CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

FoF KUFUNGA MWAKA NA "FOF EXTRAVAGANZA" NDANI YA MAKUMBUSHO 07/12/2012!!!

IKIWA NI SEASON YA PILI SASA, FOF WAMEAMUA KUMALIZA MWAKA NA EXTRAVAGANZA, IDEA IKIWA NI KUWAKUSANYA ARTIST WOTE WALIWAHI KUSHIRIKI KWENYE FOF NA HIVYO KUWA NA WAKATI WA KUMSHUKURU MUNGU PAMOJA NA KUAGANA MPAKA MWAKANI TENA APENDAPO BWANA!!
HUTAKIWI KUKOSA HII,JUST BUY YOUT TICKET NOW!!
NA UKINUNUA TIKETI 4 UNAPATA TSHRT BUREEE!!
NI 15,000 TU NA NI NDANI YA MAKUMBUSHO KUANZIA JIONI YETU MPAKA KARIBU NA SIKU MPYA VILE...YAANI HAPO ATAKUWEPO FLORA MBASHA,CHRISTINA SHUSHO,GLORIOUS CELEBRATION,CALVARY BAND,MC PILIPILI NA WENGINE WENGI,JONGEA MAPEMAAA!!!

PROSPER MWAKITALIMA ADHAMIRIA KUOKOA ROHO NYINGI SANA KUJA KWA YESU KILA TAR 23TH NOVEMBER,KWASABABU NDIYO SIKU YAKE YA KUZALIWA MARA YA TATU!!!

THIS IS SPECIAL MESSAGE/WISDOM FROM MY PS
TAR 23TH NOVEMBER, NILIKUWA SINGIDA MJINI KWA MWALIKO WA MY PS, NA HUKO KULIKUWA NA KITU KILICHOKUWA KINAITWA "SINGIDA YOUTHS AND STUDENTS FESTIVAL" KATIKA TAMASHA HILI AMBAKO HABARI NJEMA ZILIHUBIRIWA AMA KUWASILISHWA NA WATUMISHI WA MUNGU KATIKA MSINDIKIZO MKUBWA WA BURUDANI ZA KIKRISTO KAMA VILE SEBENE,COMEDY NA BURUDANI KADHA WA KADHA, KIUKWELI USIKU HUO ULIKUWA WA TOFAUTI KWANI ZAIDI YA WATU 300 WALIMPA YESU MAISHA!!!
SASA TUKIWA NA MUDA KIDOGO KANDO NA MY PS,ALINIAMBIA AMEAHIRISHA HILI TUKIO MARA TATU NA ALIKUWA HAJUI NI KWANINI NA BAADAE NDIO AKAGUNDUA KUWA EVENT HII IMEANGUKIA TAREHE AMBAYO MWAKA JANA ALIPATA AJALI MBAYA SANA NA HIVYO KUPONA(KUZALIWA MARA YA TATU), NA TANGU HAPO AMEDHAMIRIA KUFANYA MATUKIO MAKUBWA KILA MWAKA TAREHE KAMA HIYO(23 NOVEMBER) KATIKA KUADHIMISHA USHUHUDA HUO MKUBWA!!!

KWELI HILI LILINICHANGAMOTISHA SANA NA KWA KUWA NAMPENDA SANA MY PS,NIKAJIAMBIA MOYONI,MIMI NI NANI HATA NISIWASHIRIKISHE WENZANGU HEKIMA AU USHUHUDA HUU?
(NA GOOD ENOUGH NI KUWA TAREHE 23 YA KILA MAY NDIO BIRTHDAY YANGU...DAH YAANI)
WELL SAID MY PS AND I WISH YOU ALL THE BEST!!!

Papaa On Tuesday.....Kuelimika ni Kubadilika, Ujinga ni Kuamua

Zikiwa zimebaki siku 16 kabla ya Event Ya Friends On Friday Funga Mwaka yenye Jina la Extravaganza kufanyika pale Makumbusho, ninayo haja ya Kumshukuru Mungu kwa ajili ya Ulinzi wake, kipindi hiki cha Msimu wa Campus Night na shughuli zingine za Kijamii na Kitumishi nimekuwa nikitembea angani na barabarani lakini Mungu amekuwa Mlinzi Kwangu. Sina budi ya kusema asante kwa Mungu kwa Uzima na Afya na uwezo wa Kuwakilisha Papaa On Tuesday Kila inapofika siku ya Leo.

Tarehe 17 January, 2012 niliandika Papaa On Tuesday yenye heading Lile Ninalotaka Kulifanya Silifanyi, Nisilotaka Kulifanya Ndilo Ninalolifanya gonga hapa kama Hukusoma....http://samsasali.blogspot.com/2012/01/papaa-on-tuesdaylile-ninalotaka.html.
Mwaka wakati unaanza nilitoa tahadhari ya kuwa pamoja ya kuwa na Mikakati tuwe waangalifu maana yale tunayoyapanga mengi hatutayafanya. Jichunguze mambo mangapi ulipanga mwaka huu umeyafanya ukiacha yale yaliyoibuka tu na kukwamisha mipango yako ya mwaka huu. Zimebaki siku arobaini na moja (41) mwaka huu kumalizika jiulize swali kuna ulilofanya la kujivunia??




Ninakumbuka Miaka hiyo ya zamani wakati nasoma Makongo High School alikuwepo Mwalimu anaitwa "Kombaha" mwalimu huyu alikuwa na msemo aliokuwa anapenda sana kuusema tukiwa darasani hasa mwanafunzi anapokosea/misbehave alikuwa anasema "Mambo Huanzia Nyumbani". Siku moja nilimuuliza Mwalimu tukiwa Nje ya darasa maana hasa ya Msemo wake huo akanijibu "Ukimuona Mtu ameonesha tabia fulani mbaya basi jua alikuwa nayo tangu zamani sema ailikuwa haijapata nafasi, mabadiliko yoyote ambayo mtu anataka kuyafanya katika maisha lazima aanze na yeye mwenyewe, aanze na familia yake ndipo wengine watafuata" siku mwelewa mwalimu yule kutokana na Ufahamu wangu ulivyokuwa nyakati zile. Mabadiliko ya kweli huanza na mtu mwenyewe ndipo wengine watafuata. Pastor Carlos aliwahi sema "Huwezi waambia Watu Yesu anabadilisha Wakati wewe Mwenyewe hujabadilika". Kizazi chetu kina changamoto kubwa sana ya ku-deal na tatizo badala ya Ku-deal na chanzo cha tatizo hasa yale matatizo yanayotuhusu sisi wenyewe.





Sisi ni Kizazi kinachojua tatizo ni nini, na suluhisho ni nini, lakini hatutaki kufuata suluhisho linalotupasa kufanya halafu tunataka mabadiliko yawe chanya kana kwamba tumetumia njia inayotupasa kuifuata. Kizazi hiki kina jua kabisa Ukifanya jambo fulani matokeo yake ni fulani, lakini tunataka kutumia njia ile ile mbaya halafu tupate matokeo mazuri. Sisi ni kizazi kinachojua kabisa Ukifanya ngono zembe matokeo yake ni magonjwa ya Kuambukiza ama Mimba, lakini ajabu watu wanafanya ngono zembe halafu wanategemea kabisa magonjwa yasiwepo na wala mimba zisiwepo ndio maana vikitokea unakuta mtu anachanganyikiwa yaani ukimuuliza huyu mtu alikuwa hajui matokeo??atakuambia anajua sasa ajabu alitaka kutumia njia mbaya kumpa matokeo mazuri. Sisi ni Kizazi kinachojua kabisa usipoweka akiba ya fedha kwenye maisha yako utakuwa hauna maendeleo pamoja na kujua hayo yote sisi ndio watu tunaoongoza kwa kutumia fedha vibaya, sio wanafunzi, sio vijana sio watu wazima, kuna watu wanapata fedha kila iitwapo leo lakini hakuna cha maana anachofanya kwenye maisha ukimuuliza fedha zako unazifanyiaga nini cha maana utakuta hakuna cha maana anachofanya na fedha hizo.





