CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

PUMZIKA KWA AMANI BIBI KALLOVA!!

ALHAMISI JIONI YA WIKI JANA BIBI YANGU MZAA BABA ALITUACHA BAADA YA KUTESEKA KWA MUDA MREFU!
TULIMUAGA NA KUMZIKA JMOS KATIKA MAKABURI YA SEMTEMA-IRINGA!
NINAWASHUKURU WATU WOTE WALIOFANYIKA FARAJA KWETU KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU!
KWA NIABA YA FAMILIA NA UKOO NASEMA AHSANTE SANA NA MUNGU AWABARIKINI NYOTE,AMEN!!

KING CHAVALA!!

Papaa On Tuesday...A Way To Go Up Is To Go Down


Niwape pole Watanzania Kwa Msiba Uliotupata kwa ajili ya Padri aliyepigwa risasi kule Visiwani Zanzibar. Wiki Iliyopita niliandika Papaa On Tuesday nikasema Kama hatuwezi Kuziba Ufa Tutaweza Kujenga Ukuta??leo tunashindwa kuwadhibiti watu wachache wanaofanya fujo kutowesha hii amani je kweli kabisa wakifanya fujo nchi nzima hawa ndugu zetu tutaweza kweli wazuia?

Nakumbuka mwaka 2010 tulishuhudia tukio la Ki-historia kuhusu ndugu zetu wa Chile ambao walikaa ardhini kwa muda mrefu lakini hatimaye walifanikiwa kutoka. Katika story ya Chile nimependa story ya Jamaa aliyekuwa ameziba shimo la panya kwa kipande cha mkate na matokeo yake akaharibu. Katika wale waliokuwa ardhini kuna jamaa alikuwa na mke wake na kumbe jamaa pia alikuwa na nyumba ndogo ambayo alikuwa anaihudumia muda mrefu kwa siri. Siku ya kutoka kwenye shimo wanawake wote wawili wakawa wanamijihamu ya kumuona na kuwa nae teh teh yaani unaokoka na mauti tu unafikia kesi. Kuna siku tu ukweli utajulikana kwenye maisha yetu, tutajua chanzo cha vurugu hizi kweli ni uchinjaji ama kuna mengine, tutajua tu kuwa unamwibia mwajiri wako, tutajua tu wewe sio mwaminifu kwenye ndoa yako watu watajua tu wewe sivyo hivyo unavyoonekana.

Kwenye maisha yangu nimejifunza kufanya kazi na watu wengi sana hasa vijana na wanafunzi wakati mwingine watu wazima kabisa. Kuna wakati watu wazima Mitume na Manabii, Wakurugenzi na Wafanyabiashara tumewahi kukaa na kuongea mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa ajili ya huduma

#IMPORTANT TIPS#.....LEARN TO VOLUNTEER!!!


VOLUNTEERING IS NOT "A EASY/LOWLY PAYING EMPLOYMENT' BUT MORE THAN A PLATFORM TO REACH YOUR HIGHER DREAMS!!!!

I do hope that this idea will meet you rightly!!
i have meet very many people with wrong perception over this issue of volunteerism, many are treating it as low wage temporal job...that is why they either don't get those chances or when they got them, they under underperform!!
VOLUNTEERING is a willing will and act of the heart, just to pay-off a certain duration of your time to save others' objectives while gaining from it indirectly!!

Papaa On Tuesday....Leo Hakuna Papaa On Tuesday


Unajisikiaje siku unaamka ukatarajia Jambo liwe kama unavyotarajia kisha unakuta jambo lenyewe halipo kama ulivyolitarajia. Unajisikiaje leo umejiandaa kusoma Papaa On Tuesday ghafla unakutana na heading "Leo Hakuna Papaa On Tuesday" nini kinakuja kwanza kwenye Kichwa Chako??Umewahi sikia ile Sera ya "Utii Pasipo Shuruti" kwa maana ya kwamba hakuna anayekulipa mshahara kwa kazi unayoifanya Hakuna anayekushikia fimbo kuhakikisha unafanya lakini unawajibika kuifanya kazi hiyo kikamilifu sababu kuna watu wanakutegemea ufanye, utajisikiaje pale ambapo siku mtu anasema "kwanza kazi yenyewe silipwi", "Kazi yenyewe nafanya basi tu". Inahitaji Moyo Kufanya kazi kila siku kuandika Papaa On Tuesday pasipo kushurutishwa pasipo kulipwa ili kupitia kile Mungu alichoruhusu kuongea na watu wiki hiyo uweze kukiachilia.

Unavyotaka watu wa kufanyie kwenye maisha basi na wewe unawajibika kwa kipimo kile kile kuwafanyia wao kwanza, inakera sana unapoamka asubuhi watu walikuwa wanahakika utawafanyia jambo fulani kisha unawaambia kuwa lile jambo haliwezekani tena, cha

JIEPUSHE NA MATAPELI WALIOKUBUHU HAPA DSM....IMENITOKEA MM LEO 02/02/2013 KWA MARA YA PILI


Kuna utapeli fulani unaendelea Tanzania na inaelekea wanaoufanya wamefanikiwa sana na wanaendelea kufanikiwa kwani ni wa muda mrefu sasa. Nadhani matapeli hawa wanatumia ujinga wetu maana sisi sio watu wakutafuta sana usahihi wa mambo kabla ya kusema au kutoa maamuzi, pamoja na ujinga wetu wa kutaka kufanikiwa kwa haraka kwa njia yeyote ile hata kama hatujafanya kazi na bila kutumia akili. Utapeli huu sio mwingine bali ni ule wa wale watu wanaompigia mtu simu wakijifanya wanakujua kabisa na wanaweza hata kukupa some backgrounds zako za kazi, ajira au elimu na meninge hadi ukashawishika kuwa unayeongea naye ni mtu unayemfahamu/munayefahamiana na hivyo kutokua na hofu na uhalisia wa anachokuambia. Baada ya hapo wanaanza kukushawishi juu ya kuwasaidia kupata madawa ya kuhifadhi nafaka kwa madai kuwa mawakala wao ambo wamekua wakizipata toka kwao wameanza kuleta uswahili hivyo kwa vile unayeongea naye ndio anahusika na suppy, basi ameona ni vema akutumie wewe “mpendwa anayekujua” ili angalau upate hiyo commission kubwa ambayo huwapa ho mawakala na mugawane kidogo. Mara nyingi wanasema wanafanya kazi na shirika la chakula duniani (FAO) au shirika la wakimbizi duniani (UNHCR) na wako Kigoma.