CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

CHUO CHA UHASIBU ARUSHA CHAKUMBWA NA DHAHAMA TENA!!!!

CHUO CHA UHASIBU ARUSHA CHAFUNGWA KWA MUDA USIOJULIKANA!!
chuo cha uhasibu arusha kimefungwa leo saa 12 jioni kutokana na kutoelewana kwa wanafunzi wa chuo hicho na mkuu wa mkoa Arusha.
jambo hili limetokea baada ya wanafunzi wa chuoni hapa kutaka kuandamana kwenda kwa mkuu wa mkoa kudai madai ya usalama wao kua mdogo kutokana na mauaji yaliyofanywa kwa mwanafunzi mwenzao HENRY KOGA kuchomwa kisu cha shingo na watu wasiojulikana na kumpola LAPTOP na mali zake nyingine.
kitendo hicho kiliwakumbusha machungu wanafunzi wa uhasibu kutokana kupita kipindi kifupi kupita tangu aliyekuwa mwanafunzi wa chuo hicho OCTAVIAN BUKAJUMBE kuchomwa kisu na kuuawa mazingira ya chuo hicho hata miezi miwili haijapita.
Kabla fujo na mabomu ya machozi kuanza kurushwa kila mahali wanafunzi walikutana chuoni eneo linaloitwa FREEDOM SQUARE wakipanga namna ya kuandamana kwenda kwa mkuu wa mkoa. RPC alifika pamoja na UONGOZI wa CHUO wakijaribu kuwazuia wanafunzi wasiandamane.
wanafunzi walionyesha kutowasikiliza wakimtaka MKUU WA CHUO ambaye alitafutwa bila mafanikio. kelele za wanafunzi zilipungua pale Mbunge wa jimbo la Arusha Godbless LEMA kufika chuoni hapa mnamo mida ya saa 4 asubuhi na kuwatuliza kwa kumpigia simu mkuu wa mkoa wa arusha kufika chuoni na kusikiliza madai ya wanafunzi hao. hasira za wanafunzi zilipanda baada ya mkuu wa mkoa kufika na kusema "hawezi kuongea na watu wasio na nidhamu" pia hawezi kuongea bila kipaza sauti akisahau kuwa wanafunzi hao wanauchungu na hasira za mwenzao kuuawa kinyama.
Mabomu yalianza kupigwa baada ya mkuu wa mkoa huyo kuonyesha kutojali kile wanafunzi wanachotaka. ndipo walipoanza kuzomea na kurusha chupa kwa mkuu wa mkoa na askari kuanza kupiga mabomu ya machozi...
Baadhi ya maafa yaliyotokea ni baadhi ya wanafunzi kuzimia na wengine kujeruhiwa na kuibiwa mali zao wengine wamekamatwa..wanafunzi waliobaki wametakiwa kurudi nyumbani kwao mikoa mbalimbali ndani ya Tanzania kwa muda usiojulikana.
Matukio ya uporaji na kujeruhiwa limekuwa tatizo sugu kwa wanafunzi wa uhasibu zaidi kwa wanafunzi wa kiume wasiokuwa na MABWENI chuoni hapo hivyo kulazimika kupanga maeneo ya karibu na chuoni hapo. ambapo hupata matatizo hayo wanapokuwa wakirudi magetoni mwao na wakati mwengine wamekuwa wakivamiwa huko huko kutokana na kutokuwa na usalama wowote.
Kimekuwa ni kilio jwa wanafunzi hao waweze kujengewa BWENI la wavulana mahali hapo bila kupata majibu yeyote.
Historia ya Marehemu
Jina: HENRY KOGA
Mwenyeji: IRINGA
Alikuwa anasoma: SHAHA YA FEDHA NA BENKI (mwaka 2)
Aliuwa: KWA KUCHOMWA KISU NA VIBAKA
Muda: KATI YA SAA 4 NA SAA 5 USIKU

JIHADHARINI SANA NA HAWA WEZI WA MTANDAONI!!!!

