CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

STAND UP COMEDY IS VERY NEW IDEA IN TANZANIA, BUT CHAVALA AND OTHER PIONEERS HAVE DECIDED TO TAKE IT HIGHER!!!

KING CHAVALA KUFANYA TAMASHA LA CHRISTIAN STAND COMEDY TENA DAR ES SALAAM J’PILI YA TAR.24TH JUNE 2012 NDANI YA CITY CHRISTIAN CENTRE-UPANGA.


http://www.facebook.com/events/298374726898828/

Baada ya kufanya Tamasha la KUCHEKA TENA la mwisho pale Landmark Hotel,Ubungo mwezi wa tatu na hatimaye Arusha mwanzoni mwa June hatimaye mkali na muasisi wa christian comedy nchini Tanzania anatua tena jijini Dar es salaam kwa Tamasha lake la nne toka ameanza mwishoni mwa mwaka jana pale Ubungo plaza.
Yaani ni kucheka na kucheka na kucheka tena huku ukimsifu Mungu na kujifunza yapasayo kutenda katika maisha yako ya utauwa.
Tamasha hili litawasimamisha Up Coming Comedians wa kutosha katika segment maalum ya OPEN MIC, na wale ambao wamezoeleka kama Richard Chidundo,Gerald Mrema,pilipili,Josephine na wengine watakuwa sambamba na waimbaji kama Sarah Shila, Deogratius, Meshack, Gee & Seth, WordAlive and Dar es salaam Gospel Bands,Golden Eagles and 1st Q dance groups katika kunogesha na kuhudumu pamoja na Mkali wa jukwaa, mtu aliye dawa.....The King Of Stand Up Comedy,CHAVALA.

