CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

......COOMING SOON ON THIS BLOG!!!!


THIS SEGMENT WILL BE PUBLISHED WEEKLY AND ITS CONTENTS WILL BE REAL LIFE EXPERIENCES THAT WILL DEEM IMPORTANT TO BE SHARED TO YOU ALL, AFTER EVERY MEETING THAT I WILL HAVE WITH MY PS...PROSPER MWAKITALIMA!!!

ZOOMING ZONE OOO2...Na ROSE MUSHI

 Shalom!
Leo katika kioo changu naomba nimzungumzie dada mmoja mrembo ninaemheshimu na kumpenda sana, na si yeye tu bali na kila kitu alichonacho na anachofanya!!
ROSE MUSHI .....The Author!! 

(An Economist by profession, Public Motivational Speaker, Entrepreneur, Author of Various Books Including, Why should you wait,What makes a Lady Attractive, Brothers In Relationships, and Keys to Academic Excellence)
Rose ni binti wa kichaga, mzuri, aliyeokoka na kumpenda Mungu sana, May 30 ndio tarehe aliyozaliwa (Ukweli ni kuwa watu tuliozaliwa May ni watu wa kipekee)
Rose amekulia hapa nchini Tanzania na kimsingi alisoma ASHIRA GIRLS, Marangu Kilimanjaro kabla ya kujiunga na Kitivo cha Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam!

Amekuwa kiongozi mara nyingi sana katika ngazi mbalimbali za kukua kwake, lakini zaidi nimemfahamu akiwa chuo kikuu cha Dsm, na wakati huo alikuwa ni kiongozi wa TAFES na alikuwa Mwimbaji mmoja mzuri sana, wakati huo na kundi lao la Annointed Girls!
Hakuna ambaye angeweza kudhani kuwa Rose atakuja kuwa Bonge la International Minister wakati huo kwa jinsi alivyokuwa mpole na mnyenyekevu sana!.....Lakini alakwata sasa wale waliomfahamu hapo kwanza wanatamani kama japo wangepiga nae tu picha hapo kale lakini hakuna nafasi hiyo tena!!


Rose alihitimu 2010 na baada ya hapo akaamua kutoa muda wake kufanya kazi katika ofisi za KKKT Dayosis ya Mashariki na Pwani(Idara ya Uchumi) na baadae akapewa kusimamia mradi wa uanzishaji wa Benki ya Dayosisi hiyo, ambayo mpaka sasa anasimamia mradi huo!!


Zaidi ya kazi za Ofisini, Rose amekuwa akifanya Semina ama kualikwa kama mzungumzaji katika semina mbalimbali za neno la Mungu, nyingi zenye mlengo wa kuwafundisha vijana, hususani mabinti kujielewa na kujitambua thamani zao, maana wengi wao hupoteza mwelekeo kabisa wanapoingia kwenye mahusiano!!!
Rose mushi ni mwandishi mzuri sana wa Vitabu na mpaka sasa ameshaandika vitabu sita na bado anaendelea, ni mwimbaji mzuri na Dada ambaye amekataa kuchezewa na mtu awaye yeyote yule baada ya kutambua thamani yake mpaka hapo atakopoolewa!!

HER FAVORITE QUOTES;

"You can not be mistaken for a pauper if you dress like a prince and you can not be mistaken for a prostitute if you dress like a princess..people see who you are before they have to hear what you say.

A beauty body is not enough to qualify a girl to be a wife..but a beauty mind-beauty character should be added.."




UKWELI NI KUWA DADA HUYU NI SHUJAA NA MFANO MZURI WA KUIGWA NA VIJANA WA KITANZANIA NA AFRICA HUSUSANI MABINTI!!!
 (King Chavala,the Blogger and Rose Mushi)

UJASIRI, KUJIAMINI , AKILI NA UZURI WAKE BILA KUSAHAU UCHAJI WA MUNGU NDANI YAKE, NDIVYO VILIVYONIPA UJASIRI WA KUM-ZOOM LEO ILI KILA MTU AJUE KUWA BINTI HUYU NI WA KUIGWA!!!!


NEVER HATE....APPRECIATE!!!!


+255-713-883 797/lacs.project@gmail.com
(Andika kama una swali au maoni....unaweza tu ku-comment post hii kama ukiwa member wa blog hii,karibu sana)

(c)Zooming Zone'2012  
Haki zote zimehifadhiwa na Chavala,The King!!