CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

Papaa On Tuesday......Usitukane Wakunga Wakati Uzazi Ungalipo


Ninakila sababu ya Kumshukuru Mungu kwa siku ya leo kwa kuweza kunipa nafasi hii muhimu kuongea na Marafiki kwa njia hii ya Fasihi Andishi. Wakati Tukisubiri Matokeo Ya Uchaguzi Kenya Basi Ipo haja ya Kujifunza Kutoka kwa wenzetu katika Kile Wanacho Kifanya


Nimegundua Ukioa Mfanyakazi Wa Bank, story nyingi baada ya kutoka Kazini itakuwa issue za wateja mara sijui transaction imefanyaje, mara hakuja balance, Ukioa Mwanasheria jiandae kuwafahamu ma jaji na mawakili wa Tanzania, maana utasikia sijui Kesi Hii inasimamiwa na Jaji Manento huyu jamaa ni nouma, sema Wakili Peter Kibatala nae yuko fiti, Ukioa Mwalimu Jiandae Kufahamu Taasisi zote zinazotoa Mikopo Tanzania, Ukioa Daktari ama Nurse jiandae kupokea story za Wagonjwa, Operation, Uzazi na aina za dawa na magonjwa mapya kila siku. 
Najua wengine ni kizazi cha dot com hapa hawajasoma methali wala hawajui tafsiri zake, lakini wengi pia Watoto wa Mahospitalini utajulia wapi mambo ya maneno kama Wakunga??Leo nataka tuongelee

PUMZIKA KWA AMANI BIBI KALLOVA!!

ALHAMISI JIONI YA WIKI JANA BIBI YANGU MZAA BABA ALITUACHA BAADA YA KUTESEKA KWA MUDA MREFU!
TULIMUAGA NA KUMZIKA JMOS KATIKA MAKABURI YA SEMTEMA-IRINGA!
NINAWASHUKURU WATU WOTE WALIOFANYIKA FARAJA KWETU KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU!
KWA NIABA YA FAMILIA NA UKOO NASEMA AHSANTE SANA NA MUNGU AWABARIKINI NYOTE,AMEN!!

KING CHAVALA!!

Papaa On Tuesday...A Way To Go Up Is To Go Down


Niwape pole Watanzania Kwa Msiba Uliotupata kwa ajili ya Padri aliyepigwa risasi kule Visiwani Zanzibar. Wiki Iliyopita niliandika Papaa On Tuesday nikasema Kama hatuwezi Kuziba Ufa Tutaweza Kujenga Ukuta??leo tunashindwa kuwadhibiti watu wachache wanaofanya fujo kutowesha hii amani je kweli kabisa wakifanya fujo nchi nzima hawa ndugu zetu tutaweza kweli wazuia?

Nakumbuka mwaka 2010 tulishuhudia tukio la Ki-historia kuhusu ndugu zetu wa Chile ambao walikaa ardhini kwa muda mrefu lakini hatimaye walifanikiwa kutoka. Katika story ya Chile nimependa story ya Jamaa aliyekuwa ameziba shimo la panya kwa kipande cha mkate na matokeo yake akaharibu. Katika wale waliokuwa ardhini kuna jamaa alikuwa na mke wake na kumbe jamaa pia alikuwa na nyumba ndogo ambayo alikuwa anaihudumia muda mrefu kwa siri. Siku ya kutoka kwenye shimo wanawake wote wawili wakawa wanamijihamu ya kumuona na kuwa nae teh teh yaani unaokoka na mauti tu unafikia kesi. Kuna siku tu ukweli utajulikana kwenye maisha yetu, tutajua chanzo cha vurugu hizi kweli ni uchinjaji ama kuna mengine, tutajua tu kuwa unamwibia mwajiri wako, tutajua tu wewe sio mwaminifu kwenye ndoa yako watu watajua tu wewe sivyo hivyo unavyoonekana.

Kwenye maisha yangu nimejifunza kufanya kazi na watu wengi sana hasa vijana na wanafunzi wakati mwingine watu wazima kabisa. Kuna wakati watu wazima Mitume na Manabii, Wakurugenzi na Wafanyabiashara tumewahi kukaa na kuongea mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa ajili ya huduma

#IMPORTANT TIPS#.....LEARN TO VOLUNTEER!!!


