CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

#....NI MARUFUKU!!!#(03).....Kuvaa nguo zenye maandishi ya AJABU AJABU!!!

#....NI MARUFUKU!!!#
Ni marufuku kwa mtu yeyote mwenye akili timamu,mstaarabu na mwenye future na anayejiheshimu kuvaa fulana/nguo au niseme T-shirts ambazo zina maneno asiyofahamu maana yake au hata kama ana fahamu maneno yasiyo faa....yaani wewe unanua tu bora ni Tshrt,zingine zina matusi aitha kujitusi mvaaji,au wengine wanaosoma au hata kuaibisha jamii yako.....Nimekutana na mtu amevaa tshrt imeandikwa..."I am proud of My Virgin Grandma" na mtu yuko happy tu dah! inawezekanaje Bibi yako mama yake na mama yako awe bikra hata sasa kama sio matusi hayo? 

MAMA YAKO ALIZALIWAJE NA BADO BIBI YAKO AKABAKI BIKRA KAMA SIO USHIRIKINA HUO????

 Unajua maana ya haya maandishi kwa tshrt hii?
Au mtu unavaa tu?

Kwanini basi usiulize kwanza kabla au mara tu unaponunua?\

Na watu wengine wala hawatakwambia utashangaa wanakucheka tu,kila ukivaa na wewe unaweza kudhani wanakufurahia kumbe kejeli!

JE UNAJUA KAMA NGUO KAMA HIZI ZIMEBEBA MAANA NA KUPIGIA DEBE MASHOGA NA WASAGAJI?

Nimeona nyingi sana lakini masikini wengine huwa hawajui maana yake hivyo wanavaa tu, na sehemu nyingine wazazi wengine huwanunulia watoto wao dah! haiwezekani mtu mzima akavaa Tshrt inayomtambulisha kama "kahaba mpole" mbona zipo nguo kibao zenye maneno mazuri tena ya lugha yetu ya kiswahili kwanini kuvaa kitu unachokielewa....najua unanielewa na yamkini umewahikuona na wewe mtu akiwa amevaa kituko....kama unakumbuka basi tupia mfano wa uliyowahi kuiona na useme ...HATA HII MARUFUKU KABISA!!!
ANGALIZO:Kwa wale wanaopenda kuvaa hivyo hivyo makusudi kabisa basi yamkini wana maana zao ambazo wangependa watu wajue bila wao kuongea kwa mdomo....hao ni issue nyingine,lakini wewe sio mmoja wa WASIOJITAMBUA NA KUJIKUBALI SAWASAWA NA UUMBAJI WAO,basi nimesema marufuku kabisa!!!

>>>Hii ni kwa ajili ya watu wenye akili timamu tu wanaojitambua na kujiheshimu tu.....vigezo na masharti kuzingatiwa!!

@Kwa hisani kubwa ya Chavala Ideas Platform <chavalamedia.blogspot.com>