Kuna mambo kadha wa kadha ambayo tunajua tusipoyafanya tutapata mabadiliko mazuri lakini mwisho wasiku tunaishia kufanya hayo hayo. Watu wanaofanya diet wanajua kabisa wakila Kitimoto na vyakula Vya Mafuta watazidi kunenepa, ajabu hiyo hiyo Diet aliyojipangia inamshinda. Wenye Vitambi wanawake kwa Wanaume na wale wanene wanajua kabisa ukifanya nini kwa Ukamilifu Kitambi kinapungua within a short time lakini ajabu hatufanyi, Wanafunzi wanajua kabisa Ukijiandaa tangu shule ama chuo kinafunguliwa hautakomaa kusoma siku za Mitihani lakini ajabu siku zingine zote mtu anatazama Movie mitihani ikiianza tu unamuona mtu ndo anaanza kusoma. Sisi ndio Kizazi ambacho mtu anajua anatakiwa kulipa Kodi ya nyumba mwenzi December, lakini miezi yote anakula hela zake ikifika kipindi cha Kodi ya Nyumba ndo anaanza Kukopa ili kulipa Kodi ya Nyumba, Sisi ndio Kizazi ambacho Kinamchagua Mgombea ambaye anatoa rushwa ili akatusaidie kumaliza tatizo la rushwa, sisi ndio Kizazi ambacho chombo kinachohusika kuchunguza Watoa Rushwa na Wala Rushwa kinapokea Rushwa ili kuwakinga wala rushwa, sisi ndio Kizazi ambacho Washauri Wa Mambo ya Ndoa za wengine Zikitaka Kustawi zinatakiwa ziwe vipi wakati za Kwao zinawashinda Kuziboresha, sisi ndo Kizazi ambacho Watu Unao Waamini ndio Wanaokusaliti, sisi ndio Kizazi ambacho timu zetu Simba na Yanga tunajua Tatizo ni Viongozi lakini Tunamfukuza Kocha. Sisi ni Kizazi Kinachojua madhara ya Sigala lakini tukaamua kuvuta.




Ni rahisi kuwasaidia wengine kuliko kijisaidia mwenyewe, ni rahisi kuwafokea wengine wanapokosea lakini tukasahau na sisi tunakosea, ni rahisi kuwanyoshea wengine vidole kwa mambo wanayokosea na kusahau sisi pia tunakosea. Matatizo mengi ya Msingi hatuko serious kuyatatua hata kama tunajua hiki tunachokifanya ni cha muda tu, siku za nyuma niliwahi andika Usizibe Shimo La Panya Kwa Kipande Cha Mkate..http://samsasali.blogspot.com/2011/10/papaa-on-tuesdayunaziba-tundu-la-panya.html. Wengi wa wanaoenda kuomba ushauri sehemu fulani mara nyingi sana huomba ushauri pasipo kueleza kiini hasa ila kasehemu tu ka kiini, unajikuta tatizo unalo deal nalo silo hasa linalopelekea tatizo kuwepo tabia hii imepenya kwenye Jamii yetu la kuto ku deal na tatizo la Msingi, tangu zamani tulipokuwa wadogo wazazi walitumia fimbo kutukataza mambo waliyokuwa hawayapendi kilichotokea walitujaza hofu ya kufanya mbele zao wengine fimbo ziliwasaidia wengine ziliwasaidia namna ya kubadilisha mbinu mbadala ili wasichapwe. Kufundishika ni Kubadilika huwezi kusema umeelewa wakati hujabadilika.




Mtu mwenye kuonesha kuwa amelielewa tatizo na ufumbuzi wake basi ni yule anayeamua kubadilika kueleka  kwenye maendeleo. Haitakusaidia kujua suluhu ya jambo kisha usifanye kwa faida yako na Jamii yako niliwahi andika kwenye Papaa On  Tuesday kuwa "Thawabu Ya Mtendaji, Haifanani na Msemaji" gonga hapa...http://samsasali.blogspot.com/2011/01/papaa-on-tuesdaythawabu-ya-mtendaji-wa.html. Mambo huanzia nyumbani, mabadiliko ni Mchakato, lakini ni mchakato wenye nidhamu pia. hakuna jambo baya kwenye maisha kama "Kuchukuliwa" ukisikia watu wanasema "tunakuchukulia sana" ujue wameshakuchoka sema ndo hivyo hawana namna. Inawezekana wamejitahidi kukusaidia wameona hausaidiki waka opt kukuchukulia kama mzigo ambao Mungu amewapa kwenye maisha. Kwenye ndo usipende kuchukuliwa ni ishara mbaya sana kwenye kizazi chetu, kwenye Jamii usiwe mtu wa kuchukuliwa. Kama unajua jambo fulani ukilikomalia utapata matokeo mazuri kwanini usilikomalie. Discipline ya kwenye maisha ni kitu cha msingi sana otherwise tutajua rushwa ni adui wa haki na sisi tutaendelea kutoa na kupokea, sisi tutajua kabisa ukifanya jambo A utakuwa na madhara ya afya lakini watu watasema "nimeshindwa kujizuia". Kujifunza ni Kubadilika Ujinga ni Kuamua. Mambo Huanzia Nyumbani.
Think Differently Make A Difference.
Papaa
0713 494110.

"News of VICTORY international Magazine" issue no.4 IS COOOMING OUT SOON!!!

THIS IS A NEW CHRISTIAN MAGAZINE, THAT IS BEEN RELEASED IN INTERVAL OF TWO TO THREE MONTHS AND HERE IS COVER OF THE NEXT ISSUE!!!
YOU CAN OPT TO LEARN DIFFERENT ARTICLES FROM DIFFERENT MINISTERS OF GOD AS WELL AS ADVERTISE WITH IT!!
THE MAGAZINE IS AVAILABLE IN ALMOST ALL CITIES OF TANZANIA!!!

FOR MORE INFO, PLEASE CALL +255 655 271 144

JE UNGEPENDA KUSHIRIKI ONGEA NA JANET TV TALK SHOW?? WAKATI NDIO HUU UNAKARIBISHWA SANA!!!!

ONGEA NA JANET SHOW NDANI CHAVALA IDEAS PLATFORM
HABARI NJEMA KWA WAPENZI WA CLOUDS TV, DSTV NA ONGEA NA JANET SHOW!!
KWA YEYOTE ANAYEPENDA KUSHIRIKI MOJA KWA MOJA KATIKA RECORDING YA VIPINDI HIVYO MUALIKO UKO WAZI KWA KILA MTANZANIA MWENYE AKILI TIMAMU BILA KUJALI RANGI, DINI WALA KABILA!!!
IKIWA UNAWEZA KUONGEA,KUCHEKA,KUPIGA MAKOFI,KUULIZA MASWALI NA KUCHANGIA MAADA ITAKAYOKUWA MEZANI SAA HIYO BASI WEWE NI MTU WA MUHIMU SANA!!
USILAZE DAMU AMUA KUSHIRIKI SASA, RECORDING ITAFANYIKA JUMATATU, JUMANNE NA JUMATANO PALE LION HOTEL, SINZA KIJIWENI,BARABARA YA TANDALE KUANZIA SAA NNE ASUBUHI MPAKA KUMI JIONI!!
(KILA SIKU ZITAREKODIWA SHOW NNE...MBILI KATI YA SAA NNE MPAKA SABA NA BAADA YA LUNCH MBILI ZINGINE)
HAKUNA KIINGILIO KAMA UKITAKA KUSHIRIKI, MUHIMU NI KUTHIBITISHA MAPEMA KUWA UTAHUDHURIA LINI NA UTHIBITISHO HUO MWISHO NI JPILI SITA USIKU!!!
WEWE TUMA TU UJUMBE WENYE JINA LAKO KUWENDA NAMBARI UZIONAZO HAPO JUU!!

