienda maofisini kufatilia documents utasikia Njoo Kesho, Njoo Kesho ikianza hutaamini wengi huwa wanadhani Kesho iko mbali, Kesho haiko Mbali kama Mwakani ilivyo karibu.
Mwaka 2013 umeanza kwa kasi sana juzi tu hapa tumesherekea mwaka Mpya Ghafla leo tarehe 8, nexr week nikiandika tayari katikati ya mwezi maisha yanasonga na siku zinasonga na mwaka utaisha tutaingia 2014.
Kati ya maneno ambayo watu wengi wanayo anaoanza kupanga mipango utasikia "mwakani nataka nianze kusoma" au "Mwakani nataka Nianze Kulima" mwingine ukumuuliza swali tu atakuambia Mwakani, utadhani mwakani huwa haifiki, Mwakani na Kesho vinapishana kidogo sana. Ukimwambia mtu tuonane lini anakuambia "kesho", au hela yangu unanilipa lini anajibu "kesho", ama ukienda maofisini kufatilia documents utasikia Njoo Kesho, Njoo Kesho ikianza hutaamini wengi huwa wanadhani Kesho iko mbali, Kesho haiko Mbali kama Mwakani ilivyo karibu.
Mwaka 2013 ndio huu umeshaingia kwa sasa yale uliyosema Mwakani sasa Mwaka ndo umeshaingia umejipangaje kutilimiliza uliyo yakusudia??kama bado una mawazo yale yale, fikra zile zile, mtazamo ule ule basi usitegemee tofauti na mwaka jana, nini kipya unacho unadhani kinaweza kukusababishia ukafanya jambo la tofauti??wengi wetu tumepanga mipango kwa ajili ya mwaka 2013 lakini ukitazama kwa kina mipango ya mwaka 2013 mingi inafanana na ile ile ya mwaka 2012 ni kama Ume Copy, Ume Edit na Ku Copy, kile ulichofanya mwaka jana ndio mwaka huu utafanya tena vile vile Jipya utakuwa umelipata wapi??Kwani umeona tofauti yoyote kwako kati ya tarehe 31 Dec, na tarehe 01 Jan, zote ziko vile vile kama Njaa iliuma kama jana, kama usingizi ulikushika kama jana, hakuna jipya linalotokea mwaka unapoanza mpya kiasi kwamba ukaamini kuna nguvu ya utendaji inakushukia kuanzia tarehe 01 January ambayo hiyo itakufanya wewe kuwa noma kuliko mwaka uliopita, mawazo uliyo nayo ni yale yale, mtazamo ni ule ule Jipya litatoka wapi??
Kuna mwandishi mmoja wa Vitabu aliwahi sema Huwezi Fanya zaidi ya Kile Unachokiwaza ama Kijua, kufanya jambo ambalo hujawahi kuwaza ana kutokulijua linaingia katika Category ya Miujiza, sababu Muujiza ni jambo ambalo hukuwahi kuwaza kuliweza ama kulipata na likakupata kwa njia ya ajabu, unless 2013 uamue kuishi kwa njia ya miujiza miujiza ndio utakuwa na matokeo mengi sana tofauti. Hata kama Umetabiriwa kwenye nyumba ya ibada kuwa mwaka 2013 wewe utakuwa unatisha funika sana haitakuwa kwako kama hautaamua kuwa na fikra mpya, Kama mawazo yako uliyonayo ndiyo yamekufikisha hapo Ulipo Kwanini Usibadilishe taarifa ulizo nazo ili uweze kufika mbalia, badilisha aina ya marafiki ulio nao, badilisha aina ya nguo ulizo nazo, badilisha aina ya taarifa ulizonazo katika ubongo, ikiwezekana badilisha hata sehemu ya kufanyia kazi, ikiwezekana develop tabia za kimaendeleo kwa afya ya akili yako. Huwezi kuwa na mawazo yale yale na fikra ile ile iliyokufikisha hapo ulipo kisha ukategemea mwaka 2013 ukafanya wonders.
Kama unayoyajua yamekufanya umefika hapo ulipo kuna mambo mawili lazima ujue yatakutokea ukiendelea kuwa na mawazo hayo hayo, kwanza lazima ujue utabaki kama ulivyo kama hautaamua kubadilika ama utapitwa na wakati sababu mawazo uliyokuwa unatumia mwaka 2012 ni mawazo ya mwaka 2011 kama ambavyo uko 2013 unatumia mawazo ya mwaka 2012. Yamkini mwaka 2013 uko kwenye season yako, kila mtu anakutafuta wewe, kama umaarufu umekujongea tayari, kama ni fedha zinazidi kukufuata jua jambo moja ukiwa na mawazo yale yale na fikra zile zile watu watasema hauna Jipya. Na kweli Jipya utakuwa umelipata wapi wakati unawaza wale wale unafanya yale yale kisha watu watakuchoka na kukukimbia.
Think Differently and Make A Difference.
Papaa Ze Blogger
Tel. 0713 494110
Twitter: Sasalijr
Facebook: Samuel Sasali
Email: samsasali@yahoo.com
HERE THE 1st MODE CALANDER FOR 2013,YOU CAN HAVE IT IF YOU NEED!!!!
HERE IS MY GIFT TO ALL WHO WISH TO RECEIVE THIS GIFT!!!
IF YOU NEED IT(THIS ONE OR OTHER VERSIONS) JUST ORDER NOW 0713883797
HAPPY NEW YEAR 2013!!!
FoF KUFUNGA MWAKA NA "FOF EXTRAVAGANZA" NDANI YA MAKUMBUSHO 07/12/2012!!!
