CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

Papaa On Tuesday....Mtu Aonavyo Nafsini Mwake Ndivyo Alivyo


Ninakila Sababu ya Kumshukuru Mungu kula Inapoitwa leo kwa ajili ya Upendo wake kwangu kwenye maisha yangu, ninamshukuru Sababu nina ishi vile atakavyo na sio kama watu wengi watakavyo maana kwenye Kiswahili tunajifunza methali inayosema "Miluzi Mingi Inampoteza Mbwa" we unadhani uwongo??we ishi kama watu wanavyotaka nakuambia utapotea sana. Jua kwanini Upo na Unapaswa Kufanya Nini kwenye maisha utafurahia maisha yako.

Kwenye maisha nimekutana na watu wengine walitakiwa kuwa Wanajeshi wamekuwa Viongozi wa dini, nimekutana na watu walitakiwa kuwa Waalimu Kwa sababu mbali mbali wamekuwa Askari wa Barabarani, kuna watu walitakiwa kuwa Askari Magereza wamekuwa wake za Wachungaji kwani we unadhani bongo maisha yana formula??wengi tunafanya kazi ili tupate hela, kuna wacheza movie wengi sana wako maofisini, kuna waandishi wa habari wengi sana wanauza mitumba, kuna wabunifu wengi sana mambo wako sehemu kwa ajili ya

....IF YOU MANAGED TO THINK AND COME OUT WITH AN IDEA THEN TO START IT IS NOT A BIG DEAL....JUST START DOING WHAT IS NEEDED TO BE DONE NOW!!!

IT IS HIGH TIME GUYS SINCE I WROTE HERE CONCERNING ISSUES AND WORKABLE IDEAS TIPS!!
FIRST OF ALL I AM VERY GLAD TO BE CHOSEN TO SEE 2013, I BELIEVE I AM HERE FOR A SPECIFIC PURPOSE AND ALLOW ME TO SAY HAPPY NEW YEAR TO YOU!!!!
AFTER SAYING THAT....ALLOW ME TO SHARE A BIT ABOUT WHAT POWER IT TAKES FOR SOMEONE TO COME UP WITH IDEA!!! 

In this world we live Nothing is new at all,but we are the one who are new,that is why every time we come across with matter that we have never seen before we become so excited but those matters remain just normal, but in our heads/minds we have different configurations and settings upon everything we come across with and always high attention always catch those matters that we interested most basing on background informations that we have about those issues,and all that we call it MOTIVATION/PASSION....Then the process of our brain to suitably set up those motivations in course of action in our environment, we call it THINKING, this is work involve very many inputs,energy and time and honestly speaking THIS IS THE HARDEST JOB IN THE WORLD BUT THE MOST PAYABLE ONE,and very few people opt to do this!!!
Then after thinking you come out with the product called IDEA, it might be solution oriented or problem based idea but the most important issue to consider is workability of such an idea!!!

THEN THE PROCESS OF THINKING AND COMING OUT WITH A VERY GOOD WORKABLE IDEA IS THE BEST ONE AND INVOLVE ENOUGH OF YOUR BRAIN,then going on to start it is not the big deal at all!!
I have come across very many people with very good ideas(though i am not sure if they have not just copied somewhere) but they remain stacked with thousands of reasons!!...many claim Money to be an issue but i want to tell you that money has never been a problem in this earth but the problem is your seriousness with what you have

...One thing that you need to know is this BELIEVE IN YOURSELF,TRUST YOUR IDEA then CONVINCE PEOPLE TO PUT THEIR HANDS INTO YOUR IDEA!!!

However small the Idea might be just start to do what you can do for the time being!!!

"Everything in this Earth is done by Faith,you need not to see the whole staircase,just start the first step by faith" King Martin Luther

THE POWER THAT YOU HAVE USED TO THINK(IF YOU HAVE DONE THAT) AND COME UP WITH AN IDEA IS TEN TIMES THE ONE NEEDED TO START UP AN IDEA!!