ANGALIZO;
MAADA ZITATUMWA KWA WALE TU WATAKAOTHIBITISHWA KUSHIRIKI NA KUMBUKA WAANDAAJI WANASHIKIRIA HAKI YA KUMZUIA MTU YEYOTE KUSHIRIKI IKIWA ATAZINGATIA MISINGI NA KANUNI ZA KIPINDI!!!

KAMA MPAKA HAPA HUJAELEWA BASI ULIZA SASA KUPITIA
0713 883797

MC/COMEDIAN CHAVALA ASHERESHA BOTTLE PARTY(WELCOME FRESHERS) YA KILIMANJARO KWA MAFANIKIO MAKUBWA SANA!!!

HABARI ZENU!!
MC CHAVALA
KING CHAVALA
MWISHONI MWA WIKI ILIYOISHA, NAMAANISHA NOV 9, NILIBAHATIKA KUWEPO MKOANI KILIMANJARO KATIKA MKESHA MAALUM WA KUWAKARIBISHA FIRST YEARS NA WENGINE WANAORUDI KUENDELEA NA MASOMO YAO, LAKINI PIA MKESHA HUO ULIKUWA NA MALENGO KUTANGAZA RASMI MAANDALIZI YA CAMPUS NIGHT YA KILIMANJARO INAYOTARAJIWA KUWA KATIKATI YA JANUARY!!
BOTTLE PARTY HII ILIANDALIWA NA KUDHAMINIWA NA KANISA LINALOJISHUGHURISHA SANA NA VIJANA KATIKA MANISPAA YA MOSHI NALO SI LINGINE BALI NI "MANA TERBANACLE BIBLE CHURCH(MTBC) LILILOKO MAENEO YA KWA ALPHONCE UNAPOELEKEA KB.
COMEDIAN CHAVALA leading The Song "Tukue"
KATIKA PARTY HII VYUO MBALIMBALI VYA MOSHI MJINI VILIWAKILISHWA NA WANAFUNZI PAMOJA NA WALIMU WAO NA PIA VIJANA WASOMI TOKA MITAANI PIA WALIKUWEPO.
President Chavala motivating
KULIKUWA NA IBAADA YA KUSIFU NA KUABUDU YA NGUVU IKIONGOZWA NA MTBC PRAISE TEAM NA KWAYA ZA MUCCOBS NA KCMC PAMOJA NA WAIMBAJI BINAFSI KUTOKA VYUONI,


PIA KULIKUWA DRAMA, STAND UP COMEDY(BY KING CHAVALA);DANCE NA SPECIAL RELATIONSHIP AND LOVE AFFAIRS INTERVIEW, AMBAYO ILIONGOGWA NA MC CHAVALA NA COUPLE MBILI, MOJA YA MCHUNGAJI MR&MRS DICKSON MTALITINYA NA MR&MRS MSOKWA!!!
MC CHAVALA WITH MR&MRS D. MTALITINYA DURING THE LIVE INTERVIEW
MBALI NA HAYO YOTE KULIKUWA NA NYAMA CHOMA,CHIPS,VYAPATI,CHAI,KAHAWA, SODA NA VINGINE VINGI VIFAAVYO KWA PARTY!!!
HAKIKA ULIKUWA WAKATI MZURI SANA!!
NILIFURAHI SANA KUPATA FURSA HII NA ZAIDI HESHIMA NA KIBALI CHA KIPEE KWA MKOA WA KILIMANJARO!
MC CHAVALA WITH CHRISTIAN FASHION MODELS
JUMAMOSI NILIBAHATIKA KUPATA LUNCH UHURU HOTEL,HII NI HOTELI YA KISASA YA KKKT, IKO MAENEO YA SHUNT TOWN NA JIONI NIKAWA ZOMBA HOTEL, KWA LENGO LA KUWAPONGEZA VIJANA WALIOHITIMU KCMC NA MMOJAWAO ALIKUWA NI DENNIS KAPINGA.
NEEMA SHOO & KING CHAVALA
NILIBAHATIKA KUWA INTERVIEW NA KILIMANJARO FM JUMAPILI ASUBUHI NA BAADAE NIKAELEA ARUSHA KWA MAJUKUMU MENGINE YA KIKAZI,KITUME NA KIMAPUMZIKO!!!



MC CHAVALA DOING MODELLING
AHSANTENI SANA MARAFIKI NA WOTE KWA MAOMBI YENU, SAFARI BADO INAENDELEA!!!

HAPPY BIRTHDAY SAMUEL SASALI a.k.a Papaa Ze Blogger!!!

 CHAVALA IDEAS PLATFORM NA WAFANYAKAZI WAKE WOTE WANAYO FURAHA YA PEKEE KWA AJILI YA RAFIKI, KAKA NA MSHAURI PAPAA, KWA KUSHEREKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA LEO!!!
TUNAJISIKIA VIZURI SANA NA TUNAKUTAKIA MAISHA MAREFU YENYE FANAKA NA BARAKA ILI UZIDI KUATHIRI ULUIMWENGU WAKO KATIKA MTAZAMO CHANYA!!!
TUNATAMBUA PIA MCHANGO WAKO KATIKA JAMII KUPITIA VIPAJI VYAKO MBALIMBALI...TUMEFARIJIKA KUWA UMEANZA KUANDIKA KATIKA KATIKA BLOG HII KILA JUMANNE(PAPAA ON TUESDAY)

“The people who get on in this world are the people who get up and look for the circumstances they want, and, if they can't find them, make them. ”


 “Life at its noblest leaves mere happiness far behind; and indeed cannnot endure it.... Happiness is not the object of life: life has no object: it is an end in itself; and courage consists in the readiness to sacrifice happiness for an intenser quality of life.”


 “Life is no brief candle to me. It is a sort of splendid torch which I am permitted to hold for the moment, and I want to make it burn as brightly as possible before handing it on to future generations.”


“If you have an apple and I have an apple and we exchange apples then you and I will still each have one apple. But if you have an idea and I have an idea and we exchange these ideas, then each of us will have two ideas.”
George Bernard Shaw (1856-1950);
Playwright, Nobel Prize Winner


MUCH LOVE BROTHER!!!

Fredy Chavala
President-Chavala Ideas Platform 
Dsm

Papaa On Tuesday......Shida Haina Mjuzi Wala Mwenyewe......Think Positive



Ikiwa imebaki siku moja iwe tarehe 14 Novermber kusheherekea siku yangu ya Kuzaliwa na kuhitimisha Mwaka wangu wa mwisho kabisa kuwa Single ili niweze kuingia katika Next Level ya Uandishi wa Papaa On Tuesday, sababu ninajua kila level ya maisha ina mtazamo wake wa kiufahamu katika kutazama mambo mbalimbali yanavyoendelea mtu anayefanya biashara kama angekuwa anaandika Papaa On Tuesday uandishi wake ungekuwa unatofautiana sana na yule anayefanya kazi za Ofisi, Mchungaji angekuwa anatofautiana sana Daktari vivyo hivyo Single na Mtu mwenye familia piga ua kuna namna tunatofautiana tunavyo experience maisha. I am so excited ninapoitazama Season 2 ya Uandishi wa Papaa On Tuesday.

