CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

KUNA VITA NDIO, LAKINI PIA KUNA SHEREHE JESHINI....HONGERA LUTENI FRANK MNDEME!!!

Habari zenu!
Kwa namna ya kipekee, natamani uone ni jinsi gani Shughuli ya Kuoa inavyoheshimiwa hata na Jeshi....wanaamini mwanajeshi pia anahitaji msaidizi na mwenza, na ndio maana ukianza mafunzo ya jeshi,ama kujiunga na jeshi na kuwa mwanajeshi....unatakiwa kulitumikia jeshi ukiwa single kwa miaka 6 (Sijui kama katazo hili lina nguvu hata sasa) na ndio unaruhusiwa kuoa kiheshima!!

Luteni Frank Mndeme na mkewe
Unaweza kuona jinsi heshima ilivyo...
Yaani hii ni Official Hongera!

HUU NI MFANO WA HARUSI ZA KIJESHI, NIMEPATA PICHA CHACHE ZA NAMNA ILIVYOKUWA WAKATI LUTENI FRANK MNDEME ALIPOOA  SIKU CHACHE ZILIZOPITA!!

Huyu ni mdogo wa Mathew Mndeme, mmoja wa waandishi wa Blog hii....Simple Man with always a story to tell!

CHAVALA IDEAS PLATFORM Inawatakia kila lakheri na fanaka ya maisha mema wanandoa hawa...furaha ya ndoa na upendo wa kweli udumu na kukua kila leo,Amen!

Hotline; +255 713 883 797