CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

Papaa On Tuesday....Siri Za Makosa Yetu Zinazogharimu Furaha Kwenye Maisha Yetu (2)(Hali Hii Itaendelea Mpaka Lini)??


Tunakila Sababu Ya Kumshukuru Mungu Kwa ajili ya Wakenya Kuamua Kiongozi ya Taifa lao ambapo Uhuru Kenyatta anakuwa Rais wa Nne wa Nchi hiyo, Kati ya Marais Wanne Watatu Wakikuyu na Mmoja Moi ndo alikuwa M-Karamajong kama alivyo Makamu wa Rais Wa Sasa Wa Nchi hiyo. Miaka ya Nyuma iliwahi sikika Kiongozi mmoja either kwa Kejeri ama hasira kuwa "Kenya Itatawaliwa na Wakikuyu Tu". Ninamtafuta Mzee Wa Upako Antony Lusekelo alitabiri "Raila Odinga" atashinda ili nimsikie atasema juu ya haya yaliyotokea nchini Kenya. Niwapongeze sana Wakenya.


Wiki Chache Zilizopita nikiwa ninatazama Tv nilimsikia Mzee Wa Upako Akihubiri, nikatega sikio Kumsikiliza kwa sisi watu wa habari Watu Kama Mzee Wa Upako hatutakosa la Kujifunza ama Kulidadisi katika mahubiri yake maana yeye ni Mzee Wa Transformer kazi kubwa ni kulipua mabomu. Juzi wakati anaongea alitoa mfano ambao nimekuwa nikiusikia mara nyingi na hata Mhe. Vicky Kamata Kuna wimbo wa kuhusu "Kuku" ametumia mfano huo huo aliotoa Mzee Wa Upako. Mfano huo unasema kulikuwa