VOLUNTEERING IS NOT "A EASY/LOWLY PAYING EMPLOYMENT' BUT MORE THAN A PLATFORM TO REACH YOUR HIGHER DREAMS!!!!

I do hope that this idea will meet you rightly!!
i have meet very many people with wrong perception over this issue of volunteerism, many are treating it as low wage temporal job...that is why they either don't get those chances or when they got them, they under underperform!!
VOLUNTEERING is a willing will and act of the heart, just to pay-off a certain duration of your time to save others' objectives while gaining from it indirectly!!

Papaa On Tuesday....Leo Hakuna Papaa On Tuesday


Unajisikiaje siku unaamka ukatarajia Jambo liwe kama unavyotarajia kisha unakuta jambo lenyewe halipo kama ulivyolitarajia. Unajisikiaje leo umejiandaa kusoma Papaa On Tuesday ghafla unakutana na heading "Leo Hakuna Papaa On Tuesday" nini kinakuja kwanza kwenye Kichwa Chako??Umewahi sikia ile Sera ya "Utii Pasipo Shuruti" kwa maana ya kwamba hakuna anayekulipa mshahara kwa kazi unayoifanya Hakuna anayekushikia fimbo kuhakikisha unafanya lakini unawajibika kuifanya kazi hiyo kikamilifu sababu kuna watu wanakutegemea ufanye, utajisikiaje pale ambapo siku mtu anasema "kwanza kazi yenyewe silipwi", "Kazi yenyewe nafanya basi tu". Inahitaji Moyo Kufanya kazi kila siku kuandika Papaa On Tuesday pasipo kushurutishwa pasipo kulipwa ili kupitia kile Mungu alichoruhusu kuongea na watu wiki hiyo uweze kukiachilia.

Unavyotaka watu wa kufanyie kwenye maisha basi na wewe unawajibika kwa kipimo kile kile kuwafanyia wao kwanza, inakera sana unapoamka asubuhi watu walikuwa wanahakika utawafanyia jambo fulani kisha unawaambia kuwa lile jambo haliwezekani tena, cha

JIEPUSHE NA MATAPELI WALIOKUBUHU HAPA DSM....IMENITOKEA MM LEO 02/02/2013 KWA MARA YA PILI


Kuna utapeli fulani unaendelea Tanzania na inaelekea wanaoufanya wamefanikiwa sana na wanaendelea kufanikiwa kwani ni wa muda mrefu sasa. Nadhani matapeli hawa wanatumia ujinga wetu maana sisi sio watu wakutafuta sana usahihi wa mambo kabla ya kusema au kutoa maamuzi, pamoja na ujinga wetu wa kutaka kufanikiwa kwa haraka kwa njia yeyote ile hata kama hatujafanya kazi na bila kutumia akili. Utapeli huu sio mwingine bali ni ule wa wale watu wanaompigia mtu simu wakijifanya wanakujua kabisa na wanaweza hata kukupa some backgrounds zako za kazi, ajira au elimu na meninge hadi ukashawishika kuwa unayeongea naye ni mtu unayemfahamu/munayefahamiana na hivyo kutokua na hofu na uhalisia wa anachokuambia. Baada ya hapo wanaanza kukushawishi juu ya kuwasaidia kupata madawa ya kuhifadhi nafaka kwa madai kuwa mawakala wao ambo wamekua wakizipata toka kwao wameanza kuleta uswahili hivyo kwa vile unayeongea naye ndio anahusika na suppy, basi ameona ni vema akutumie wewe “mpendwa anayekujua” ili angalau upate hiyo commission kubwa ambayo huwapa ho mawakala na mugawane kidogo. Mara nyingi wanasema wanafanya kazi na shirika la chakula duniani (FAO) au shirika la wakimbizi duniani (UNHCR) na wako Kigoma.

Papaa On Tuesday....Mtu Aonavyo Nafsini Mwake Ndivyo Alivyo


Ninakila Sababu ya Kumshukuru Mungu kula Inapoitwa leo kwa ajili ya Upendo wake kwangu kwenye maisha yangu, ninamshukuru Sababu nina ishi vile atakavyo na sio kama watu wengi watakavyo maana kwenye Kiswahili tunajifunza methali inayosema "Miluzi Mingi Inampoteza Mbwa" we unadhani uwongo??we ishi kama watu wanavyotaka nakuambia utapotea sana. Jua kwanini Upo na Unapaswa Kufanya Nini kwenye maisha utafurahia maisha yako.