Maisha tunayoishi na miaka tuliyonayo kila mtu analo neno la kusema kabisa kuwa kuna hatua amepiga na kuna mahali ametoka kwenda mahala pengine. Kupitia mashauri ya wazazi ana wazee na watu wazima na elimu tunayoisoma shuleni na mafundisho ya dini tunayosikia kila tunapokwenda katika nyumba za ibada yanatuelekeza namna ya kukabiliana na Changamoto mbalimbali katika maisha. Na katika maelekezo ama mafunzo haya yamkini huwa tunajiaminisha kuwa tumeelewa kabisa kile ambacho tunatakiwa kukifanya katika maisha. Kama kuna jambo halijawahi kukupata ni rahisi sana kukosoa na kuwacheka ama kumcheka yule linayemshinda ukijiaminisha kuwa either ni lege lege ama anajidekeza wazungu wakasema "experience is a good teacher" kwenye makala zangu za Papaa On Tuesday mwenzi june kuwa Usitukane Wakunga wakati Uzazi Ungalipo gonga hapa kama haukuwa umesoma...http://samsasali.blogspot.com/2012/06/papaa-on-tuesdayusitukane-wakunga.html. Jambo linapokuwa limekupata basi unajikuta masomo yale yote uliyojifunza kukabiliana na jambo ama shida yanapokuwa yanapotea na practically unaanza kukabiliana na hiyo Changamoto.
Shida haina mjuzi wala haina mwenyewe kuna nyakati tumekuwa tukijiuliza WHY ME??WHY ME Always??na kudhani shida ni zetu peke yetu na dunia nzima hawana shida kama sisi, na wakati mwingine tumeona kama kipimo cha shida za wengine ni kidogo kama sio chepesi kuliko tulichopimiwa sisi zinapotukabili na kuona wengine wana ujuzi nazo na wanaweza kuzikabili kuliko sisi tunavyoweza kuzikabili, nyakati zingine tumedhani maumbile yetu yamesababisha tupate shida tulizo nazo, wengine wanadhani wangekuwa na maumbile kama akina fulani leo hii wangekuwa wako mbali, wengine wanalaumu rangi walizonazo na kuona Mungu alikosea, wengine wanalaumu ukoo walio zaliwa wengine wanalaumu elimu walizozipata na kuzikosa na kudhani kama wangekuwa kama fulani basi shida zao zingetatulika kirahisi sana sana. Kuna siku Niliwahi andika laiti kama Mioyo ingekuwa ya Vioo gonga hapa usome...http://samsasali.blogspot.com/2011/07/papaa-on-tuesdaylaiti-kama-mioyo.html kuwa wengine wamenyamaza unadhani wao ni wajuzi wa shida walizonazo na wao hawana shida kuliko wewe. Shida haina mwenyewe wla shida haina Mjuzi.
Kuna nyakati zingine tumepata shida tuka waeleza watu badala ya kutusaidia ndio wakatukatisha tamaa kabisa, kuna nyakati tuliwaeleza watu shida zetu zikageuka kuwa matangazo kwenye jamii changamoto inayotukabili kizazi chetu nani yuko tayari kukabiliana na shida??hiki kizazi ambacho swali likiwa gumu mtu anaandika google, Kizazi ambacho level ya Uvumilivu na Kustahimili kinazidi kushuka, Kizazi ambacho watu wako tayari kuuwa wapate fedha, Kizazi ambacho mtu yuko tayari kufanya harusi ya mamilioni keshokutwa akamuacha Mkewe, Kizazi ambacho mtu anakaa na relationship miaka 8 kisha anamuacha mtu kwa sababu amepata mwenye fedha, Kizazi ambacho kwa sababu ya Njaa watu wamekuwa tayari kuuza miili yao kwa ushoga na uchangudoa ili kukabiliana na njaa, Kizazi ambacho Wanafunzi wanataka kuishi sawa na Wafanyabiashara kizazi kinachopenda 'Soft Touch and Appear". Nani yuko tayari Kukaa  kwenye ndoa ambayo hawana mtoto kwa miaka kadhaa, nani yuko tayari asisaliti imani yake ili mradi apitie jambo fulani.
Kila mtu ana shida na changamoto zake shida haina mjuzi wala mwenyewe unaweza ukawa na Kila kItu kwenye maisha ukawa na fedha ukawa na gari ukawa na mavazi mazuri na mke ama mume mzuri lakini hakuna amani ndani ya ndoa, unaweza kuwa na mshahara mzuri na nyumba nzuri lakini hauna inner satisfaction, inawezekana ukawa unafanya biashara unapata fedha kila siku lakini una ugonjwa unaokutesa, unaweza kuwa na elimu nzuri sana na akili njema sana ajabu hupati Usingizi na unakunywa mpaka madawa na sindano, yawezekana una umbile zuri sana na raha sana lakini ukiwa period mpaka hauoni thamani ya kuishi unatamani kufa, pengine una kila kitu unachodhani unapaswa kuwa nacho lakini unajiuliza kwanini wanaume wanakukimbia, asikuambie mtu shida haina mjuzi wala haina mwenyewe. Kuna mambo kadha wa kadha ambayo kwa watu wasiotujua kwa vile tumeamua kuyaficha tunaonekana tuko pouwa sana lakini kama leo ingekuwa kila mtu shida yake inaonekana Live Live kama CCTV ndipo ungejua kuwa shida haina mwenyewe wala haina mjuzi maana wewe unaloliweza mwingine linamshinda lile linalokushinda yeye analiweza unatamani mbadilishane lakini sasa sio fungu lake wala lako la kugawa shida hizo.
Unafanya nini unapotokea unashida???Unaomba Mungu, Unalaumu waliopelekea shida??Unalaumu Background yako??Unalaumu mwenzi wako na kujiona wewe ni bora kuliko mwenzako, Unamlaumu Mwajiri wako??Think Positive. Jijengee tabia ya Kukabiliana na Changamoto zinazokukabili wewe mwenyewe Kikamilifu chukua wajibu wa Kutafuta Ufumbuzi wewe mwenyewe pasipo kulaumu wengine, jione wewe pia ni sehemu ya tatizo na unapaswa kutafuta ufumbuzi kwa namna moja ama nyingine. Kuna Ujinga mmoja nimeuona kwenye maisha ya Usuluhishi tangu nilipopata neema ya kusuluhisha baadhi ya migogoro ya watu. Nakumbuka kulikuwa na ndoa moja ina misukosuko sana, mkaka ambaye ni mume kupitia Papaa On Tuesday ninazoziandika aliamini kabisa moyoni mwake kuwa akiongea na mimi suluhu itapatikana, simfahamu wala hanifahamu ila alijenga imani, nilipoongea nae akaniaelezaaaaa nikasikiliza nikaona kweli ni tatizo nikaomba nionane na mke wake nae nilipokutana nae akanielezaaaaa mwisho nikabaini shida iko wapi tukatengeneza appointment ya wote wawili, nikamwomba sana Mungu anipe mpenyo wa suluhu katika jambo hilo la wanandoa. Siku tuliyokutana kila mtu alielezaaaaaaaaa yaani kila mtua alifunguka ki hasa kisha tukauliza OK tumeshasikia What Next???Kila Mtu akaona kosa lake wakaombana msamaha yakaisha Ujinga niliokuja ubaini ni kwamba Mambo ambayo mngekaaa wenyewe nyumbani na kuongea na kufunguka eti mnahitaji awepo mtu Neutral ambaye yeye infact atakayoyaongea ninyi wenyewe ndo watekelezaji wa jambo hilo ambalo. Huwa ninajiuliza hivi Mshauri wa mambo nae yakimsibu ya Kumsibu anaendaga wapi??Ok labda niseme mimi yakinisibu huwa ninaenda wapi, na huko ninakoendaga nae yakimsibu ya Kumsibu anaendaga wapi???Shida haina mwenyewe.