Kwa wale wafuatiliaji wa mambo, naamini LAUGH AGAIN CONCERT SERIES sio jambo geni masikioni mwao!!
Huu ni ule mfululizo maalum wa matamasha ya vichekesho na vipaji halisi vya kikristo hapa nchini ambao unasimamiwa na MC/Comedian na Muasisi wake nchini CLOWN CHAVALA(The King of Stand Up Comedy) kupitia Chavala Ideas Platform chini ya udhamini mkubwa wa Great Potentials Ltd.
TAMASHA HILO LITAANZA SAA TISA JIONI MPAKA SAA MOJA NA NUSU USIKU(3-7:30PM) 
NA KIINGILIO KITAKUWA 5000/= 
NA 2000/= TU KWA WATOTO.
Katika SERIES hii bado tuko Msimu(SEASON) wa kwanza na hili Tamasha lijalo litakuwa Tamasha la tatu kwa Dar es salaam  na ni Episode II. Kama ilivyotaarifiwa mapema Tamasha hili la jpili ijayo(24th June 2012) pamoja na mawili yafuatayo kwa hapa Dar(Yaani Tar 23th Sept na 23/30th Novemba-mkesha wa mwisho) yatafanyika katika
 ukumbi wa CITY CHRISTIAN CENTRE-UPANGA(Mkabala na Mzumbe Dsm)
TAMASHA HILI LIMEDHAMINIWA NA GREAT POTENTIALS LTD,CITY CHRISTIAN CENTRE(CCC),TOUCHING VISION,AUTHOR2READERS,WORDALIVE CHURCH,OLYMPUS COMPUTERS AND CHAVALA IDEAS PLATFORM.
Akielezea mafanikio yaliyopatikana Chavala amesema;.....Kwa kweli mafanikio ni makubwa sana mpaka sasa ingawa mengine hayawezi kuonekana kwa macho ya nyama ila itoshe tu kusema mafanikio ni makubwa mno;yaani toka kule ambako nilikuwa sitambuliki na watu kwa makusudi walikuwa hawataki kuona umuhimu wa Comedy katika ulimwengu wa kikristo mpaka sasa ambako wengi wameanza kuelewa, wamepokea na wamekubali,kibali nilichokipata Arusha kwa mfano ni kikubwa mno kiasi cha kushangaza; kwa sasa nina vijana wengi sana ambao wamevutwa na kuona nao wanaweza kumtumikia Mungu kwa vipaji vyao kama vile Comedy,Dance na Mashairi na mengine mengi ya vipaji halisi, hivyo nina wanafunzi wakutosha na zaidi washika dau,wachangiaji na wanaounga mkono ni wengi sana na hata wewe unaesoma hapa unakaribishwa kuwa mmoja wao.
Nimeongeza marafiki na maadui(ingawa kwangu ni invalid) na nimekuza network base yangu hapa nchini, kwa msaada wa media ninaamini nitaweza kuyafikia majiji yote nchini na kutambulisha Christian Comedy na vipaji halisi isipokuwa Tanga peke yake,ambayo haiko katika ratiba ya msimu huu w kwanza.
Chavala ametoa ratiba yote ya mwaka iliyobaki kuwa anatarajia kufanya Matamasha makubwa hayo katika majiji yote ya Tanzania kabla ya Novemba,mpaka sasa matamasha hayo yameshafanyika Dar es salaam na Arusha na Mwishoni mwa July Chavala atakuwa Mbeya,mwishoni mwa August itakuwa Mwanza,September ni Dar tena,October itakuwa Dodoma na Mwisho wa Novemba nitamalizia kwa mkesha pale CCC-Upanga,huu utakuwa ni mkesha maalum wa kumaliza msimu wa kwanza na utahusisha wasanii wote na wengine wateule ambao wamepata nafasi ya kushiriki katika matamasha mbalimbali ya msimu huu wa kwanza!!
Kwa matamasha yote hayo yaliyo mbele bado kuna mengi na vingi vinahitajika,kama vile Pesa, Laptops,Kamera,Music system,Sudio na mengine mengi hivyo ikiwa unaguswa kuhusika/kuchangia/kudhamini/kushauri chochote katika Tamasha lolote wakati wowote tafadhali usisite kufanya hivyo, tutashukuru mno ingawa tunashikilia haki ya kutendea kazi au kutunza ushauri wowote ule ujao toka  nje.
Unaweza kutuandikia kupitia lacs.project@gmail.com 
au tupigie kupitia +255-(713/753)-883 797....pia unaweza kuchangia kwa benki za simu(M-pesa na Tigo Pesa) kupitia no.hizo hizo.
Lakini pia unaweza kutembelea blogs
1.       www.gospelstandardbase.blogspot.com......hii ina mafundisho zaidi kuhusu Neno la Mungu toka kwa watumishi wa Mungu mbalimbali
2.     www.chavalapf.blogspot.com.......hii inahusika na mawazo mbalimbali ya watu mbali ambayo ni muhimu na yanajenga!
3.     www.kingchavala.blogspot.com...... Hii ni maalum kwa ajili ya shughuli zote na matukio yote yamuhusuyo Clown Chavala,The King!
Na unaweza kutembelea page ya facebook; LAUGH AGAIN CONCERT SERIES
Au page mahususi ya Chavala...
www.facebook.com/KingChavala   au www.facebook.com/chavalapf na zaidi wale watumiaji wa Twitter mnaweza kumfuataPresident Chavala @ClownChavala
ANGALIZO;
Kama ungetamani kuwa mwanachama na unapenda kupata habari kila mara zikiwepo huhusu mizunguko ya Chavala katika kampeni hii na kufanyika kwa matukio haya kokote kule nchi usisite kutuandikia kwa e-mail hiyo hapo juu.
Na kwa wale wasanii wanaochipukia na wale wanaofahamika huko mikoani tafadhali wasiliana nasi mapema kama ungependa kushiriki katika mojawapo ya matamasha haya kwa namna yeyote ile.
SHUKRANI;(Na President Chavala)
Mwisho napenda kutoa shukrani kwa mashabiki na wafuasi wangu wote ambao ndio wanafanya jambo hili liiendelee kukuwa siku hadi siku,tunashukuru kwa wachangiaji wa fedha,mawazo,muda na ujuzi; ninawashukuru wote wanaotuombea na kututakia mema kila wakati majukumu haya;Ahsante kwa magazeti,ahsante watumiaji wa Social networks kama Twitter,facebook na blogs na wanahabari wote zaidi redio,magazeti na christian blogs,kuanzia wanahabari binafsi mpaka wale wanaofanya kwenye makampuni na Taasiss binafsi na za serikali ambao mmkekuwa mstari wa mbele katika kupigia debe jambo hili! Naamini Mungu lazima awalipe katika mambo yenu!
Natambua mchango wa wasanii wengine katika sanaa hii, maana peke yangu nisingefika popote pale,ahsanteni Emmanuel Mgaya(Masanja Mkandamizaji); Evance Bukuku(VuvuZela Comedy Show); pamoja na vijana wangu kama Richard Chidundo;Mrema Gerald, Senior ABBy na MC Manu/pilipili toka Dodoma na wengine wengi ambao kimsingi mchango wao unatambulika!
Naamini kila utakapoona tangazo popote hautasita kufika na kuwaalika wengine au wenzako...tafadhali anza kutekeleza hayo na Tamasha hili,ubarikiwe sana!! 

