CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

.....eti ni kweli kuwa AJALI IMEMWONGEZEA PROSPER MWAKITALIMA UMAARUFU????

imepita muda kidogo bila kuonana na my PS na ndio maana uliona kimya, lakini nakumbuka mara ya mwisho tumeonana tulikuwa na hili la kuzungumza......

JE MATATIZO AU CHANGAMOTO VINAWEZA KUMPATIA MTU UMAARUFU AU NAFASI KUMBWA YA KUFANIKIWA?
Na swali hili lilikuja baada ya mtu mmoja kunituma salamu kwa my PS lakini yeye akasema hata hamfahamu, sasa hapo ndio tukaanza kuchambua na kugundua kuwa hata katika mambo mabaya kuna mazuri ndani yake!!!
My PS alipata ajali mbaya sana na kila mtu alibaki kushangaa na hata sasa bado wanaendelea kushangaa kuwa katika ajali mbaya kama ile mtu anawezaje kuwa mzima??
na mbaya zaidi na hata wafanyakazi na madaktari bigwa walipigwa na butwaa kuona ni jinsi gani watu walivyokuwa wengi kumuona my PS akiwa hospitali, hali sio msanii au mwanasiasa au chochote chenye kujustify umati ule wa watiu!!!
na hata baada ya pale sasa, wengi wanamfahamu na hata kama hawajawahi kuonana, basi humwita "Mwakitalima wa ajali ya gari" na hali wakiita hivyo mshikaji anaendelea kupokea kazi na maisha ndio yanaeleweka!!!

Nikaongezea jambo moja kuwa usiwe na mtazamo finyu, kiasi cha kuki-critisize kila kitu, sababu tu hukipendi...unajua imewahi kutokea msiba fulani wa Jambazi sugu mwenye genge na hapo msibani kila mtu alikuwa akiongea lake na jambo la kushangaza, wakati wengi wakisumlia ukatili wake, huyu mmoja alikuwa akisimulia jinsi YULE JAMAA ALIVYOKUAGA SMART!!!
Unajua nini unaweza kujifunza unyenyekevu au kujali kutoka kwa mshirikina au kahaba!!!


NATAMANI UBADILIKE NA UBADILISHE MTAZAMO, NA KILA WAKATI JITAHIDI KUONA POSITIVITY YA EVERY IDEA THAT PASSES YOUR WAY!!

Ahsante sana my PS
King Chavala
+255 713 883797