CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

Papaa On Tuesday........Everyone Has A Story....Its a Matter Of Time


Ninawasalimu Kupitia Jina la Bwana Wangu Yesu Kristo siku hii Ya Leo. Nimatumaini Yangu Ya Kuwa wewe ni Mzima na Unaendelea Vema na Shughuli za Ujenzi Wa Taifa. Mwenzi January leo tunaugawa nusu kwa nusu ndio mwaka 2013 umeanza na kasi yake. Ninajua ni mwezi ambao kama unatafuta kukopa hela basi ujue unahitaji kuwa na vyanzo vya uhakika visivyopungua 15 maana ni mwezi ambao majority ya maisha ya kawaida ya Mtanzania tupo kwenye kuishiwa maana kwetu kujifunza kuwa kila mwezi january ni mwezi mgumu ni zoezi linalohitaji kugeuzwa nia. Kwa maombi maalum ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Vya Dar-es-Salaam, nimelazimika kufanya mwendelezo wa Papaa On Tuesday niliyoandika Mwaka Jana.