Unaweza tembelea facebook group yetu ;
 http://www.facebook.com/groups/lacs.project
Ahsanteni sana na karibuni sana sana kucheka tena na tena na tena maana kucheka ni dawa na kunaondoa sumu mwilini!!

Royola High School ft WordAlive Centre are coming another Hot Idea on 23th June"....HIGH VOLTAGE!!!"


In Him we Live, We Move and Have our Being.....not simply in motion but there is HIGH VOLTAGE that keeps us moving namna hiyo atii!!
THIS GONNA BE HOT AND REAL HOT THIS SATURDAY IN ROYOLA HIGH SCHOOL,WHERE BY POWERFUL PRAISE AND WORSHIP, SERMONS, TALKSHOWS,COMEDY AND MUCH MORE WILL BE POURED AT ONE STAGE FOR EVERY HEART OF ATTENDANT!!!!
GUESS WHAT? IT IS TOTALLY FREE!!!!
ARE YOU GONNA MISS THIS???

JE UMESHAPIGA KURA YAKO??.....VIVA SHUSHO VIVA TANZANIA!!!!

  
http://africagospelawards.com/nominate.html

Christina Shusho ni mwanamuziki pekee wa nyimbo za Injili nchini Tanzania anayewania Tuzo za Muziki wa injili barani afrika katika kategori mbili, Mwanamuziko bora wa injili Afrika Mashariki na mwanamuziki Bora wa Kike wa Injili Barani Afrika.Ili Kumpigia kura BONYEZA(CLICK)hiyo link chini ya picha ya Shusho hapo juu na fuata maelekezo.VIVA SHUSHO VIVA TANZANIA

SARAH SHILLA NA IDEA YAKE YA KUZINDUA ALBUM YAKE TANZANIA KABLA YA KURUDI INDIA!!!!

BILA SHAKA DADA HUYU SI MGENI KABISA MACHONI KWAKO!!
KIPAJI CHAKE KINAKUWA SIKU HADI SIKU NA SASA ATAKUWA ANAFANYA UZINDUZI WA ALBUM YAKE IITWAYO "LET IT RAIN IN HIS PRESENCE"
NI NDANI YA UKUMBI WA BANORA, OPP. NA MLIMANI CITY APPARTMENTS NA ITAKUWA KUANZIA SAA NANE MCHANA HATA KUMI NA MBILI JIONI JPILI YA TAR.5TH AUGUST 2012 KWA KIINGILIO CHA 5000/=

......STAY TUNED KWA HABARI ZAIDI!!!!!

AN OPPORTUNITY OF INVESTIMENT IS HERE AT GOIG SACCOS LTD!!!!!!!!

HELLO WHAT'S UP?
HOW D DOARE TO BECOME POOR?
 WHY DON'T YOU WANT TO OWN RICHNESS IN YOUR OWN COUNTRY!!!
HAVE YOU EVER HEARD OF GOIG(GETTING OLD IS TO GROW)???
HAVE YOU EVER MENTION IT WHEN YOU WANT TO DROP FROM DALADALA JUST AFTER SAMAKI BUS STOP?
DO YOU KNOW ITS ORIGN?
OKEY NOW COME AND KNOW AND GET OPPORTUNITY TO INVEST FOR YOUR FUTURE!!!
GOIG SACCOS LTD HAS COME WITH VERY POWERFUL IDEA OF INVESTIMENT!
YOU JUST NEED TO BUY SHARES,THAT ARE SOLD AT 2000/=PER SHARE AND YOU HAVE TO BUY 10 SHARES MIN MUM!!
HERE IS MORE EXPLANATION!!!