I HAVE ENOUGH EXPERIENCE AND I HAVE ESTABLISHED MANY IDEAS AND UP TO NOW THEY ARE STILL OPERATING SO I AM SURE OF WHAT I AM ADVISING YOU TODAY,YOU DON'T NEED TO BE LIKE SOMEONE SOMEWHERE JUST BE YOURSELF!!
Clown Chavala
I HAVE NEVER DESPISED ANY IDEA HOWEVER SMALL IT MIGHT BE NOR ABASED ANYONE WITH AN IDEA FOR I KNOW THE BEGINNING OF ANY THING HAS SOME HARDSHIPS!!
So i want to insist once again as i am concluding my wisdom,if you think you have an idea then start working on that idea now!!!

THANK YOU FOR READING!!!
I REAL SALUTE ALL PEOPLE WHO HAVE IDEAS,AND I WANT TO ENCOURAGE YOU THAT KEEP ON PRESSING ON MPAKA KIELEWEKE!!!

By Chavala
President-ChIP
+255 713 883 797/+255 753 883 797
FACEBOOK;facebook.com/chavalapf
Twitter@kingchavala

HATIMAYE LAWRANCE NA WEMA NI WACHUMBA RASMI SASA!!

iLIKUWA VIGUMU KIDOGO KUAMINI WAZO HILI HAPO AWALI,LAKINI SASA TUNAPATA KUAMINI KUWA THAT IDEA OF LAWRANCE TO MARRY WEMA IS REAL AND WORKABLE!!
ALL THE BEST MAN!!!

LAWRANCE MWANTIMWA a.k.a GOLIATH ALIYE RAFIKI NA DAUDI KUMVIKA MTU PETE JPILI HII!!!

MAISHA NI SAFARI NDEFU SANA!!
HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE AMEWAHI KUWAZA KESHO YA MWENZIE ITAKUWAJE!
LAWRANCE MWANTIMWA BY 2007

KUNA NYAKATI MTU HUPITA NA KUDHARAULIKA NA KILA MTU NA HATIMAYE SAA YA HESHIMA HUFIKA PIA NA SASA YULE KIJANA ALIYEKUWA SII KITU HAPO KWANZA NA HATA AKAAMUA KUSOMA KWA JUHUDI NA HATIMAYE SASA MUDA UMEFIKA IMEONEKA NA ASIKAE PEKE YAKE,MUNGU AMEMFANYIA MSAIDIZI WAKE!!

GODWIN GONDWE NA LAWRANCE
MMH JPILI HII ATAKUWA ANAMUWAHI ILI WALE WOTE WALIOKUWA WANAZUNGUSHIA MOTO WACHOMEKE WENYEWE!!

ANAJIITA LAWRANCE THE PRESIDENT AMA MC LAWRANCE MWANTIMWA,ILA MIMI KWANGU NAMUONA GOLIATH ALIYEPATANA NA DAUDI(YAANI BEHIND THE SCENE YA ILE YA BIBLE)

HAYA MKAKA NI IDEA NZURI SANA HIYO NA NDIO MAANA NIMEONA NIIANDIKE HAPA!!....NA MAPEMA TAR 14TH aPRIL ATAFANYA KWELI KABISA HAHAHAHAH!!

IBAADA HII YA KUMVIKA PETE YA UCHUMBA BINTI HUYU,ITAFANYIKA KATIKA KANISA LA CITY HARVEST,DAR-MANDELA RD-GEREJI MAHALI KILIPO KITUO CHA MAFUTA CHA VICTORIA KUANZIA SAA NNE ASUBUHI!!
WEMA MUNISI
NANI AJUAYE KUWA BAADA YA NDOA WATU HAWA WATARUDI KUISHI HUKU,MMMH JUST MY WORDS!!

NIKIRIPOTI KUTOKA MOYONI
ni mimi  DAUDI MPOLE!!

Papaa On Tuesday........Everyone Has A Story....Its a Matter Of Time


Ninawasalimu Kupitia Jina la Bwana Wangu Yesu Kristo siku hii Ya Leo. Nimatumaini Yangu Ya Kuwa wewe ni Mzima na Unaendelea Vema na Shughuli za Ujenzi Wa Taifa. Mwenzi January leo tunaugawa nusu kwa nusu ndio mwaka 2013 umeanza na kasi yake. Ninajua ni mwezi ambao kama unatafuta kukopa hela basi ujue unahitaji kuwa na vyanzo vya uhakika visivyopungua 15 maana ni mwezi ambao majority ya maisha ya kawaida ya Mtanzania tupo kwenye kuishiwa maana kwetu kujifunza kuwa kila mwezi january ni mwezi mgumu ni zoezi linalohitaji kugeuzwa nia. Kwa maombi maalum ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Vya Dar-es-Salaam, nimelazimika kufanya mwendelezo wa Papaa On Tuesday niliyoandika Mwaka Jana.