Niliwahi kusema Ukizimia siku ya Taabu Nguvu zako ni Chache... http://samsasali.blogspot.com/2010/07/papaa-on-tuesdayukizimia-siku-ya-tabu.html.

Ze Blogger
0713494110

....JUST VOLUNTEER TO LEARN TO VOLUNTEER!!!!


VOLUNTEERING IS NOT "A EASY/LOWLY PAYING EMPLOYMENT' BUT MORE THAN A PLATFORM TO REACH YOUR HIGHER DREAMS!!!!

I do hope that this idea will meet you rightly!!
i have meet very many people with wrong perception over this issue of volunteerism, many are treating it as low wage temporal job...that is why they either don't get those chances or when they got them, they under underperform!!
VOLUNTEERING is a willing will and act of the heart, just to pay-off a certain duration of your time to save others' objectives while gaining from it indirectly!!

This task and all sacrifices that are associated with is supposed to be under the burden of A VOLUNTEER!!
Volunteering gives candidate a room to access the following benefits, which s/he couldn't dared before;
ONE....A volunteer get an opportunity to learn how written theories and materials that s/he has been studying at school work in real life!!(In other words...A practical based field work)

 TWO...A volunteer get the chance to build self confidence either before men or before himself or herself in achieving his/her dreams

THREE....A volunteer get chance to access the network, for there is great difference between Home staying job seeker and Volunteering job seekers

FOUR.....A volunteer learn to live humbly and investiture, this gives chance to save with the whole heart and concentrate on job and not payments!!

FIVE.....Volunteering is the only major platform of giving back, at least a direct way to pay back gratitude to society!!

ALWAYS REMEMBER THAT A COMPANY CAN'T JUST HIRE SOMEONE THEY DON'T KNOW REGARDLESS OF HIS/HER QUALIFICATION COMPARED TO SOMEONE WHO HAS BEEN TRUSTFUL VOLUNTEERING AT THAT PARTICULAR COMPANY!!

Nowadays things have changed, very many students are in collages and universities and so so so many others are coming, but the question is where will all those people be placed?? So the only way to survive and to penetrate to the bright future, i argue to pawn yourself in volunteering somewhere for sometime before you stand alone for your destiny....weather you want to be employed or you want to employ yourself ,still you need to volunteer and learn how things are operating!!!

........if you are just starting a collage now then start saving now so that during those days of volunteering, you will be free from unnecessary stresses and if you have already started your field work, then be very keen and very trustful for may be that is the place where you might get the chance to volunteer and may be to be employed totally!!

A CHALLANGE
Many people can;t volunteer because they placed money forward and they don't know that any good thing need investment and other lack patriotism spirit, so they feel pity to save their fellows and or they tend to ignore these minor and casual jobs....and many companies refuses to take many students for field works or volunteering because many of them are lazy, untrustworthy and they are vision-less!!

WHAT I BELIEVE IS THAT....HARD WORKING, TRUST, VISION AND INTEGRITY COUNT A LOT TO SOMEONE'S DIGNITY AND VOLUNTEERING IMPLY HUMILITY OF A PERSON, I HAVE BEEN VOLUNTEERING FOR YEARS IN DIFFERENT PROJECTS, ORGANIZATION AND EVENTS AND NOW YOU CAN SEE ME HERE I AM...STILL STANDING!!!
....JUST TRY TO VOLUNTEER SOMEWHERE!!! IF YOU FEAR THE COSTS/EXPENSES THEN FIND A PLACE NEAR BY YOUR HOME PLACE!!

VOLUNTEERING MIGHT SEEM TO BE A VERY CRAZY IDEA THIS TIME, ESPECIALLY WHEN YOU GAIN ZERO, BUT I WANT TO ASSURE YOU THAT ONCE YOU GET TO LEARN THE JOB THEN YOU CAN EASILY DO YOURS FOR YOUR OWN SAKE!!!

N.B; if you wish to know more and may be you want to be connected to such opportunities then make sure we communicate!!
>>Getting an opportunity of volunteering somewhere needs extra efforts and preparation so be ready when you want to volunteer for real!!

THANK YOU FOR READING AND UNDERSTANDING THIS IDEA WELL AND I BELIEVE YOU WILL WORK OUT ON IT!!!

CHAVALA IDEAS PLATFORM
President
+255 713 883797

.....eti ni kweli kuwa AJALI IMEMWONGEZEA PROSPER MWAKITALIMA UMAARUFU????

imepita muda kidogo bila kuonana na my PS na ndio maana uliona kimya, lakini nakumbuka mara ya mwisho tumeonana tulikuwa na hili la kuzungumza......

JE MATATIZO AU CHANGAMOTO VINAWEZA KUMPATIA MTU UMAARUFU AU NAFASI KUMBWA YA KUFANIKIWA?
Na swali hili lilikuja baada ya mtu mmoja kunituma salamu kwa my PS lakini yeye akasema hata hamfahamu, sasa hapo ndio tukaanza kuchambua na kugundua kuwa hata katika mambo mabaya kuna mazuri ndani yake!!!
My PS alipata ajali mbaya sana na kila mtu alibaki kushangaa na hata sasa bado wanaendelea kushangaa kuwa katika ajali mbaya kama ile mtu anawezaje kuwa mzima??
na mbaya zaidi na hata wafanyakazi na madaktari bigwa walipigwa na butwaa kuona ni jinsi gani watu walivyokuwa wengi kumuona my PS akiwa hospitali, hali sio msanii au mwanasiasa au chochote chenye kujustify umati ule wa watiu!!!
na hata baada ya pale sasa, wengi wanamfahamu na hata kama hawajawahi kuonana, basi humwita "Mwakitalima wa ajali ya gari" na hali wakiita hivyo mshikaji anaendelea kupokea kazi na maisha ndio yanaeleweka!!!

Nikaongezea jambo moja kuwa usiwe na mtazamo finyu, kiasi cha kuki-critisize kila kitu, sababu tu hukipendi...unajua imewahi kutokea msiba fulani wa Jambazi sugu mwenye genge na hapo msibani kila mtu alikuwa akiongea lake na jambo la kushangaza, wakati wengi wakisumlia ukatili wake, huyu mmoja alikuwa akisimulia jinsi YULE JAMAA ALIVYOKUAGA SMART!!!
Unajua nini unaweza kujifunza unyenyekevu au kujali kutoka kwa mshirikina au kahaba!!!


NATAMANI UBADILIKE NA UBADILISHE MTAZAMO, NA KILA WAKATI JITAHIDI KUONA POSITIVITY YA EVERY IDEA THAT PASSES YOUR WAY!!

Ahsante sana my PS
King Chavala
+255 713 883797

Papaa On Tuesday...If You Want To Go Fast, Go Alone, If You Want To Go Far Go Together.

Zangu Salamu ziwafikie Wanafunzi wote wa SAUT pale Nyakato Kwa Upendo wao Mwingi waliouonesha Kwangu kwa siku nilizokuwa hapo Chuoni Kwao. Kwa heshima ya Kipekee nimshukuru Adolf Nzwalla pamoja na wafanyakazi wa HCC Alive FM 91.9 Kwa masafa ya Mkoani Mwanza. Mlinifanya nikajisikia bado niko Dar, Mungu sio Filikunjombe Mwezi wa December, 2012 ratiba yetu iko kama Kawaida.