THIS IS THE RESULT OF RESEARCH THAT HAS BEEN DONE!!!
SO IT IS YOUR CHOICE; EITHER TO GROW POOR OR INDEPENDENT!!!

THIS PROJECT IS AIMING TO OPEN AND OWN FIVE MEGA ZINJA STORES IN FIVE CITIES OF TANZANIA,THAT IS TO SAY YOUR SHARES WILL BE PART OF THAT CAPITAL!!

HERE IS SAMPLE OF PRODUCTS!!!
WHEN YOU BECOME MEMBER OF THIS SACCOS YOU WILL HAVE SEVERAL ADVANTAGES SUCH AS
1.ABILITY TO TAKE LOAN FOR YOUR BUSINESS FOR VERY LOW INTEREST RATE OF JUST 2% PER MONTH.
2.TO BE ABLE TO BUY PRODUCTS FROM GOIG AND SELL THEM FOR YOUR SAKE
3.SELL CERTIFIED AFRICAN PRODUCTS TO ZINJA PROJECT SO THAT THEY BECOME PART OF PRODUCTS I ZINJA MEGA STORES
FAR MORE YOU GAIN 12% DIVIDENDS PLUS 1 UP TO 4%BONUS PER EACH STRATA OF SHARES(10SHARES) AT THE END OF EACH BUSINESS YEAR!!!
WHY DON'T YOU INVEST NOW FOR YOU,YOUR CHILDREN AND YOUR FRIENDS IF NOT RELATIVES???
EACH MEMBER WILL BE ISSUED A SHARE CERTIFICATE TO SHOW THE EVIDENCE OF NO. OF SHARES HE/SHE OWN WITH GOIG SACCOS LTD!!

DON'T YOU KNOW THAT GETTING OLD IS TO GROW?
AND THAT IS NAME OF THIS NGO.....GOIG!!!
I WISH IF YOU WILL VISIT THIS SITE FOR MORE INFO AND CONTACTS
www.goigsociety.org
OR CALL +255 716 230441 OR +255 755 166 864

Coming soon!......WHAT NEXT AFTER COLLEGE???....IS ANOTHER HOT SEMINAR COMING IN ARUSHA ON 9th JUNE AT GOLDEN ROSE HOTEL!!!!



Project; “WHAT NEXT AFTER COLLEGE?”
Idea by; FREDY E. CHAVALA(President-ChIP)
Organization and Management; CHAVALA IDEAS PLATFORM(ChIP)
Target; COLLEGE AND UNIVERSITY STUDENTS
Venue; GOLDEN ROSE HOTEL,ARUSHA
Time; On 9th June 2012 from 9:00-3:30pm
Sponsors; 1. Great Potentials Ltd.
2. Radio Five-Arusha
3. Mambo Jambo FM
   4.  Friends On Friday Tz

Proposal by
CHAVALA IDEAS PLATFORM

Co. Box 34048,

DAR ES SALAAM.






 

a.   INTRODUCTION
It has been very obvious now, that there is no good linking between theoretical kind of life in schools and colleges and real life in the society; whether from High school to Higher learning Institutions or from there at the top back to street, this cause many youth to suffer stress and frustration due to the fact that, what they have always assumed and believed while in school is not exactly when comparing to reality.
A CHALLANGE

I have been doing my studies for quiet a time now about this phenomena and i have discovered a lot like

i.             Many syllabuses we study are not emanating from within our life styles, so it is something very new, full of invisible hopes and fake destinies

ii.            Many African youth are lazy, they always want light and easy things, so they always just concentrate on what is available in their syllabuses and can’t access any other materials and thus remain very behind when you came to reality.

iii.           Integrity and commitment is now very low, firstly of Tutors to students and the other way round; and because most of tutors are so light and information less, they never think of helping their students but rather gaining from them at whatever means and tactic.

iv.          Many youth chooses courses to study not out of passion and purpose but out of hope that it pays in the market, and so as time goes the scenario of being wanted decreases as they graduate and thus they just hang without any hope.

v.            Many people especially youth are very lazy; they can’t think or create new ideas but what they know is just copying whatever seem to be paying in the market and such habit of anybody doing anything has highly affected the quality and standard of whatever is been nowadays.