WOKOVU WETU SIO SABABU YA INJILI YA VITISHO BALI SABABU YA UPENDO WA MUNGU TU KWETU!!!


Inawezekana mtu uliokokoka baada ya kutishiwa au kutishwa na mwingine mkumbo ma labda mwingine aliumwa sana sana mpaka akakaribia kufa hivyo namna pekee ya kuwa salama ilikuwa ni wokovu,lakini sisi wengine hususani mimi na my PS tumeokoka kwasababu ya Neema yake tu!!
MIMI NAWEZA NIKAWA sina USHUHUDA KAMA WAKO ILA MIMI MWENYEWE NI USHUHUDA HAI UNAOISHI!

Leo nilipata bahati ya kuongea na my PS na nikagundua kuwa somehow tunashare track ya wokovu wetu,maana wakati anatamani kumtumikia Mungu bado alikuwa kama vile haamini au haelewi vile lakini siku moja alimwambia Mungu natamani niamke kuomba lakini kila siku naamamka kumeshakucha sasa nataka kesho uniamshe saa kumi alfajiri ili nikaombe....na basi MyPS akalala na alikuwa peke yake chumbani...na jambo la kushangaza...usiku sana aliguswa mkono kwa ishara ya kuamshwa(ni kama vile mtu alimuamsha kihalisia),na kwasababu alijua amelala peke yake na hakumwambia mtu yeyote amuamshe isipokuwa Mungu tu basi aliamka kwa mshtuko mkubwa sana huku moyo ukimwenda mbio na alipoangalia kote hakuona mtu na alipoangalia tu saa ilikuwa saa kumi kamili juu ya alama,aliogopa sana na kuanza kulia tu na kwenda kanisani kuomba na hapo ndipo alipothibitisha kuwa Mungu yupo na anamsikia na tangu hapo hata sasa Upendo wa Mungu ndio wimbo wa hekima wa my PS.

Na hata mimi nakumbuka wokovu wangu haukuwa sababu ya injili ya vitisho,bali upendo waMungu tu!!

NAWEZA KUWA SIFANYI VEMA SAAANA AU MY PS HAFAANYI VEMA SAAANA BUT WHAT I KNOW FOR SURE IS THAT WE LOVE GOD AND HE LOVES US SOOOOOO MUCH!!!

 BLESSED YOU ALL!!

Papaa On Tuesday.....Jipya Litoke Wapi Kwa Mwaka Mpya, Watu Wale Wale, Fikra Zile Zile Matokeo Yale Yale