Kwenye maisha nimekutana na watu wengine walitakiwa kuwa Wanajeshi wamekuwa Viongozi wa dini, nimekutana na watu walitakiwa kuwa Waalimu Kwa sababu mbali mbali wamekuwa Askari wa Barabarani, kuna watu walitakiwa kuwa Askari Magereza wamekuwa wake za Wachungaji kwani we unadhani bongo maisha yana formula??wengi tunafanya kazi ili tupate hela, kuna wacheza movie wengi sana wako maofisini, kuna waandishi wa habari wengi sana wanauza mitumba, kuna wabunifu wengi sana mambo wako sehemu kwa ajili ya

....IF YOU MANAGED TO THINK AND COME OUT WITH AN IDEA THEN TO START IT IS NOT A BIG DEAL....JUST START DOING WHAT IS NEEDED TO BE DONE NOW!!!

IT IS HIGH TIME GUYS SINCE I WROTE HERE CONCERNING ISSUES AND WORKABLE IDEAS TIPS!!
FIRST OF ALL I AM VERY GLAD TO BE CHOSEN TO SEE 2013, I BELIEVE I AM HERE FOR A SPECIFIC PURPOSE AND ALLOW ME TO SAY HAPPY NEW YEAR TO YOU!!!!
AFTER SAYING THAT....ALLOW ME TO SHARE A BIT ABOUT WHAT POWER IT TAKES FOR SOMEONE TO COME UP WITH IDEA!!! 

In this world we live Nothing is new at all,but we are the one who are new,that is why every time we come across with matter that we have never seen before we become so excited but those matters remain just normal, but in our heads/minds we have different configurations and settings upon everything we come across with and always high attention always catch those matters that we interested most basing on background informations that we have about those issues,and all that we call it MOTIVATION/PASSION....Then the process of our brain to suitably set up those motivations in course of action in our environment, we call it THINKING, this is work involve very many inputs,energy and time and honestly speaking THIS IS THE HARDEST JOB IN THE WORLD BUT THE MOST PAYABLE ONE,and very few people opt to do this!!!
Then after thinking you come out with the product called IDEA, it might be solution oriented or problem based idea but the most important issue to consider is workability of such an idea!!!

THEN THE PROCESS OF THINKING AND COMING OUT WITH A VERY GOOD WORKABLE IDEA IS THE BEST ONE AND INVOLVE ENOUGH OF YOUR BRAIN,then going on to start it is not the big deal at all!!
I have come across very many people with very good ideas(though i am not sure if they have not just copied somewhere) but they remain stacked with thousands of reasons!!...many claim Money to be an issue but i want to tell you that money has never been a problem in this earth but the problem is your seriousness with what you have

...One thing that you need to know is this BELIEVE IN YOURSELF,TRUST YOUR IDEA then CONVINCE PEOPLE TO PUT THEIR HANDS INTO YOUR IDEA!!!

However small the Idea might be just start to do what you can do for the time being!!!

"Everything in this Earth is done by Faith,you need not to see the whole staircase,just start the first step by faith" King Martin Luther

THE POWER THAT YOU HAVE USED TO THINK(IF YOU HAVE DONE THAT) AND COME UP WITH AN IDEA IS TEN TIMES THE ONE NEEDED TO START UP AN IDEA!!

I HAVE ENOUGH EXPERIENCE AND I HAVE ESTABLISHED MANY IDEAS AND UP TO NOW THEY ARE STILL OPERATING SO I AM SURE OF WHAT I AM ADVISING YOU TODAY,YOU DON'T NEED TO BE LIKE SOMEONE SOMEWHERE JUST BE YOURSELF!!
Clown Chavala
I HAVE NEVER DESPISED ANY IDEA HOWEVER SMALL IT MIGHT BE NOR ABASED ANYONE WITH AN IDEA FOR I KNOW THE BEGINNING OF ANY THING HAS SOME HARDSHIPS!!
So i want to insist once again as i am concluding my wisdom,if you think you have an idea then start working on that idea now!!!