A SOLUTION NOW!!

After analyzing well more than this fact, i came with idea of trying to help at least, because i am sure i can’t make it all alone at all.
So i will be organizing special seminars to pre-university students and pre-home ones each year in all cities and towns of Tanzania.
These seminars will be involving different professionals and speakers from within the country rather of the middle age with at least little visible/narrative experience, so that students can have full real picture of what they about to face just after the seminar
I am sure any attendant of any of our seminar won’t remain the same at the end of each seminar, for the seminar will be involving them fully.

b.  SEMINAR DETAILS

The seminar will involve speeches, interviews, Q/As, I.Q Games, Socializing and Networking.
The seminar will be free to all and every attendant will have to incur cost of meals for that day.
AWARDS
For those who will wish to have certificate of recognition that they attended the seminar, perhaps to add value to their CVs, they will be given at the cost of just 10,000/= each.

TOPICS

Areas which will be covered at this time this seminar will be like how best is
i.             GOING FURTHER WITH EDUCATION
ii.            GOING TO WORLD OF EMPLOYMENT
iii.           GOING TO THE WORLD OF INTREPNEURSHIP
iv.          GOING TO THE WORLD OF MARRIAGE
and

HOW TO PREPARE TO BE GOOD DIPLOMAT AND POLITICIAN!!!

Each topic will be presented hardly for 45min very professionally and after ward we will have session of raised Questions and Answers from all presentations and all we have to participate in this session.

We will have few games and I.Q puzzles for all in order to raise awareness of concentrating in on-going seminar.

c.   SPEAKERS AND FACILITATORS

For this coming seminar we expect brilliant speakers; here are their names and profiles

1.     Mr.Prosper Mwakitalima(Dar),(Studied PSPA at UDSM)

M.D in MANCON E.A Ltd
One of Directors of BRIDGE Co Ltd
The 2011 Campus Night Coordinator,
Successful entrepreneurs, event organizer, motivational speaker and Leader


2.    Samwel Sasali(Dar);(Studied HRM at Mzumbe)

Country HR-Benson Informatics
After working at Ilala municipal and HUWAEI Tanzania
C.E.O at Papaa Entertainment
Founder of many ideas such as Marafiki Huru Network,Friends On Friday and blog called samsasali.blogspot; motivational speaker, event organizer, MC and to mention a few.


3.    Fredy E. Chavala(Dar);


Studied Business Adminstration and Management at CBE-Dar)
President-Chavala Ideas Platform
M.D (Business & Management Consultant)-Great Potentials Ltd
Founder and King of Christian Stand Up Comedy Tanzania and the so called LAUGH AGAIN CONCERT SERIES.
Motivational speaker, author, MC, Activist, Practising Entrepreneur and blogger of blogs such as gospelstandardbase/chavalapf/kingchavala.blogspot.com



4.    Mr&Mrs Pastors Mgodo(Ars)
Ordained pastors living and working in Arusha.
Deal with Relationships counselling and mentalling and the run a project called
MARRIAGE TALK each month, special for couples.

PANELISTS

We will have time to interview the following people, i am sure they will also raise some hidden questions among attentants

1.     Elisha Twisa


Financial Manager-Word Vision, Headquarter
Event organizer and Entrepreneur
Chairman of FoF organizing Committee of Arusha.




2..Deo Meck


 IT personnel working with Olympus Computers
Politician has worked with CHADEMA anciently


3.    Sarah Chriss


Student of HRM at Daystar University-Kenya
Working with World Vision Tanzania



4.    Tuntufye Andrew

Diplomat/Secondary Teacher in Arusha
Motivational speaker/Event organizer and Author

.......ANOTHER GREAT IDEA.."NIGHT OF TRANSFORMATION" MANIFESTED IN ARUSHA!!

 I real enjoy how few youth visionaries take their time and efforts to invest in their fellow youths.
(The Voice of The Lord from ICF of IAA praise and worship)

I was called in Arusha to moderate a very important event that was titled as
NIGHT OF TRANSFORMATION,
 the event which comprised different intellectual youths from Arusha and Kilimanjaro collages and universities.