Ninamshukuru Mungu Kwa kuniwezesha leo Kuandika Papaa On Tuesday ya 44 kwenye mwaka huu nikiwa nimebakiza POT 8 kutimiza 52 Kufunga Mwaka 2012. Mungu ni Mwema sana kwa kila iitwapo leo.
Kaika Clip niliyoitupia hapo Juu utamsikia President Barroso akieleza Msemo wa Papaa On Tuesday Ya leo ambayo kwa mara ya kwanza Mwaka Jana mwezi kama huu November, niliandika POT yenye kichwa cha habari kama hiki cha leo. Gonga hapa kwa kumbukumbu isiyooza..http://samsasali.blogspot.com/2011/05/papaa-on-tuesdayif-you-want-go-fast-go.html.
Kati ya Mambo ambayo Watanzania na Waafrika tunapenda hasa ni Kukutana ama Vikao, hata kama kuna Option ya Technolojia lakini still watu wanapenda kukutana. Na Mnapokutana kuna kuwa mijadala mirefu ambayo mwisho wa siku unaweza mkakuta mnaarisha maamuzi mliyotaka kuafikiana sababu kumekuwa na lundo la mawazo.mnajikuta kwenye kikao mnaambiana 'Kila Mtu akatafakari Kisha alete Majibu". Badala ya Kukaa Kikao Kimoja mnajikuta mnakaa Vikao Vitatu. Ingawa kwenye wengi hapaharibiki neno lakini Wapishi wengi Huaribu Mchuzi.
Kuna baadhi ya mambo kwenye maisha ukitaka kufanya na watu wengi na kushirikisha watu wengi utajikuta uko pale pale badala ya kusonga mbele hasa mambo ya maendeleo. Kuna baadhi ya mambo basi amua mwenyewe amua kiume amua kujilipua utasonga. Miluzi mingi humpoteza Mbwa lazima ifike hatua uweze kuamua mambo ili uweze kwenda haraka. Sio Kila Mtu anaweza kuwa na mzigo na kile ulichonacho ndani ya moyo wako. Unaweza kuta wewe ndiye unayeingia gharama ya Muda, fedha na pengine hata maumivu ya nafsi sababu kuna mtu anataka kuamua hatma ya jambo fulani. Kuna nyakati kwenye maisha tumeruhusu kunyanyaswa kwa Mkataba wa Kujiona kuwa fulani anatakaiwa aamue kwa niaba yako. Unaweza kuta umemshirikisha mtu ama watu jambo fulani ambalo watu hao jambo hilo hawajalipa Uzito wewe uliolipa jambo hilo. Matokeo yake imepita wiki, miezi umeshindwa kuendelea mbele sababu tu unahitaji kufanya kwa pamoja. Kwa wale ambao tumewahi kuishi maisha ya "Gheto" ambako mnachanga Kununua Luku ama kama Mna share Luku na Mpangaji mwenzio na zamu yake ya kununua Luku imefika ghafla anakuambia hana hela siku hiyo swali la kujiuliza utasubiri zamu iende sawa ukae gizani ama uamue kununua Luku sababu una issue zako za msingi zinahitaji umeme. Jiulize kuna mambo mangapi tumehairisha kufanya sababu 'Wajumbe" wamekataa kupitisha hiyo idea wakati wewe still unaona kuna Mpenyo katika hilo wazo. Wakati mwingine ni vema watu wakaku-Join mbele ya safari baada ya kuamua kufanya wewe mwenyewe.
Ni kweli tunawahitaji watu katika maisha yetu, Ni kweli umoja ni Nguvu na ukweli ni kwamba watu wanatusaidia kwenda mbali zaidi, wanatusaidia kutuongezea mawazo, wanatusaidia kututia moyo tunapoamua kwa pamoja, Mkiwa wengi mnagawana hata maomivu ya kushindwa kwa jambo, Mkiwa wengi mnagawana hata hasara ya jambo na kwa sababu hiyo inakufanya ufanye sawa sawa na kundi linavyoamua na sio wewe unavyoamua katika maisha. Ukitaka kwenda mbali zaidi kwenye maisha nenda na watu ila kama unataka kwenda na speed ya kimaendeleo basi amua kufanya mwenyewe. Kuna kazi, mahusiano na hata biashara tumewahi poteza sababu ya opinion za watu. Wiki 2 zilizopita niliandika POT kuhusu Kusikiliza Sauti ya Ndani. Lazima uwaze nini unafanya na kwafaida ya nani na Kwanini unafanya. 
Asilimia kubwa ya watu waliofanikiwa katika maisha ni watu walioamua kufanya pasipo kusubiri kila kitu kimekaa shwari, ukishaanza kuuliza uliza kwa watu jambo la kuamua leo itakuchukua wiki nzima kwa jambo ambalo una uwezo wa kuamua kwa haraka. Mbaya zaidi unakuta kwa sababu ya ushauri wa watu unachelewa kufanya maamuzi uliyotakiwa kufanya leo. Sikatai kupata maamuzi ya watu ni kweli utafika mbali sana, lakini ukitaka kufanya haraka basi unahitajika kujitwisha mslaba wako kila iitwapo leo.



If You want to go Fast Go Alone, If You Want To Go Far Go Together.

END TIME YOUTH HAS COME WITH ANOTHER IDEA..."RELATE DINNER"!!!


DEAR FRIENDS CONSIDER TO COME AND JOIN YOUR FELLOW FRIENDS FOR SEVERAL ACTIVITIES

"MEN'S CONFERENCE 2012"....is another unique workable Idea!!!

SHALOM!!!
I ALWAYS ADMIRE PEOPLE WHO DEVELOP IDEAS AND WORK HARD ON THEM!!!
HERE IS ANOTHER WORKABLE IDEA THAT FOR SURE IT WILL HELP MEN TO BE MEN!!!
JUST CONTACT ORGANIZERS BY
0713 757051,0754527955,0783757051 OR MAIL THEM VIA niimcomputers@yahoo.com

......A GREAT WISDOM BY MODESTA LILIAN MAHIGA

"The Nation Within You" - Modesta Lilian Mahiga




"Anyone can count the seeds in an apple, but only God can count the number
of apples in a seed."” – Robert H. Schuller.

The Danger of Potential

One of the most disappointing things to experience is to watch how someone
gets smug and content to hear that they have “potential”. “Potential” my
friends, is deceiving; it can lull you into a slumber even as you walk in
wakefulness. “Potential” lures you into a false sense of confidence and
security as you say to yourself “ I’ve got it in me, it’s just waiting for
the right time to come before I use it.” Newsflash: settling for the fact
that there is latent “potential” in you is the most dangerous and
debilitating disease you could suffer from.

“Potential” is described in the Oxford dictionary as “having or showing
the capacity to develop into something in the future”, “latent [(of a
quality or state) existing but not yet developed or manifest; hidden or
concealed – lying dormant or hidden until circumstances are suitable for
development or manifestation] qualities or abilities that may be developed
and lead to future success or usefulness”; “the possibility of something
happening or of someone doing something in the future.”

Potential says you have greatness in you and there is a possibility that
someday, somehow, you could become those things, maybe, there is a
possibility. Potential cripples you and makes you complacent because
potential tells you to wait for tomorrow and we all know that tomorrow
never comes.

They say that a graveyard is the wealthiest place in the world. This is
not because people are buried with great treasures in their caskets but
because people are the treasure buried in graves.

Because we continue to wait for our “potential” to be realised tomorrow,
many people die with “potential” to have changed their circumstances and
the very environment they lived. Because they did not pursue their
potential to its end, in the end it died with them forever remaining
“potential” unrealised.