THANK YOU FOR READING!!!
I REAL SALUTE ALL PEOPLE WHO HAVE IDEAS,AND I WANT TO ENCOURAGE YOU THAT KEEP ON PRESSING ON MPAKA KIELEWEKE!!!

By Chavala
President-ChIP
+255 713 883 797/+255 753 883 797
FACEBOOK;facebook.com/chavalapf
Twitter@kingchavala

HATIMAYE LAWRANCE NA WEMA NI WACHUMBA RASMI SASA!!

iLIKUWA VIGUMU KIDOGO KUAMINI WAZO HILI HAPO AWALI,LAKINI SASA TUNAPATA KUAMINI KUWA THAT IDEA OF LAWRANCE TO MARRY WEMA IS REAL AND WORKABLE!!
ALL THE BEST MAN!!!

LAWRANCE MWANTIMWA a.k.a GOLIATH ALIYE RAFIKI NA DAUDI KUMVIKA MTU PETE JPILI HII!!!

MAISHA NI SAFARI NDEFU SANA!!
HAKUNA HATA MMOJA AMBAYE AMEWAHI KUWAZA KESHO YA MWENZIE ITAKUWAJE!
LAWRANCE MWANTIMWA BY 2007

KUNA NYAKATI MTU HUPITA NA KUDHARAULIKA NA KILA MTU NA HATIMAYE SAA YA HESHIMA HUFIKA PIA NA SASA YULE KIJANA ALIYEKUWA SII KITU HAPO KWANZA NA HATA AKAAMUA KUSOMA KWA JUHUDI NA HATIMAYE SASA MUDA UMEFIKA IMEONEKA NA ASIKAE PEKE YAKE,MUNGU AMEMFANYIA MSAIDIZI WAKE!!

GODWIN GONDWE NA LAWRANCE
MMH JPILI HII ATAKUWA ANAMUWAHI ILI WALE WOTE WALIOKUWA WANAZUNGUSHIA MOTO WACHOMEKE WENYEWE!!

ANAJIITA LAWRANCE THE PRESIDENT AMA MC LAWRANCE MWANTIMWA,ILA MIMI KWANGU NAMUONA GOLIATH ALIYEPATANA NA DAUDI(YAANI BEHIND THE SCENE YA ILE YA BIBLE)

HAYA MKAKA NI IDEA NZURI SANA HIYO NA NDIO MAANA NIMEONA NIIANDIKE HAPA!!....NA MAPEMA TAR 14TH aPRIL ATAFANYA KWELI KABISA HAHAHAHAH!!

IBAADA HII YA KUMVIKA PETE YA UCHUMBA BINTI HUYU,ITAFANYIKA KATIKA KANISA LA CITY HARVEST,DAR-MANDELA RD-GEREJI MAHALI KILIPO KITUO CHA MAFUTA CHA VICTORIA KUANZIA SAA NNE ASUBUHI!!
WEMA MUNISI
NANI AJUAYE KUWA BAADA YA NDOA WATU HAWA WATARUDI KUISHI HUKU,MMMH JUST MY WORDS!!

NIKIRIPOTI KUTOKA MOYONI
ni mimi  DAUDI MPOLE!!

Papaa On Tuesday........Everyone Has A Story....Its a Matter Of Time


Ninawasalimu Kupitia Jina la Bwana Wangu Yesu Kristo siku hii Ya Leo. Nimatumaini Yangu Ya Kuwa wewe ni Mzima na Unaendelea Vema na Shughuli za Ujenzi Wa Taifa. Mwenzi January leo tunaugawa nusu kwa nusu ndio mwaka 2013 umeanza na kasi yake. Ninajua ni mwezi ambao kama unatafuta kukopa hela basi ujue unahitaji kuwa na vyanzo vya uhakika visivyopungua 15 maana ni mwezi ambao majority ya maisha ya kawaida ya Mtanzania tupo kwenye kuishiwa maana kwetu kujifunza kuwa kila mwezi january ni mwezi mgumu ni zoezi linalohitaji kugeuzwa nia. Kwa maombi maalum ya Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Vya Dar-es-Salaam, nimelazimika kufanya mwendelezo wa Papaa On Tuesday niliyoandika Mwaka Jana.

