HELLO HABARI!
NAAMINI MKO POA NA MNAENDELEA VIZURI, NILIKUWA KIMYA KWA
MUDA NA HII NI KWASABABU ZOOMING ZONE SIO MAKALA YA KILA SIKU AMA KILA MTU,
HIVYO LEO LENZI IMEMULIKA KIJANA MMOJA HAPA MJINI NA HUYU NDIO ATAKUWA……Zooming
Zone 004
![]() |
Zooming Zone 0004....Na Prosper A.Mwakitalima |
Huyu sio mwingine basi ni kijana mjasiriamali “SWAHIBA”
anayetamba na kujulikana sana kwa KUCHAPISHA T-SHRTS vizuri, nzuri na zenye
maneno mazuri hapa Mjini, Tanzania.
Naam pia ndio huyu ambaye habari zake zilivuma sana hapa
mjini kwa kupona“kufufuka” toka katika ajali mbaya sana sana pale maeneo ya
River side Ubungo 23/11/2011 iliyohusisha
lori la mafuta na gari yake ndogo,ajali ambayo ilichukua maisha ya watu kadhaa
akiwemo mama mmoja mjamzito ambaye alikatika kichwa(ilitisha sana kwa kweli)….lakini
Jambo la kushangaza ni kuwa kijana huyu alipona kabisa maana hakuvunjika mfupa
wala mshipa Zaidi ya michubuko kadhaa tu,hakuna aliyeamini hata leo lakini huo
ndio ukweli!
![]() |
Huwezi kuamini lakini huu ndio ukweli! |
Huyu pia ni mmoja wa washika dau na wawezeshaji wa Mtoko wa
marafiki Mjini uitwao “FRIENDS ON FRIDAY
(FoF)”, na ndio mbeba maono na mkurugenzi wa “SIFA TANZANIA”Mfululizo wa matamasha ya kumwinua Yesu hapa nchini
Tanzania.
Huyu ni PROSPER
ALFRED MWAKITALIMA a.k.a SWAHIBA a.k.a “The Next Billionaire” (King
Chavala tu anaruhusiwa kumwita “MY PS”)
NILIBAHATIKA
KUFANYA NAE MAHOJIANO HIVI KARIBUNI KWA KINA NA NIKAPATA MENGI SANA NA HAYA NI
MACHACHE KATIKA MENGI, AMBAYO NAAMINI YANAWEZA KUKUSAIDIA KUMFAHAMU VIZURI NA
YAMKINI KUJIFUNZA MENGI KUTOKA KWAKE, HUYU NI KIJANA WA KIPEKEE AMBAYE NI MFANO
WA KUIGWA NA VIJANA WA KITANZANIA…..FUATANA NAMI KATIKA MAELEZO YANGU KUHUSU