CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

NI MARUFUKU....KUVAA NGUO KIPUMBAVU!!!!

#....NI MARUFUKU!#
*Kwa kijana yeyote wa kiume kuvaa suruali chini ya makalio eti kata kei ama mlegezo....maana hiyo ilianzishwa na wafungwa wa marekani na ilikuwa dalili ya kiburi na Afrika kusini walikuwa wanavaa hivyo wafanyakazi wa Boers ili kurahisisha zoezi la kupigwa mihuri hapa juu ya matako baada ya kazi,na kwa sasa wanaume wasio riziki wa mashariki ya kati na ulaya wanavaa ili kuwavutia wateja wao kabla hawajaolewa....sasa wewe unavaa sasa hivi unamaanisha nini? Tena wengine unakuta boxer chafu kama nini....ukimuona kijana wa namna hiyo hata awe nani ama maarufu kiasi gani,ujue HAJITAMBUI!


 
 *Kwa kijana yeyote wa kike kuvaa nguo za kulalia,nguo za ndani ama nguo zinazomdharilisha yeye na wasichana wengine wote....yaani mtu anatembea mjini na skintight tu,mwingine anatembea ameyaacha maziwa nje,tena makusudi...acheni ujinga ninyi,kama nguo ni ya ndani vaa ndani,thamani yako haiongezeki kwa kujichoresha na kuacha maziwa nje,kila mmoja anajua kilichopo ndani so kifiche tu,by the way chenye thamani hufichwa.....hizo ni tabia za makahaba na night stripers sasa wewe unayevaa hivyo una malengo gani? Wengine maumbo mabaya na wengine miili imejaa makovu,jamani ficha tu.

 
 Sasa haijalishi ni nani wala nani,nimesema marufuku! Kama una akili timamu utazingatia hili lakini kama wewe ni mpumbavu basi unaweza kuendelea na nakuhakikishia usipobadilika mwisho wako utakuwa wa majuto...na kama utakuwa na watoto basi ndio utakuwa umeshawaharibu hata kabla hawajazaliwa!
SALAM HIZI NAZILETA BAADA YA MFUNGO KUISHA MAANA NAJUA KUNA WENGINE NDIO KAMA VILE WALIKUWA KIFUNGONI KUFANYA MEMA SASA WAMEACHILIWA KURUDI KULEKULE!
Na hata kanisani tusikuone na huo ujinga wako unless kama wewe ni agent na umetumwa kuharibu kanisa,potelea mbali ukinikasirikia lakini najua jambo moja tu.....MAMBO YOTE YATAPITA LAKINI NENO LA MUNGU HALITAPITA KAMWE!!


Na King Chavala MC
+255 713 883 797

Ujumbe huu unakujia kwa Udhamini mkubwa wa; 
http://chavalamedia.blogspot.com
(c)2013