WOKOVU WETU SIO SABABU YA INJILI YA VITISHO BALI SABABU YA UPENDO WA MUNGU TU KWETU!!!


Inawezekana mtu uliokokoka baada ya kutishiwa au kutishwa na mwingine mkumbo ma labda mwingine aliumwa sana sana mpaka akakaribia kufa hivyo namna pekee ya kuwa salama ilikuwa ni wokovu,lakini sisi wengine hususani mimi na my PS tumeokoka kwasababu ya Neema yake tu!!
MIMI NAWEZA NIKAWA sina USHUHUDA KAMA WAKO ILA MIMI MWENYEWE NI USHUHUDA HAI UNAOISHI!

Leo nilipata bahati ya kuongea na my PS na nikagundua kuwa somehow tunashare track ya wokovu wetu,maana wakati anatamani kumtumikia Mungu bado alikuwa kama vile haamini au haelewi vile lakini siku moja alimwambia Mungu natamani niamke kuomba lakini kila siku naamamka kumeshakucha sasa nataka kesho uniamshe saa kumi alfajiri ili nikaombe....na basi MyPS akalala na alikuwa peke yake chumbani...na jambo la kushangaza...usiku sana aliguswa mkono kwa ishara ya kuamshwa(ni kama vile mtu alimuamsha kihalisia),na kwasababu alijua amelala peke yake na hakumwambia mtu yeyote amuamshe isipokuwa Mungu tu basi aliamka kwa mshtuko mkubwa sana huku moyo ukimwenda mbio na alipoangalia kote hakuona mtu na alipoangalia tu saa ilikuwa saa kumi kamili juu ya alama,aliogopa sana na kuanza kulia tu na kwenda kanisani kuomba na hapo ndipo alipothibitisha kuwa Mungu yupo na anamsikia na tangu hapo hata sasa Upendo wa Mungu ndio wimbo wa hekima wa my PS.

Na hata mimi nakumbuka wokovu wangu haukuwa sababu ya injili ya vitisho,bali upendo waMungu tu!!

NAWEZA KUWA SIFANYI VEMA SAAANA AU MY PS HAFAANYI VEMA SAAANA BUT WHAT I KNOW FOR SURE IS THAT WE LOVE GOD AND HE LOVES US SOOOOOO MUCH!!!

 BLESSED YOU ALL!!

Papaa On Tuesday.....Jipya Litoke Wapi Kwa Mwaka Mpya, Watu Wale Wale, Fikra Zile Zile Matokeo Yale Yale


Ninawasalimu rafiki zangu wote tulio ndani na nje ya Tanzania nimatumaini yangu kuwa tumeuanza mwaka 2013 kwa amani kabisa. Nami na team yangu nzima ya Utendaji Tunawatakia Happy New Year.
Mwaka 2013 umeanza kwa kasi sana juzi tu hapa tumesherekea mwaka Mpya Ghafla leo tarehe 8, nexr week nikiandika tayari katikati ya mwezi maisha yanasonga na siku zinasonga na mwaka utaisha tutaingia 2014.
Kati ya maneno ambayo watu wengi wanayo anaoanza kupanga mipango utasikia "mwakani nataka nianze kusoma" au "Mwakani nataka Nianze Kulima" mwingine ukumuuliza swali tu atakuambia Mwakani, utadhani mwakani huwa haifiki, Mwakani na Kesho vinapishana kidogo sana. Ukimwambia mtu tuonane lini anakuambia "kesho", au hela yangu unanilipa lini anajibu "kesho", ama ukienda maofisini kufatilia documents utasikia Njoo Kesho, Njoo Kesho ikianza hutaamini wengi huwa wanadhani Kesho iko mbali, Kesho haiko Mbali kama Mwakani ilivyo karibu.
Mwaka 2013 ndio huu umeshaingia kwa sasa yale uliyosema Mwakani sasa Mwaka ndo umeshaingia umejipangaje kutilimiliza uliyo yakusudia??kama bado una mawazo yale yale, fikra zile zile, mtazamo ule ule basi usitegemee tofauti na mwaka jana, nini kipya unacho unadhani kinaweza kukusababishia ukafanya jambo la tofauti??wengi wetu tumepanga mipango kwa ajili ya mwaka 2013 lakini ukitazama kwa kina mipango ya mwaka 2013 mingi inafanana na ile ile ya mwaka 2012 ni kama Ume Copy, Ume Edit na Ku Copy, kile ulichofanya mwaka jana ndio mwaka huu utafanya tena vile vile Jipya utakuwa umelipata wapi??Kwani umeona tofauti yoyote kwako kati ya tarehe 31 Dec, na tarehe 01 Jan, zote ziko vile vile kama Njaa iliuma kama jana, kama usingizi ulikushika kama jana, hakuna jipya linalotokea mwaka unapoanza mpya kiasi kwamba ukaamini kuna nguvu ya utendaji inakushukia kuanzia tarehe 01 January ambayo hiyo itakufanya wewe kuwa noma kuliko mwaka uliopita, mawazo uliyo nayo ni yale yale, mtazamo ni ule ule Jipya litatoka wapi??