Hello it is high time now!
Natumai wasomaji wangu wote mko poa!
Leo natamani niwaonyeni watumiaji wote wa mitandao ya kijamii hususani facebook,Google+ na emails, kuna watu mashuhuri duniani wanaitwa HACKERS, hawa wanaweza kukutumia email kana kwamba wao ndio operators wa hiyo site ambayo wewe una email yako,na wanaweza kudai kutaka kufanya mabadiliko na hivyo wakaomba majina,umri pamoja na password na hapo ukiwapa wanaingia kwa account yako na kuitumia vibaya labda kuomba msaada wa kifedha kwa watu kwenye account yako then wewe huwezi kufungua tena!

PILI kuna hawa wanaitwa CYBER THIEVES hawa wanatumia njia ya kuwatumia watu eti wameshinda bahati nasibu,basi watakuomba details zako na ukiingia tu mkenge basi umeliwa,pia katika kundi hili wapo wengine hujifanya wana deal za muhimu hivyo huomba urafiki na hata kukupigia simu na hapo watakuja na hadithi za eti kuna fedha benki na mrithi kafariki so wanataka uwe wewe,hapo usipokuwa makini watakuwa wanakuibia taratibu...mimi Chavala niwewahi kuibiwa karibuni $4000 mwaka 2006 ndani ya kipindi cha miezi kama sita hivi,maana niliaminmi kuna deal kweli,nikawa natuma pesa tena wanakupa document nyingine nikatuma tena na tena na tena na baadae wakapotea na hapo ndio nikawa niimeibiwa mazima...haikuwa kazi rahisi maana nilikaribia kuchanganyikiwa,but sasa ninawajua hivyo nakuonyeni usijaribu kujisumbua ...HAKUNAGA PESA YA RAHISI KIASI HICHO POPOTE!!



Na kipindi cha karibuni wapo kwenye mitandao ya kijamii hususani facebook,ni wanaume wanacreate accounts na kuomba urafiki na hata kama sio rafiki basi wanakutumia inbox na kuomba ukaribu na wewe kwa account nyinginezo wanazokupatia,na ukirogwa tu kuanza kuwasiliana watakuvuta mpaka watakuibia,maana wanajua watu wengi wanawaamini sana wasichana na kupenda ngono za reja reja!!

HAPA CHINI NAKUPA MIFANO HALISI YA MAIL HIZO,NA HIZI ZIMETUMWA KWANGU!!!

*****************************************************
Griscilla Andrew

Hello
My name is Miss Gabriella,i saw your profile today and after going through it, i fill more interest to contact you ,i will like you to please send me an email at my email address
via (gabriellaandrew20@yahoo.com) for me to send you my pics and to tell you more about me. wait for your replied thanks.
*************************************************
Vivian Jones Vivian

Hello Dear
It really is a pleasure to come along your profile, and I Miss Vivian by name, a nice looking young girl in search of friend.This is why I decided to contact you on this site, so we can be friends and also get to know each other. Age, race and religion is never a problem for me, and the only thing that matters is true love. Please contact me at my private email (joness.vivian @ yahoo.co.uk) for ease of communication, and so I will give you my pictures and more details about me, I still hope for your reply, have a nice day, write me on my email address.
Your new friend Vivian
****************************************************
Sliverline Williams

Hello Dear ..,
How are you?
My name is Sliverline. I am a female and I would like to add you as my friend and to establish a long lasting relationship with you.You are free to email me back via my email address.; sliver_lineon@ymail.com ;please If you are interested in knowing more about me OK? so I can send you my picture and tell you more about me. I'll be waiting to hear from you with love,

Yours lovely,
Sliverline.
kiss____¶¶¶¶¶__AM___¶¶¶¶¶ IN
_____¶¶■Ž¶¶¶¶¶Ž■Ž¶¶¶¶¶■Ž¶¶-
____¶¶■Ž█████Ž¶Ž████Ž- ¶¶
___¶¶■Ž███████Ž█████- Ž■ ¶¶
___¶¶■Ž████████████- Ž■ ¶¶
____¶¶■Ž███████████Ž- ¶¶
_____¶¶■Ž█████████Ž■ ¶¶
_______¶¶■Ž██████Ž■ ¶¶
_________¶¶■Ž███Ž■ ¶¶ LOVE
__________¶¶■Ž`█Ž■ ¶¶
___________¶¶¶¶¶¶¶¶
*****************************************************
Alice Koly

