CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

WOKOVU WETU SIO SABABU YA INJILI YA VITISHO BALI SABABU YA UPENDO WA MUNGU TU KWETU!!!


Inawezekana mtu uliokokoka baada ya kutishiwa au kutishwa na mwingine mkumbo ma labda mwingine aliumwa sana sana mpaka akakaribia kufa hivyo namna pekee ya kuwa salama ilikuwa ni wokovu,lakini sisi wengine hususani mimi na my PS tumeokoka kwasababu ya Neema yake tu!!
MIMI NAWEZA NIKAWA sina USHUHUDA KAMA WAKO ILA MIMI MWENYEWE NI USHUHUDA HAI UNAOISHI!

Leo nilipata bahati ya kuongea na my PS na nikagundua kuwa somehow tunashare track ya wokovu wetu,maana wakati anatamani kumtumikia Mungu bado alikuwa kama vile haamini au haelewi vile lakini siku moja alimwambia Mungu natamani niamke kuomba lakini kila siku naamamka kumeshakucha sasa nataka kesho uniamshe saa kumi alfajiri ili nikaombe....na basi MyPS akalala na alikuwa peke yake chumbani...na jambo la kushangaza...usiku sana aliguswa mkono kwa ishara ya kuamshwa(ni kama vile mtu alimuamsha kihalisia),na kwasababu alijua amelala peke yake na hakumwambia mtu yeyote amuamshe isipokuwa Mungu tu basi aliamka kwa mshtuko mkubwa sana huku moyo ukimwenda mbio na alipoangalia kote hakuona mtu na alipoangalia tu saa ilikuwa saa kumi kamili juu ya alama,aliogopa sana na kuanza kulia tu na kwenda kanisani kuomba na hapo ndipo alipothibitisha kuwa Mungu yupo na anamsikia na tangu hapo hata sasa Upendo wa Mungu ndio wimbo wa hekima wa my PS.

Na hata mimi nakumbuka wokovu wangu haukuwa sababu ya injili ya vitisho,bali upendo waMungu tu!!

NAWEZA KUWA SIFANYI VEMA SAAANA AU MY PS HAFAANYI VEMA SAAANA BUT WHAT I KNOW FOR SURE IS THAT WE LOVE GOD AND HE LOVES US SOOOOOO MUCH!!!

 BLESSED YOU ALL!!