The Vision has emerged and carried by ERICK NZOWA, A  student of Institute of Accountancy  in Arusha.
(Erick Nzowa,the Vision bearer)

This boy also decided to take take his boom and raise some other amount just to make sure his Vision is fulfilled!
Speakers of this event were Bro G.Kingu and Bro A.Kapola
(Bro G.Kingu,Mc Chavala and Antony Kapola)

People praised,danced and enjoyed before the Lord!
Other were prayed for and also preached at!
Great Interview which i did with speakers of the day before they preached  it was real awesome!

The event was covered and thus if you need to see a DVD just contact the organizing committee via me/this blog!
(mmoja ya watu waliombwewa ni huyu ambaye alipona ulcers right at madhabahu)

                                          It was very great event and it was awesome!

                             Glory will remain to be the project of God forever,amen!!

.....THE NIGHT OF IMPACT is the great and very workable IDEA!!!

(MC Chavala at work)

When we talk about workable ideas,we mean valid ones;reliable,legal and fruitful!
(SUA INTELLECTUALS DURING THE EVENT)

Not every idea is new and it is not a must that it must be new,but the very important thing to consider is the positive impact of it to mankind!
(Shemeji and Glory during my Interview during the Event)

I have come across this young man called ANTONY KAPOLA,a student of SUA

(ANTONY KAPOLA just after the event)

and his crew,for sure they have inspired me....they are real making good use of their time,finance,efforts and creativity in building the Kingdom and improving their well being as well!


Compared to many youth, these students are living not by government loan but what they get out other investment!
(President Chavala with Shemeji, a born again masai student of SUA with vert great dreams)

Soon i will publish the open interview with all of them i am sure many will be inspired and waked up!
What you see here is just few pictures of what happened there!!

GLORY BE TO GOD ALMIGHTY!! 

......TANZANIA CHRISTIAN BLOGGERS WAANZA KWA MIKAKATI MIZITO YA KUUJENGA UFALME!!!

Mnamo tar 21/04/2012 majira ya saa tatu na nusu asubuhi katika kijiji cha ESAURP Survey,ndani ya ESTINA RESTAURANT ndipo ulipofanyika mkutano wa Christians bloggers ambao ulilenga kuwakutanisha watu wenye blog za kikristo!!

Zaidi ya blogers kumi walihudhuria na wachache wenye nia ya kuingia katika tasnia hii hivi karibuni
na mwingine aitwaye KIBASA alishiriki mkutano huo moja kwa moja toka nje kwa njia ya skype!
Mkutano ulianza kwa wajumbe kujitambulisha na baadae wajumbe mbalimbali kutoa michango yao ya mawazo
Alianza kuzungumza mkongwe,namaanisha blogger mwenye zaidi ya miaka kumi kwenye tasnia hii MR MBUTO!!
Baadaye pia Victor Nivox blogger wa Hossana Inc. alitoa mchango wake wa mawazo ambao ulilalia sana kwenye eneo ufundi zaidi!!
MUSSA mwanaharakati asiye na woga hata kidogo ambaye anaiendesha blog ya kisiasa na harakati za ukombozi wa mwanadamu alipata nafasi ya kuchangia maoni yake na kuonyesha dhamira yake ya dhati ya kuingia huku kwenye ulimwengu wa kikristo.
Nilibahatika pia kutoa mawazo yangu ndani ya kikao

na alifuata Prosper mwakitalima kabla ya kwenda kupata kifungua kinywa(breakfast) ambayo ilipendeza sana!
baadaye tukapata wasaha wa kupiga picha ya pamoja kwa ajili ya ukumbusho wa mwanzo wa safari hii ya kuujenga umoja,kama ilivyo ada kila jambo kwa wanahabari ni habari...so hata hapa zilipatikana habari kibao!!
Baada ya picha tulirejea kumalizia kikao chetu na tulibahatika kupata mwandishi wa TANZANIA DAIMA hivyo alibaki na Papaa kwa ajili ya short briefing ya kikao!
Kwa kweli mwanzo ni mzuri sana na kimsingi kuna mengi ya kufanya ila ukipenda kuendelea kuwasiliana na sisis basi unaweza kutembelea page yetu facebook kwa anuani hii ili ujue yanayojili zaidi!!!