I saw your profile i pick interest on it and if U don't mind i will like you to write me on this mail ID( alice_koly@ yahoo. com ) am waiting to read from you,because i have something VERY VERY important and urgent to tell you In my reply i will send U more of my beautiful picture

Please try write me direct to my email address so that i can be able to responds back to you OR you can give me your own Email so that i will replied you direct to your Email ID you give me my e-mail ( alice_koly @ yahoo.com )
*********************************************************
Peaceful Peace

My dear,
Thanks for your reply, Please i have very important issue to discuss with you, But i want you to write me later through my private email( peacetagro@ hotmail.com ) It's important,so through email is the possible way for me to communicate with you.
***********************************************************
Nnice Chansa

Hello,its my pleasure to contact you,after going through your profile,i am looking for a honest person,and i think i have found you, you can get me back through my email (annicegabriel@live.com) as soon as possible ,so that i will tell you better about my self and also send to you picture,please do not reply me here in this site,just write to my email ok.

(annicegabriel@live.com)



JIHADHARINI SANA JAMANI MSIJE MKASEMA HAMKUONYWA!!!


KWA LEO NI HAYO TU!!


kING cHAVALA
+255 713 883 797

PSYCHOLOGICAL THEORIES ABOUT LOVE!!!!(WHAT DO YOU SAY?)



Women are more attracted to men who resemble or behave like their fathers.

Men are more attracted to women who resemble or behave like their mothers.

The majority of people will fall in love approximately seven times before marriage

Some individuals who claim to never have felt romantic, might suffer from Hypopituatarism - a rare mental disability that doesn’t allow a person to feel love.

Studies show that the risk of a ‘secret love’ being revealed only heightens romantic feelings.

“Frustration Attraction” is the condition of being overly attracted to someone only because they’ve rejected you.

At a critical time in childhood (between the ages of 4 - 6) boys and girls who live in close proximity, lost their ability to fall in love with each other.

When a person falls in love, the ‘ventral tegmental’ area in the brain floods the ‘caudate nucleus’ with dopamine - the same chemical found in cocaine.

When looking at someone you love, the neural circuits in your brain responsible for social judgment are suppressed.

A study of college students who had recently experienced rough break-ups showed they had strong activity in the ‘insular cortex’ - the part of the brain that experiences physical pain.

Studies show that if a man meets a woman in a dangerous situation (or vise versa) he is more likely to fall in love with her.

The ‘Romeo & Juliet Effect’ is when a difficult situation with challenges or obstructions only intensify one’s love.

Men & women are subconsciously attracted to those with a symmetrical face.

Men in love show more activity in the visualization part of the brain, while women in love show more activity in the part of the brain that governs memory.

40 - 70% of female homicides are committed by their lovers or spouses.

^ That wasn’t very romantic, was it?

Staring into a lover’s eyes can be a great way to strengthen bonds. In an experiment, complete strangers of the opposite sex were put in a room together for 60 minutes. They were asked to chat for 30 minutes, then only stare into each other’s eyes for the remainder of the time. Many felt a deep attraction for one another, & two pairs married each other six months later.

The urge to fall in love, like hunger & sleep, is a primitive, biological drive.

ACCORDING TO YOU,WHAT DO YOU THINK IS TRUE???

Papaa On Tuesday...Usipoziba Ufa Utaweza Kujenga Ukuta??


Ikiwa hang over ya Pasaka ikiendelea kwa baadhi ya watu wengine leo wameingia ofisini huku wamekunja nyuso zao walitamani leo iwe Jumanne Ya Pasaka ili wasiende maofisini lakini hata wangeweka mwezi wa Pasaka ajabu siku ya kwenda ungekunja tu uso wako.