Kuna mwandishi mmoja wa Vitabu aliwahi sema Huwezi Fanya zaidi ya Kile Unachokiwaza ama Kijua, kufanya jambo ambalo hujawahi kuwaza ana kutokulijua linaingia katika Category ya Miujiza, sababu Muujiza ni jambo ambalo hukuwahi kuwaza kuliweza ama kulipata na likakupata kwa njia ya ajabu, unless 2013 uamue kuishi kwa njia ya miujiza miujiza ndio utakuwa na matokeo mengi sana tofauti. Hata kama Umetabiriwa kwenye nyumba ya ibada kuwa mwaka 2013 wewe utakuwa unatisha funika sana haitakuwa kwako kama hautaamua kuwa na fikra mpya, Kama mawazo yako uliyonayo ndiyo yamekufikisha hapo Ulipo Kwanini Usibadilishe taarifa ulizo nazo ili uweze kufika mbalia, badilisha aina ya marafiki ulio nao, badilisha aina ya nguo ulizo nazo, badilisha aina ya taarifa ulizonazo katika ubongo, ikiwezekana badilisha hata sehemu ya kufanyia kazi, ikiwezekana develop tabia za kimaendeleo kwa afya ya akili yako. Huwezi kuwa na mawazo yale yale na fikra ile ile iliyokufikisha hapo ulipo kisha ukategemea mwaka 2013 ukafanya wonders. 

Kama unayoyajua yamekufanya umefika hapo ulipo kuna mambo mawili lazima ujue yatakutokea ukiendelea kuwa na mawazo hayo hayo, kwanza lazima ujue utabaki kama ulivyo kama hautaamua kubadilika ama utapitwa na wakati sababu mawazo uliyokuwa unatumia mwaka 2012 ni mawazo ya mwaka 2011 kama ambavyo uko 2013 unatumia mawazo ya mwaka 2012. Yamkini mwaka 2013 uko kwenye season yako, kila mtu anakutafuta wewe, kama umaarufu umekujongea tayari, kama ni fedha zinazidi kukufuata jua jambo moja ukiwa na mawazo yale yale na fikra zile zile watu watasema hauna Jipya. Na kweli Jipya utakuwa umelipata wapi wakati unawaza wale wale unafanya yale yale kisha watu watakuchoka na kukukimbia.

Think Differently and Make A Difference.

Papaa Ze Blogger
Tel. 0713 494110
Twitter: Sasalijr
Facebook: Samuel Sasali
Email: samsasali@yahoo.com

HERE THE 1st MODE CALANDER FOR 2013,YOU CAN HAVE IT IF YOU NEED!!!!

HERE IS MY GIFT TO ALL WHO WISH TO RECEIVE THIS GIFT!!!
IF YOU NEED IT(THIS ONE OR OTHER VERSIONS) JUST ORDER NOW 0713883797
HAPPY NEW YEAR 2013!!!

FoF KUFUNGA MWAKA NA "FOF EXTRAVAGANZA" NDANI YA MAKUMBUSHO 07/12/2012!!!