*http://www.facebook.com/groups/372453386129099/*

Kwa ujumla mambo ambayo yalisisitizwa na wajumbe wote waliochangia kwa ujumla ni haya
1.Every blogger  must be educated and trained about what whatever s/he want to present including IT itself
2.Every blogger must have a specific identinty and not not just mixing every news that comes accross and moreover avoid talking much about religions and not genuine teachings/doctrines
3.Every blogger must be sure of whatever s/he post on his/her blog,must have have detailed information and advocation and moreover as far as the christianity base is concern every information must GLORIFY THE LORD AT THE END!!
4.Every blogger must invest in updating information in the blog timely and moreover sharing via different networks....it is very important for bloggers to outsource chances for different people to write in their blogs including other fellow bloggers.
5.Consider feedbacks and opinions from readers and work out on them
6.You need to consider gender,age and genereal public preferences in designings and posts
7.Excellency in working and creativity is highly needed in blogging

MY EXTRA OPINIONS
I have discovered that we have christian bloggers and christian blogs....i know in case of christian bloggers, there are plenty of them but our aim is building a platform for christian blogs and here i insist
1.We must remember that this is the ministry and blog is the altar of God if real want to save God!
2.We must be people of prayers and invest in knowing more about the kingdom
3.Every post in our blogs must be for the Glory of God and not creating fear among readers
For example YOU CAN FIND PEOPLE CONCENTRATING DISCUSSING MORE OF SATAN LIKE FREEMASONS OTHER THAN OF THE GOD'S KINGDOM!!

The gate is open for everybody who wishes to join this platform...come with new ideas and creativity!!
Blogging is not a joke,it need time and committment!

JAMBO AMBALO LIMEKUWA NI KWANZA KUFANYWA KAZI NI KUSAIDIA KUWAFAHAMISHA WANANCHI NA KUWASAIDIA KUHUSIKA KATIKA KUPATA WASANII BORA WA TUZO ZA AFRICA ZA NYIMBO ZA INJILI!!!

.....RELATIONSHIP ISSUES FROM STREET PERSPECTIVE!!!!

COMING SOOOOOOOOOOOOOON!!!
 
Kuna wengi hufundisha,kuandika na kuongea kuhusu mahusiano,mapenzi na mengine mengi yanayofanana na hayo!
wakati mwingine watu hufundisha experience ya maisha yao baada ya basics za masomo hayo!!
SASA HIVI KARIBUNI UTAKUWA UNAPATA TIPS ZA MAHUSIANO NA MAPENZI KWA JICHO LA UHALISIA!
WATU WATAKUWA WAKISHARE STORY ZAO NA MICHANGO YAO ILI IKUSAIDIE WEWE AMBAYE BADO UNAHITAJI KUJIFUNZA KABLA YA KUKURUPUKA!!!
OBVIOUS KILA MTU BADO ANAJIFUNZA!!!


(SETH G. Mwanafalsa wa mahusiano kwa jicho la experience)

HUYU NI MMOJA WA WALE UTAKAOWASIKIA

UTAWASIKIA WENGI SANAA!!

JUST STAY TUNED!!!

THE BRIDGE OF VCC!!!!

(VIJANA WAKISEBENEKA)

DO YOU HAVE ANY IDEA ABOUT THIS???


Why should we study the Bible?

 

 


A. Introduction

  • Is it not sufficient just to read the Bible?
  • Is it really necessary to study and research, which requires much effort?

Yes. It is absolutely necessary because:

1. It is an inexhaustible treasure

Read Psalm 119:162 and Job 11:7-9

a) Treasures are seldom found on the surface. You must dig for them.

b) You will find, as Job did, that there are no limits when you search for the deep things of God.

c) The Word of God is the greatest, most valuable, treasure on earth.

Illustration: For how much silver and gold would you sell your Bible, if you were never allowed to have another one?

I would not sell it for all the gold in the world!!!

2. It is a divine revelation

Read 2 Timothy 3:15-17

It is the only book in man’s possession "written" by God and revealing His will.

In it we find God's revelation about man, sin, death, hell, about the way of salvation, eternal life, heaven, about the Christian life, the church, the future - yes, about anything concerning life and godliness.

It is God Himself reproving, correcting and instructing. His purpose is to keep us on the straight road - in His perfect will.

If we allow the Word to do its work, we will be complete (perfect) and thoroughly equipped for every good work. Verse 17.