Robo ya kwanza ya Mwaka imeisha tumeingia robo ya pili bado unamatumaini ama ndo unaona tarehe zinasogea sogea na unabaki hujielewi elewi??jipange aisee mwaka utaisha na mambo yatakuwa yale yale. Wahenga walisema usipoziba ufa utajenga Ukuta. Ni maneno ya hekima ambayo mababu zetu walituachia ajabu katika kizazi chetu watu wengi hawaijui hii wao wanajua tu methali za Kizungu, misemo ya mababu wazungu wakiamini ndio yenye maana zaidi.

Maisha ni muunganiko wa mambo mengi sana ambayo yanakujenga wewe kama wewe na yananijenga mimi kama mimi. Kuna mambo ambayo pole pole unayejenga ama unayafanya leo unadhani unaweza kuyamudu tu hata madhara yake hapo baadae. Unasahau kuwa tabia hiyo inatengeneza Ufa ambao baadae itakulazimu kutengeneza Ukuta. Gharama ya Ukuta haifanani kabisa na gharama ya kuziba ufa.

Yamkini wengine wamekuwa wakienda kanisani ama misikitini pale wanapojisikia kufanya hivyo kwao zile sio nyumba za Ibada ni nyumba za Msimu, leo mtu anakuja kesho anakuwa amechoka. Hakuna haja ya Kujiita wewe ni Mkristo wewe Ni Muislam safi wakati nyumba ya Ibada kwako ni kama Kituo cha Sensa mara moja kwa mwaka ama miaka mitano. Unaenda Kanisani ili Ukifa wajue wewe ni muumini wa Kanisa hilo??unaenda unapoenda ili upate mume ama mke??umewahi kujiuliza leo nafsi yako nani unayemtegemea katika kila unachofanya??unaamini una connections??unajiamini sababu ya mumeo ama mkeo ama kazi uliyonayo??Ukampuuzia Mungu kwa hayo unayoyafanya ukadhani wewe ndio nambari one sababu unapiga hela kila siku, nikukumbushe tena, amelaaniwa kila Mwanadamu anayemtegemea mwanadamu na kumfanya kuwa kinga yake, hivi umewahi waza huyo unayemtegemea mpaka unawadharau wengine siku akifa utakuwa mgeni wa nani??unadhani cheo ulicho nacho na nafasi uliyonayo ndio imekuwa tiketi ya kuwa fuska na kunyanyasa wengine??Chozi la Munyonge Malipo Kwa Mungu baba FM Academia huwa wanasema. Biblia iko wazi apandacho mtu ndicho atakachovuna. Ni heri ukajirudi leo maana gharama ya kujenga ufa uliouweka kwenye maisha na watu wanakuzunguka unaweza jengeka kuliko siku umepoteza kazi, ama umelazwa hospitalini hoi, au unayemtegemea kuwa ndo boss wako siku Mungu akaamua tu kukufundisha adabu wewe na watu wenye tabia kama yako, si unajua kila kifo cha Mbongo kuna kitu cha kujifunza??siku ya kufa haina taarifa uliza waliodondokewa na Ukuta pale town Posta Dar watakuambia.
Kuna tabia ambazo pole pole zinaendelea kwenye maisha yetu ambazo tunadhani madhara yake ni madogo hapo baadae na tunashindwa kujiuzia kwa sasa na tunasahau kuwa gharama ya kujenga ufa ni ndogo. Mara kadhaa nimekaa na watu ambao wanadai wameokoka na katikati ya mazungumzo wakatoa na matusi, mwanzoni nilijua utu wa kale bado unawasumbua wengine nikawasaidia na wengine sikuweza pata hiyo fursa. Lakini mwisho wa siku nikajiuliza huyu jamaa na hii tabia siku akiwa madhabahuni ghafla likamponyoka tusi akiwa ameshika Microphone itakuwaje??majuto ni mjukuu, na usipoziba ufa kuna siku itakugharimu kujenga ukuta. Kuna wengine kwa siri sana wamekuwa wakitoka nje ya ndoa zao, wengine imekuwa sio siri tena na wengi wameingia kwenye mateso ya ndoa wakiwa bado vijana sana. Nilipofanya utafiti