So many unwritten books, untold stories, uninvented creations, unrealised
dreams, unsung heroes, go to the grave with a wealth of talent and
solutions to their and the world’s challenges. Solutions that the world
will never enjoy the benefit of because the one person they could have
come from settled for having the “potential” to make a difference instead
of unleashing what was only “potential” to what is “kinetic” energy –
“energy which a body possesses by virtue of being in motion”.

Potential in Motion

The difference between potential and kinetic energy is that whilst the
former is harnessed in a reservoir and could do great things once
released, until then it remains untapped, dormant, useless; the latter
however, is energy that is conquering fear, moving, doing, daring, now.
Kinetic energy is energy created because of movement, not lying dormant in
potential. Kinetic energy moves, flows in the present, continuously; being
used now, energy generated and applied now to build, strengthen, add
value.

The upside of having potential however, is the fact that you have
something (as opposed to having nothing and we know that God gave every
single person something to start with); to have potential means there is
greatness in you that is dying to be unleashed, to be released, to be made
known to the world, to bring change, to make a difference.



Tanzanian Youth unlock Tanzania'’s Potential

Tanzania is like a 50-year old person with “potential”. Imagine living to
50 and people around you still speak of you as having “potential”. 50 and
you haven’t lived out your best life, when do you think you’ll start, at
100?

Tanzania is the second most naturally endowed country in the world, has
the highest free-standing mountain in the world, has the largest fresh
water lake in the world, has the second largest lake in the world, the
second deepest lake in the world, the largest Game Reserve in the world,
national parks with the highest number and diversity of the Big Five
animals in the world, the second highest waterfall in Africa, the second
largest number of UNESCO World Heritage Sites in Africa, rich minerals and
gemstones, including Tanzanite which is only found in Tanzania, peace,
unity, a common language, large population, access to 20% of the world’s
water and the list goes on and on.

Like seeds in an apple, Tanzania’s known features give it great hidden
potential. How many apples will come out of the seeds we can count as
Tanzania’s assets, only God knows and only Tanzanian youth, in whose hands
Tanzania’s future lies, can actualise.

Tanzanian youth are the seeds in an apple called Tanzania. You can count
how many youth we have but, the potential of what could come out of us
only God knows.

Tanzania is blessed beyond measure, Tanzanian youth already have the
capital in the Country and themselves, to do great things; what we need to
do is shirk away the fallacy that we will realise our potential “when we
grow older”, “when we earn a lot of money”, “when we are in positions of
power”, “when the Country changes”, because “we are the people we have
been waiting for, we are the change that we seek” and the time is now.
Like apple seeds, we already have every single thing we need to become
great apple trees, bearing even more apples with even more seeds and even
more apples, etcetera.

Make a Difference Now

Like kinetic energy, let us move now, and not wait with our potential
until ‘circumstances are right’. It is only by making a move now and
starting with the gifts and talents that God has placed in our hands that
we will be given more to manage, and as we accomplish our assignment at a
lower level, that a greater challenge will be posed that we can solve at
the next, and so we grow and our Country develops.

I am sure we are all familiar with the famous story of Moses and the
Israelites. God asked Moses to lead and remove the Israelites from
captivity in Egypt but Moses was not willing to do this. He kept on making
excuses for what he did not have, for what he could not do; he had a
speech impediment, he had killed someone, he didn’t live like an
Israelite, he was away from his people for a very long time and so they
didn’t know him, etcetera, but God asked him: “what is that in your hand?”
– God was saying to Moses, you already have everything you need to live a
life of success and significance; start with what you have and I will
bring you the people and resources to support you on your journey but, by
all means Moses, start! When Moses finally realised that no one else was
going to come to improve his life and the life of his people, he was
willing to go and, as soon as he had made up his mind to stand in the gap,
God brought him people and resources and God Himself was with Moses as he
fought adversity, released his people from captivity and lead them to the
promised land.

It is only when we are “sick and tired of being sick and tired” and feel
“enough is enough” and say “here I am, I am ready to do something
constructive and ethical to change my life and that of our people” that we
will find that God will bring us the people and resources to realise our
dreams. I don’t know what “Egypt” is standing in your way, I don’t know
what your fears are, I don’t know what the “promised land” is to you and
the people you want to “lead out” but you already have in your hand, in
you, what it takes to take the first step to that desired destination and,
God will meet you in your readiness.

We Are the Ones We Have Been Waiting For

If we wait for an “enabling environment” or “favourable conditions” before
we make a move to improve our livelihood, our community’s welfare, our
Nation’s development, we may find that the “enabling environment” and
“favourable conditions” never come. As a matter of fact, it should come as
no surprise to us when we tell God that we were waiting for Him to
intervene in our favour in Tanzania, to hear Him say that He was waiting
for us to show willingness to stand in the gap for our families,
community, Nation; to take the first step to create our own “enabling
environment”, create our own “favourable conditions” before He revealed to
us the next stage of the journey and sent each of us the people and
resources we would need to make it through.

Reposition for Take Off

So what does it take to stand and be counted? To realise otherwise hidden
potential in us as Tanzanian youth in this great, fertile and rich apple
that is Tanzania?

Know, build a relationship with and trust God

You were created to fulfil a God-given purpose. Believe that and trust
God to lead you to its fulfilment. You came to the world not to look for
something to do, rather you came into the world because you have
something, specifically for you to do; a role that only you can fulfil.
Get to know God and ask Him to share His plans for your life and trust
what He reveals, in Jesus’ name.

Know who you are

When you recognise that you have been created for purpose, you begin to
realise that you are extremely special. There is only one of you, even if
you were born as a twin or triplet. Know that you are unique; the gifts
and talents lying as potential in you are customised for you and you only.
You’re a big deal; there is a challenge the world is facing that only you
can provide the solution to. Take time to think of all that you are and
write down natural gifts and talents, knowledge acquired, skills learned,
experience lived out, attitudes and behaviours that make for all that you
are.

Value what you’'re worth

Now that you know who you are in the entirety of your God-given purpose
and assignment and all the potential in gifts, talents, knowledge, skills,
experiences and attitude, guard your heart and mind from “nay sayers” by
standing firm on the truth of your value. Know that you have more value
than all the money, all the gold and all the gemstones in the whole world
put together. You have such great worth that you were created unique, with
particular qualities and characteristics to solve a challenge in the world
today. You weren’t born before or after your time. You exist now because
all that you are is needed in the world at such a time as this. You are
the right person, born to the right family, in the right Country at the
right time. God doesn’t make mistakes. Who you are and what you have gone
through adds to your great value in the world. Do not let anyone look down
on you because of the way you look, the family you were born to, the
Country you come from (they would be very foolish to think little of
Tanzania) your economic or social status. What they see is hidden
potential, when you trust in God in faith and take a step to realising
your potential, your hidden value will shine bright for all to see.

Know Tanzania'’s great wealth

There isn’t a greater lie told about Tanzania than the lie that it is
poor. Tanzania is not a poor country just as you are not a poor person.
Just as you cannot really know your value without first taking stock of
all that you are and seeing what greatness can come out of you, you cannot
know the value of our Country without first getting to know all the things
that make up this beautiful, richly endowed land and seeing the value in
money, aesthetic beauty, peace and stability that is the potential hidden
in it (which is becoming increasingly evident to the rest of the world).
If we do not know Tanzania’s value, we will sell it short; we would
bargain and sell land and services at a lesser value, thinking we have
gotten a good deal, only to know that the world market would value it
higher; we would mistreat our people, only to lose them in brain drain to
other countries as they flee to build other economies; we would compromise
on keeping the environment and suffer the results of pollution and
degradation to health, heritage and sustainable use and enjoyment; we
would take peace and stability for granted at our own peril to plunge our
Country into civil unrest where no one looks after another, where people
die or are displaced, where Government cannot maintain law and order nor
provide social services and, business halts as the cost of doing business
becomes unpredictable and thus, unbearable.