IKIWA NI SEASON YA PILI SASA, FOF WAMEAMUA KUMALIZA MWAKA NA EXTRAVAGANZA, IDEA IKIWA NI KUWAKUSANYA ARTIST WOTE WALIWAHI KUSHIRIKI KWENYE FOF NA HIVYO KUWA NA WAKATI WA KUMSHUKURU MUNGU PAMOJA NA KUAGANA MPAKA MWAKANI TENA APENDAPO BWANA!!
HUTAKIWI KUKOSA HII,JUST BUY YOUT TICKET NOW!!
NA UKINUNUA TIKETI 4 UNAPATA TSHRT BUREEE!!
NI 15,000 TU NA NI NDANI YA MAKUMBUSHO KUANZIA JIONI YETU MPAKA KARIBU NA SIKU MPYA VILE...YAANI HAPO ATAKUWEPO FLORA MBASHA,CHRISTINA SHUSHO,GLORIOUS CELEBRATION,CALVARY BAND,MC PILIPILI NA WENGINE WENGI,JONGEA MAPEMAAA!!!
PROSPER MWAKITALIMA ADHAMIRIA KUOKOA ROHO NYINGI SANA KUJA KWA YESU KILA TAR 23TH NOVEMBER,KWASABABU NDIYO SIKU YAKE YA KUZALIWA MARA YA TATU!!!
THIS IS SPECIAL MESSAGE/WISDOM FROM MY PS
TAR 23TH NOVEMBER, NILIKUWA SINGIDA MJINI KWA MWALIKO WA MY PS, NA HUKO KULIKUWA NA KITU KILICHOKUWA KINAITWA "SINGIDA YOUTHS AND STUDENTS FESTIVAL" KATIKA TAMASHA HILI AMBAKO HABARI NJEMA ZILIHUBIRIWA AMA KUWASILISHWA NA WATUMISHI WA MUNGU KATIKA MSINDIKIZO MKUBWA WA BURUDANI ZA KIKRISTO KAMA VILE SEBENE,COMEDY NA BURUDANI KADHA WA KADHA, KIUKWELI USIKU HUO ULIKUWA WA TOFAUTI KWANI ZAIDI YA WATU 300 WALIMPA YESU MAISHA!!!
SASA TUKIWA NA MUDA KIDOGO KANDO NA MY PS,ALINIAMBIA AMEAHIRISHA HILI TUKIO MARA TATU NA ALIKUWA HAJUI NI KWANINI NA BAADAE NDIO AKAGUNDUA KUWA EVENT HII IMEANGUKIA TAREHE AMBAYO MWAKA JANA ALIPATA AJALI MBAYA SANA NA HIVYO KUPONA(KUZALIWA MARA YA TATU), NA TANGU HAPO AMEDHAMIRIA KUFANYA MATUKIO MAKUBWA KILA MWAKA TAREHE KAMA HIYO(23 NOVEMBER) KATIKA KUADHIMISHA USHUHUDA HUO MKUBWA!!!
KWELI HILI LILINICHANGAMOTISHA SANA NA KWA KUWA NAMPENDA SANA MY PS,NIKAJIAMBIA MOYONI,MIMI NI NANI HATA NISIWASHIRIKISHE WENZANGU HEKIMA AU USHUHUDA HUU?
(NA GOOD ENOUGH NI KUWA TAREHE 23 YA KILA MAY NDIO BIRTHDAY YANGU...DAH YAANI)
WELL SAID MY PS AND I WISH YOU ALL THE BEST!!!
TAR 23TH NOVEMBER, NILIKUWA SINGIDA MJINI KWA MWALIKO WA MY PS, NA HUKO KULIKUWA NA KITU KILICHOKUWA KINAITWA "SINGIDA YOUTHS AND STUDENTS FESTIVAL" KATIKA TAMASHA HILI AMBAKO HABARI NJEMA ZILIHUBIRIWA AMA KUWASILISHWA NA WATUMISHI WA MUNGU KATIKA MSINDIKIZO MKUBWA WA BURUDANI ZA KIKRISTO KAMA VILE SEBENE,COMEDY NA BURUDANI KADHA WA KADHA, KIUKWELI USIKU HUO ULIKUWA WA TOFAUTI KWANI ZAIDI YA WATU 300 WALIMPA YESU MAISHA!!!
SASA TUKIWA NA MUDA KIDOGO KANDO NA MY PS,ALINIAMBIA AMEAHIRISHA HILI TUKIO MARA TATU NA ALIKUWA HAJUI NI KWANINI NA BAADAE NDIO AKAGUNDUA KUWA EVENT HII IMEANGUKIA TAREHE AMBAYO MWAKA JANA ALIPATA AJALI MBAYA SANA NA HIVYO KUPONA(KUZALIWA MARA YA TATU), NA TANGU HAPO AMEDHAMIRIA KUFANYA MATUKIO MAKUBWA KILA MWAKA TAREHE KAMA HIYO(23 NOVEMBER) KATIKA KUADHIMISHA USHUHUDA HUO MKUBWA!!!KWELI HILI LILINICHANGAMOTISHA SANA NA KWA KUWA NAMPENDA SANA MY PS,NIKAJIAMBIA MOYONI,MIMI NI NANI HATA NISIWASHIRIKISHE WENZANGU HEKIMA AU USHUHUDA HUU?
(NA GOOD ENOUGH NI KUWA TAREHE 23 YA KILA MAY NDIO BIRTHDAY YANGU...DAH YAANI)
WELL SAID MY PS AND I WISH YOU ALL THE BEST!!!
Subscribe to:
Posts (Atom)













