CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

Papaa On Tuesday....Leo Hakuna Papaa On Tuesday


Unajisikiaje siku unaamka ukatarajia Jambo liwe kama unavyotarajia kisha unakuta jambo lenyewe halipo kama ulivyolitarajia. Unajisikiaje leo umejiandaa kusoma Papaa On Tuesday ghafla unakutana na heading "Leo Hakuna Papaa On Tuesday" nini kinakuja kwanza kwenye Kichwa Chako??Umewahi sikia ile Sera ya "Utii Pasipo Shuruti" kwa maana ya kwamba hakuna anayekulipa mshahara kwa kazi unayoifanya Hakuna anayekushikia fimbo kuhakikisha unafanya lakini unawajibika kuifanya kazi hiyo kikamilifu sababu kuna watu wanakutegemea ufanye, utajisikiaje pale ambapo siku mtu anasema "kwanza kazi yenyewe silipwi", "Kazi yenyewe nafanya basi tu". Inahitaji Moyo Kufanya kazi kila siku kuandika Papaa On Tuesday pasipo kushurutishwa pasipo kulipwa ili kupitia kile Mungu alichoruhusu kuongea na watu wiki hiyo uweze kukiachilia.

Unavyotaka watu wa kufanyie kwenye maisha basi na wewe unawajibika kwa kipimo kile kile kuwafanyia wao kwanza, inakera sana unapoamka asubuhi watu walikuwa wanahakika utawafanyia jambo fulani kisha unawaambia kuwa lile jambo haliwezekani tena, cha