CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

#.....NI MARUFUKU KABISAAAAAA!!#(01).....Kufanya Maamuzi kwasababu ya kumhurumia mwingine!!!!

HELLO GUYS!!
Ni marufuku kwa mtu yeyote yule mwenye akili timamu kufanya maamuzi yeyote yale muhimu yanayobeba mstakhabali wa maisha yake kwa kigezo cha "KUWAONEA HURUMA WENGINE KATIKA MAAMUZI YAO"


Kwa mfano;
Eti mtu anakubali kuingia katika mahusiano kwasababu tu mtu huyo amekufuatilia kwa muda mrefu,kwa hiyo unamuonea huruma mdada au mkaka wa watu.....hivi wewe una huruma kuliko hata neno huruma lenyewe,aliyekwambia huruma ni kiunganishi nani?
AU
Eti mtu amepata kazi nzuri ambayo mahali pengine ambapo atalipwa zaidi ya mara mbili ya alipo sasa na kazi ni uhakika,lakini mtu huyo anasita na kubaki hapo,kwa madai ya kuwa mwajiri wake wa sasa atajisikia vibaya,sasa wewe unaishi kumfanya ajisikie vizuri hali unateseka na maisha yako?
AU
Mtu anakuomba umsaidie kitu,na wewe unajua kwa hakika kitaharibu muda wako na labda na hadhi yako,lakini kwasababu unamuonea huruma huyo anayekuomba basi unakubali,angalia usije ukajitafutia laana,kuna mama mmoja aliwahi kumuokoa mwanae wa kiume ili asife kwa kutembea nae baada ya kijana huyo kunywa dawa za kuongeza nguvu za kiume huku akimngojea mpenzi wake na bahati(sijui mbaya au nzuri) huyo mpenzi hakuja,na dawa hizo ukinywa usipotumika unaweza kuondoka(hivi ndivyo ilivyo),na mama huyo aliwasihi dada zake wamsaidie wakagoma ila yeye akaona ni bora amuokoe mwanae,sasa yaliyomkuta mama yule ni kupata mimba ya mwanae na ili kuficha aibu alitaka kutoa na katika kutoa sijui ilitokea defects gani mwilini basi akapalalaizi na kazi akaacha na maisha yote yakasimama na kubaki majonzi,sasa sijui huyu mama tunamsemeaje lakini hata sasa kijana alishakimbia kuficha aibu na mama ndio huyo anateseka kitandani!
SASA SIO KWA MIFANO HIYO TU BALI NA MINGINE MINGI,TAFADHALI USIFANYE MAAMUZI YA MUHIMU KATIKA MAISHA YAKO KWA KUJIONEA AU KUWAONEA HURUMA WATU WENGINE...BE REAL AND BE YOURSELF!!!
Ni marufuku kujaribu kufanya ujinga huu......kama na wewe umenielewa sema kwa nguvu.......NI MARUFUKU KABISA!!!!

"23TH OF MAY" MARK THE BEGINNING OF A NEW YEAR TO KING CHAVALA!!!

Shalom!!!
NINAYO HESHIMA KUBWA SANA KUWASLIMIA WAZAZI WANGU WAPENDWA MR.ERASTO & MRS.OLIVER CHAVALA,NA ZAIDI KUWASHUKURU KWA MALEZI YOTE MPAKA HAPA NILIPO LEO.....KWA HAKIKA NINAWAPENDA SANA!!

Ninawasalimia ndugu jamaa na marafiki na washika dau wote wa Stand Up Comedy na King Chavala kote duniani!
Kila tarehe 23/05 ya kila mwaka,huwa ni siku ya muhimu sana maishani mwangu kwasababu ndio siku ambayo mshale wa mwaka hufika ZERO na kuanza upya tena,ni siku ambayo nilikuja ulimwenguni humu kuanza kazi iliyonileta,ndio siku inayoongeza umri wangu na kupunguza muda wangu uliobaki hapa duniani,ndio siku ya kumshukuru Mungu sana na wazazi kwa malezi bora na utunzaji wa zawadi hii muhimu!
TANGU SASA NA KUENDELEA TAREHE HII ITAKUWA SIKU YA U-SMART/USAFI DUNIANI,sasa kama zote huwa mnaita kutokana na majina ya waazinilishi basi hii itaitwa "CHAVALA DAY......Siku ya usafi duniani"

Labda natania kwasababu mimi ni comedian lakini namaanisha in term of future expectation!!
SIKU HII NI NZURI MNO,NAMI NIMEPANGA KUSHEREKEA NA MARAFIKI MBALIMBALI....Kwanza siku hiyo hiyo au siku nyingine kwa niaba ya hiyo(maana hiyo ni siku ya kazi); Nitakwenda kuwaslimia Watoto Wa Mungu(Yatima) na kutumia siku yangu nzima pamoja nao,lakini usiku wa Tar 23 hiyo nitakuwa CBE-TAFES FAMILY,PALE A.17,pamoja na wanafamilia tukisherekea pamoja na kujikumbushia enzi hizo za uanafunzi.

Na siku ya jmosi 25/05/2013 tutakuwa na safari ya kwenda Bagamoyo kwa ajili ya kujifunza na kutalii,basi kama wewe umezaliwa mwezi May au ungependa tu kwenda na sisi basi wasiliana nasi kwa haraka........safari ya kwenda na kurudi kwa 15,000/= tu....NA SAFARI HII TUTAAMBATANA NA WANAFUNZI WA CHUO CHA AFYA,HKMU-MIKOCHENI

Ahsante wote kwa kuendelea kuwa na imani na mimi,ahsanteni wote msiochoka kuniombea,kunichangia michango ya aina zote,ya hali na mali,AHSANTENI SANA MARAFIKI,KAKA NA DADA ZANGU,KILA MMOJA ALIYESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUYAFANYA MAISHA YANGU YAFIKE HAPA NILIPO NA APOKEE SANA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI!!

MUNGU AMENIPA UPENDELEO WA UHAI NA UZIMA TELE,VIPAJI LUKUKI NA ZAWADI A KIROHO NYINGI,NAJUA ANAYO MAKUSUDI NA MIMI,OLE WANGU KAMA SITAFANYA KAMA VILE MUNGU ANITAKAVYO NIFANYE!

Maisha yangu ni kwasababu ya Mungu,ninaishi na Mungu na ni kwa ajili ya Mungu.....basi Mungu wangu na awabarikini nyote!!

HAPPY BIRTHDAY DEAR MIMI!!!
King Chavala-MC
+255 713 883 797