3. There is great joy and benefit in studying God's word.

Read Psalm 1:2-3.

a) "Like a tree" which constantly drinks the living water.

b) Notice - we should "meditate" on His Word day and night. Meditate means "to think deeply about".

c) The result will be growth and plenty of fruit, a life that will prosper in the will of God.

Read Psalm 119

a) This is the longest chapter in the Bible, having 176 verses.

b) Almost every verse mentions the Word of God and the wonderful benefit there is for the one who studies and keeps it. (N.B. It is enough if God says something once only. Don’t allow the advertising syndrome of repetitiveness to determine your spiritual life).

c) Go through each of these verses (in your own time) and you will be completely convinced of the blessing and importance of studying the Word of God.

Read Joshua 1:7-8.

a) Here the Lord Himself commands Joshua to read and meditate on His Word day and night.

b) It is clear here, that the study of the Word has an exact purpose: that we may carefully do everything written in it. The result of this will be that we may prosper and be successful.

A parallel Scripture in the New Testament (2 Tim 3:17) tells us “that the man of God may be perfect and fully equipped.”

  1. Symbols for the Word of God

The many "symbols" used in the Bible for the Word of God also indicate some of the powerful results of studying the Word. Let's look at some of them:

1. A lamp and a light

Read Psalm 119:105

a) Right from the first page of the Bible, where darkness is upon the face of the earth, we see that God’s Word brought forth light.

b) In the first chapter of John's Gospel we read that Jesus, as the Word, shines into darkness and overcomes it. Verse 5.

c) All unsaved people are in spiritual darkness. Satan has blinded their minds so that the light of the gospel cannot shine upon them. 2 Cor 4:4

d) But: "God has delivered us from the power of darkness and translated us into the Kingdom of His dear Son". Col 1:13.

e) For the child of God, the Word is a wonderful guiding light. "We would do well if we heed it." 2 Pet 1:19.

Illustration: If a ship’s captain heeds the guidance of the lighthouse he will do well. If he ignores it, he will end in great disaster! The same is true for any person who ignores the Word of God!

3. A mirror

Read James 1:22-25

Who do I see when I look into a mirror? I see myself! The Word shows me "what I really look like". But it also encourages me to correct my appearance. If I do, the Word says I will be blessed.

Read 2 Corinthians 3:18

The Word also shows us Jesus in all His glory. As we keep on looking at Him in "the mirror" we are transformed into His likeness, from one degree of glory to another. Just as we use the natural mirror several times a day - let it be the same with the spiritual mirror. We are encouraged to meditate on the Word day and night.

4. A Bath (washing with water)

Read Ephesians 5:26

Physically we know how important it is that we wash daily.

Spiritually it is the same - there is an ongoing washing process needed. The Word is a wonderful cleansing water that washes our soul, as we study it under the guidance of the Holy Spirit. The Word introduces the blood of Jesus which washes away stains, wrinkles and blemishes. It makes us radiant, holy and blameless.

As we study and apply the Word we are being changed from glory to glory into a radiant "bride".

5. Food

Read Hebrews 5:12-14

As our physical body cannot function without food, so our spiritual life needs the food of the Word. It must be a balanced diet fit for the level of maturity of the person.

"Milk" is the wonderful gospel and the foundational teachings found in Hebrews 6:1-2. "The solid food" is the study of the deep wonderful truths of the Word of God.

If we study and apply the Word, we will grow in maturity and will be able to teach others.

6. A sword

Read Ephesians 6:17 and Hebrews 4:12

The Word is a wonderful weapon to defeat the enemy - the very weapon Jesus used when tempted by Satan. Luke 4:4 and 8.
The Word has also the ability to cut right into the very core of our being. See for example the account of the day of Pentecost. Acts 2:37.

A natural warrior needs daily training to be really skilled with his sword. The same applies to a spiritual warrior.

7. Seed

Read Luke 8:11

There is life and great potential in the Word. The better prepared the soil of the heart is, the more effective and fruitful the Word becomes in our lives.

8. There are several other symbols which show the powerful effect of the Word. We will not discuss them here in detail, but some of them are:

a) Rain and snow: Isaiah 55:10-11.
b) A hammer: Jeremiah 23:29.
c) Fire: Jeremiah 20:9.