wangu usio rasmi nikagundua wengi wao sio kwamba walikuwa hawahisi kabisa sio kwamba walikuwa hawajui kabisa ila hawakujua tatizo litakuja kuwa kubwa kiasi hicho by the way walijua wenza wao wataacha. We haijawahi kukutokea kwenye maisha mtu anakuomba msamaha mpaka analia kwa kosa alilofanya halafu baada ya siku chache anafanya tena kosa lile lile na anajuta vile vile mwisho wa siku anakuambia hawezi kuacha utafanyaje??siku muulize alianzaje anzaje??alianya pole pole ufa umebomoa tabia  njema sasa kazi ni kujenga Ukuta. Kuna watu wanatabia za Kujichua kwa ajili ya kujitimiza kimapenzi, unajua madhara yake hapo baadae ya Kimwili na Kisaikolojia??ndio maana kizazi chetu kimekuwa na changamoto kubwa sana ya Kutimiziana na Kutoshelezeana Katika tendo la ndoa, wanawake wengi sana wana suffer katika ndoa zao sababu ni wachache ambao wanafurahia tendo, wanaume wengi wako busy, wanaume wengi hawana uwezo wa kutimizia hitaji la wake zao, ukitazama hili kwa kina utaona lilianza kama ka ufa lakini wengine limeshabomoa ndoa nyingi sana.
Maumivu huanza pole pole kwenye maisha yetu na majuto ni mjukuu, wengi wanajuta kwenye maisha yao si kwa sababu ya yale waliyoyafanya hapo nyuma ila wengi wanajiuliza sababu ya kufanya, hujawaji kutana na mtu anajiuliza kwanini niliamua kufanya jambo fulani, why I decided to get marriage na huyu jamaa, najiuliza kwanini niliamua a....b...c, au wengine wanajiuliza Kwanini fulani kajiua, Kwanini fulani kajinyonga. Watu wengi huwa hawaangalii sana wanachokifaanya ila wanaangalia sababu ya kufanya kile unachotaka kukifanya. Kuna vijana wengi wanataka tu kuoa kwa sasa ama kuolewa umewahi jiuliza sababu ya wewe kutaka kuoa kwa sasa ama kuolewa??Sababu yako ya ndani kabisa ambayo ulikuwa nayo pengine umri umesonga, ama ulikuwa na maumivu ya nafsi ama ulikuwa umempenda mtu kwa sababu ya makalio yake na miguu yake basi jua jambo moja usishangae kwa kile kitakachotokea pale ambapo mambo yatakuwa yanajitokeza sababu maamuzi yale base katika tamaa na sio upendo utavuna sawa sawa na unavyopanda. Unajua level ya Kukinai mambo kwa wanaume wengi iko juu sana kuliko wanawake, unaweza kuta mwanaume anatazama taarifa ya habari baada ya dakika chache kesha badilisha stesheni, unaweza kuta mwanaume kabla ya Kukupata alikuwa simu, ma sms, ma appointment kibao baada ya kukupata mambo yooote ni kama sio yeye aliyekuwa anafanya hayo hapo kabla, kwenye yale makanisa yenye utaratibu wa kupiga magoti wakati wa Kusali angalia nani huwa wananyanyuka mapema kabla ya wenzao. Wengi wamekuwa wakidhani wanaume wana mapepo sio kweli kuna ufa umejengwa kwenye maisha ya watu wengi sana ambapo hata ukiwauliza hao wanaume wenyewe hawajui. Kwa sisi tuliojua na kuamua kubadilika tunazidi kujiimarisha katika hili maana Biblia yangu inasema Utaifahamu kweli na Hiyo Kweli itakuweka huru. Kama itakufaa daka kama haitakufaa potezea maana ufa kila mtu anaoujenga kwenye maisha yeye mwenyewe ndiye mwenye kazi ya kuujenga ukuta hapo baadae, ninachojiuliza ni kitu kimoja kama mtu aliona gharama kuziba ufa je ataweza kujenga Ukuta??

Ze Blogger
0713 494110
Facebook: Samuel Sasali
Twetter: Sam Sasali\
Skype: SasaliJr