Ninawasalimu rafiki zangu wote tulio ndani na nje ya Tanzania nimatumaini yangu kuwa tumeuanza mwaka 2013 kwa amani kabisa. Nami na team yangu nzima ya Utendaji Tunawatakia Happy New Year.
Mwaka 2013 umeanza kwa kasi sana juzi tu hapa tumesherekea mwaka Mpya Ghafla leo tarehe 8, nexr week nikiandika tayari katikati ya mwezi maisha yanasonga na siku zinasonga na mwaka utaisha tutaingia 2014.
Kati ya maneno ambayo watu wengi wanayo anaoanza kupanga mipango utasikia "mwakani nataka nianze kusoma" au "Mwakani nataka Nianze Kulima" mwingine ukumuuliza swali tu atakuambia Mwakani, utadhani mwakani huwa haifiki, Mwakani na Kesho vinapishana kidogo sana. Ukimwambia mtu tuonane lini anakuambia "kesho", au hela yangu unanilipa lini anajibu "kesho", ama ukienda maofisini kufatilia documents utasikia Njoo Kesho, Njoo Kesho ikianza hutaamini wengi huwa wanadhani Kesho iko mbali, Kesho haiko Mbali kama Mwakani ilivyo karibu.
Mwaka 2013 ndio huu umeshaingia kwa sasa yale uliyosema Mwakani sasa Mwaka ndo umeshaingia umejipangaje kutilimiliza uliyo yakusudia??kama bado una mawazo yale yale, fikra zile zile, mtazamo ule ule basi usitegemee tofauti na mwaka jana, nini kipya unacho unadhani kinaweza kukusababishia ukafanya jambo la tofauti??wengi wetu tumepanga mipango kwa ajili ya mwaka 2013 lakini ukitazama kwa kina mipango ya mwaka 2013 mingi inafanana na ile ile ya mwaka 2012 ni kama Ume Copy, Ume Edit na Ku Copy, kile ulichofanya mwaka jana ndio mwaka huu utafanya tena vile vile Jipya utakuwa umelipata wapi??Kwani umeona tofauti yoyote kwako kati ya tarehe 31 Dec, na tarehe 01 Jan, zote ziko vile vile kama Njaa iliuma kama jana, kama usingizi ulikushika kama jana, hakuna jipya linalotokea mwaka unapoanza mpya kiasi kwamba ukaamini kuna nguvu ya utendaji inakushukia kuanzia tarehe 01 January ambayo hiyo itakufanya wewe kuwa noma kuliko mwaka uliopita, mawazo uliyo nayo ni yale yale, mtazamo ni ule ule Jipya litatoka wapi??

Kuna mwandishi mmoja wa Vitabu aliwahi sema Huwezi Fanya zaidi ya Kile Unachokiwaza ama Kijua, kufanya jambo ambalo hujawahi kuwaza ana kutokulijua linaingia katika Category ya Miujiza, sababu Muujiza ni jambo ambalo hukuwahi kuwaza kuliweza ama kulipata na likakupata kwa njia ya ajabu, unless 2013 uamue kuishi kwa njia ya miujiza miujiza ndio utakuwa na matokeo mengi sana tofauti. Hata kama Umetabiriwa kwenye nyumba ya ibada kuwa mwaka 2013 wewe utakuwa unatisha funika sana haitakuwa kwako kama hautaamua kuwa na fikra mpya, Kama mawazo yako uliyonayo ndiyo yamekufikisha hapo Ulipo Kwanini Usibadilishe taarifa ulizo nazo ili uweze kufika mbalia, badilisha aina ya marafiki ulio nao, badilisha aina ya nguo ulizo nazo, badilisha aina ya taarifa ulizonazo katika ubongo, ikiwezekana badilisha hata sehemu ya kufanyia kazi, ikiwezekana develop tabia za kimaendeleo kwa afya ya akili yako. Huwezi kuwa na mawazo yale yale na fikra ile ile iliyokufikisha hapo ulipo kisha ukategemea mwaka 2013 ukafanya wonders. 

Kama unayoyajua yamekufanya umefika hapo ulipo kuna mambo mawili lazima ujue yatakutokea ukiendelea kuwa na mawazo hayo hayo, kwanza lazima ujue utabaki kama ulivyo kama hautaamua kubadilika ama utapitwa na wakati sababu mawazo uliyokuwa unatumia mwaka 2012 ni mawazo ya mwaka 2011 kama ambavyo uko 2013 unatumia mawazo ya mwaka 2012. Yamkini mwaka 2013 uko kwenye season yako, kila mtu anakutafuta wewe, kama umaarufu umekujongea tayari, kama ni fedha zinazidi kukufuata jua jambo moja ukiwa na mawazo yale yale na fikra zile zile watu watasema hauna Jipya. Na kweli Jipya utakuwa umelipata wapi wakati unawaza wale wale unafanya yale yale kisha watu watakuchoka na kukukimbia.

Think Differently and Make A Difference.

Papaa Ze Blogger
Tel. 0713 494110
Twitter: Sasalijr
Facebook: Samuel Sasali
Email: samsasali@yahoo.com

HERE THE 1st MODE CALANDER FOR 2013,YOU CAN HAVE IT IF YOU NEED!!!!

HERE IS MY GIFT TO ALL WHO WISH TO RECEIVE THIS GIFT!!!
IF YOU NEED IT(THIS ONE OR OTHER VERSIONS) JUST ORDER NOW 0713883797
HAPPY NEW YEAR 2013!!!