Tanzanians, know the value of what you have so that you can see our
Country as God sees it – a richly endowed, strong Country capable of
lifting the entire African Continent out of poverty.

Take pride in being Tanzanian

In placing great value in all that Tanzania is and rightly so, comes
taking pride in being Tanzanian. You cannot take pride in being part of
something you do not value nor see its wealth hidden as potential. As you
seek information that tells you just how much of a privilege it is to be
born Tanzanian and at such a time as this when you can change the course
of history for the better, your love, hope, passion, pride and patriotism
for our beloved Country grows and you vow to do anything it takes to get
our Country to stand and to get all the good that is due it and to fight
off all the ill that plagues it. After all, let it not be forgotten that
even America started as an impoverished colony. A third of all immigrants
who emigrated to that land died of malaria, another third from starvation
as the crop they planted didn’t agree with the land. All of this supposed
“poverty” and “calamity” yet Americans didn’t jump ship to go live in
another Country, on the contrary, the fought hard, battling both weather
and enemy to develop America into what is now respected as the strongest
economy in the world. There were worse conditions in America at 50 years
of independence than there are in Tanzania. We have a lot to learn from
other countries; history, communication, technology show that we do not
have to re-invent the wheel, we need not start as if there has been no
development at all in the world; we can borrow what we see as beneficial
from others and add value to it to leap Tanzania into unprecedented levels
of development.

I am so proud of being Tanzanian. God did not make a mistake to bring me
into the world as a Tanzanian; to have me young at this time, calling me
to take part in building our Nation into one of the strongest economies in
the world. What a legacy to leave!

Decide where you’re going

Now that you’re beginning to get a clearer picture of who you are, the
great value that you and your Country hold and growing in love and
admiration for this Nation, burning with passion to make a difference, you
must now decide what you will do with all the gifts, talents, knowledge,
skills, experience and your renewed attitude. In earnest prayer, seek
God’s will for you; write down the personal vision you have for yourself,
your family, community, business, Nation and the world. Complete this
sentence, “I would only be ready to leave earth when I have
accomplished…..” The picture you see, that picture of success and
significance, after you have passed it through the test of God’s will for
your life, is your life’s purpose. Don’t lose heart if He only reveals it
in part. Thank God for this direction and move with what has been revealed
to you thus far.

Choose how you will get there

After you have decided what success and significance looks like to you, do
that which you feel in your heart is where you should start. Do not fear
big dreams nor shun humble beginnings, God has great plans for you and
only when you stand faithful to a little that you will be bestowed with
stewardship of more. There are so many options, so many paths to use, make
a conscious choice of how you want to get to where you want to go in life
and what you want to do for Tanzania. This choice will include choosing to
be more hardworking than anyone you know; choosing to be confident and
tenacious, never letting up, knowing that there is a job to be done and
you are the person to do it, even if it is new, believing that you already
have all the potential to do it the best it can be done and pursuing it
until your conviction becomes a reality; choosing to challenge status quo
and do things differently, more innovately, adding value to have your
work, product, service, stand out above the rest; choosing to be at all
times professional, making sure that you execute all that you do with the
highest level of excellence and time management; remaining ethical no
matter the cost, knowing that as you uphold principles of honesty,
integrity, fairness, transparency, you give opportunity for others to get
equitable access to services, to ensure that no one has unfair advantage
of another due to corruption and favouratism; choosing to be patriotic,
compassionate and selfless, putting service to others and Nation first so
that your wealth and influence can reach far and wide and be long lasting.

Investing in sustained, long-term benefits

Whilst it is exhilarating and satiating to get immediate returns on
investment, we often compromise sustainability and long-term gains for
short–term fixes. Having a long-term vision means you know that the
returns you get in the short-term are capital to re-invest in what you do.
Just as you wouldn’t eat one maize cob when it is the only produce you
harvest from a farm you want to reap 100 tonnes of maize, so you wouldn’t
spend Tsh. 50,000 made from a business you want to yield you Tsh.
50,000,000. You realise that the Tsh. 50,000 is capital to re-invest into
the business and continue to grow until you get to your Tsh. 50,000,000
target.

The same principle applies to anything else that comes to distract you in
the short-term from staying focused on your long-term plan; whether it be
job offers, investments to get into, people to partner with, etcetera, be
wary of anything that you cannot see as a building block to what you want
to ultimately achieve.

Have patience

Being a person with long-term vision means you are a person that is
willing to do all it takes to make a difference and wait for the results
to become manifest. If you have a long-term vision and plan for your life,
that of others and our very Nation, you will appreciate that you need
patience, perseverance and sacrifice, holding yourself back from amassing
all material things now, starting small and living within or even better,
below your means so that you can reap greatly and sustainably, both
material things and wellbeing in the future.

Have no fear

Fear is a liar! And courage is feeling the fear and doing it anyway. Fear
says “what if you fail (again), what if they laugh, what if you shame your
family, what if I’m too young, what if I’m too inexperienced, what if the
language barrier is too great, what if, what if, what if?” I am sure many
people who died with their dreams wanted to do something about them but
they “feared” reproach. Let me tell you the truth “there is nothing to
fear but fear itself.” Why don’t you think like this instead: What if it
works out, what if you succeed, what if the second, fifth, twentieth time
it works? You see, success is available to everyone, but only a few pursue
it diligently, unceasingly. Many people dream but few have faith in
themselves to see them to fruition. Choose to have Hebrews 11:1 faith
which says “ now faith is being sure of what we hope for and certain of
what we do not see.”

You must think, speak, act like what you dream is a surety. “Speak those
things that are not (yet) as if they are." And stay focused on what you
are working hard at creating until it comes out plain for all to
see. These are all choices we will have to make, we choose to be the best we
can be, we choose to love our Country, we choose to focus on the future
instead of feeding our stomachs in the short-term, we choose to feel the
fear and do it anyway. It all rests in you choosing what is best for you,
your family, your community, your Country. It is in continuing to choose
what is best which will determine our ultimate success and significance,
improving the livelihood of our people, driving Tanzania’s economic
independence and its social development.

Repeat these steps over and over and over and over and over again at each
stage of your journey as you unleash your potential to drive your life,
that of your family and community, Nation and this very world to greater
heights; keeping your eyes focused on Christ, focused on fulfilling your
God-given purpose, playing the role that only you were born to play in
Tanzania’s emancipation, knowing that the potential lying dormant in you
has the power, when put into action, to transform not only you, your
family, your community, your Nation but this very world we live in.


You see, “anyone can count the seeds in an apple, but only God can count
the number of apples in a seed”; no one but God knows the great person you
can become, the great things you could do, the great relief you could
bring this troubled world but, you hold all power to decide whether you
will allow yourself, putting away all fear, all doubt, shutting out all
noise and negative advice to stand willing, ready and available to be used
as a channel to pass all the hidden wealth and potential in yourself and
this Nation, to meet a need that only you and Tanzania were created to
fulfil for this generation and the nation within you that is to come.

Mbarikiwe.

Modesta Lilian Mahiga
Group Managing Director
Professional Approach Group

mmahiga@pa.co.tz
www.pa.co.tz
www.modestalilianmahiga.com

Written for Nancy Lazaro's book "The Best is Found in You""


SOURCE; www.maanishablog.blogspot.com