IKIWA NI SEASON YA PILI SASA, FOF WAMEAMUA KUMALIZA MWAKA NA EXTRAVAGANZA, IDEA IKIWA NI KUWAKUSANYA ARTIST WOTE WALIWAHI KUSHIRIKI KWENYE FOF NA HIVYO KUWA NA WAKATI WA KUMSHUKURU MUNGU PAMOJA NA KUAGANA MPAKA MWAKANI TENA APENDAPO BWANA!!
HUTAKIWI KUKOSA HII,JUST BUY YOUT TICKET NOW!!
NA UKINUNUA TIKETI 4 UNAPATA TSHRT BUREEE!!
NI 15,000 TU NA NI NDANI YA MAKUMBUSHO KUANZIA JIONI YETU MPAKA KARIBU NA SIKU MPYA VILE...YAANI HAPO ATAKUWEPO FLORA MBASHA,CHRISTINA SHUSHO,GLORIOUS CELEBRATION,CALVARY BAND,MC PILIPILI NA WENGINE WENGI,JONGEA MAPEMAAA!!!

PROSPER MWAKITALIMA ADHAMIRIA KUOKOA ROHO NYINGI SANA KUJA KWA YESU KILA TAR 23TH NOVEMBER,KWASABABU NDIYO SIKU YAKE YA KUZALIWA MARA YA TATU!!!

THIS IS SPECIAL MESSAGE/WISDOM FROM MY PS
TAR 23TH NOVEMBER, NILIKUWA SINGIDA MJINI KWA MWALIKO WA MY PS, NA HUKO KULIKUWA NA KITU KILICHOKUWA KINAITWA "SINGIDA YOUTHS AND STUDENTS FESTIVAL" KATIKA TAMASHA HILI AMBAKO HABARI NJEMA ZILIHUBIRIWA AMA KUWASILISHWA NA WATUMISHI WA MUNGU KATIKA MSINDIKIZO MKUBWA WA BURUDANI ZA KIKRISTO KAMA VILE SEBENE,COMEDY NA BURUDANI KADHA WA KADHA, KIUKWELI USIKU HUO ULIKUWA WA TOFAUTI KWANI ZAIDI YA WATU 300 WALIMPA YESU MAISHA!!!
SASA TUKIWA NA MUDA KIDOGO KANDO NA MY PS,ALINIAMBIA AMEAHIRISHA HILI TUKIO MARA TATU NA ALIKUWA HAJUI NI KWANINI NA BAADAE NDIO AKAGUNDUA KUWA EVENT HII IMEANGUKIA TAREHE AMBAYO MWAKA JANA ALIPATA AJALI MBAYA SANA NA HIVYO KUPONA(KUZALIWA MARA YA TATU), NA TANGU HAPO AMEDHAMIRIA KUFANYA MATUKIO MAKUBWA KILA MWAKA TAREHE KAMA HIYO(23 NOVEMBER) KATIKA KUADHIMISHA USHUHUDA HUO MKUBWA!!!

KWELI HILI LILINICHANGAMOTISHA SANA NA KWA KUWA NAMPENDA SANA MY PS,NIKAJIAMBIA MOYONI,MIMI NI NANI HATA NISIWASHIRIKISHE WENZANGU HEKIMA AU USHUHUDA HUU?
(NA GOOD ENOUGH NI KUWA TAREHE 23 YA KILA MAY NDIO BIRTHDAY YANGU...DAH YAANI)
WELL SAID MY PS AND I WISH YOU ALL THE BEST!!!

Papaa On Tuesday.....Kuelimika ni Kubadilika, Ujinga ni Kuamua

Zikiwa zimebaki siku 16 kabla ya Event Ya Friends On Friday Funga Mwaka yenye Jina la Extravaganza kufanyika pale Makumbusho, ninayo haja ya Kumshukuru Mungu kwa ajili ya Ulinzi wake, kipindi hiki cha Msimu wa Campus Night na shughuli zingine za Kijamii na Kitumishi nimekuwa nikitembea angani na barabarani lakini Mungu amekuwa Mlinzi Kwangu. Sina budi ya kusema asante kwa Mungu kwa Uzima na Afya na uwezo wa Kuwakilisha Papaa On Tuesday Kila inapofika siku ya Leo.

Tarehe 17 January, 2012 niliandika Papaa On Tuesday yenye heading Lile Ninalotaka Kulifanya Silifanyi, Nisilotaka Kulifanya Ndilo Ninalolifanya gonga hapa kama Hukusoma....http://samsasali.blogspot.com/2012/01/papaa-on-tuesdaylile-ninalotaka.html.
Mwaka wakati unaanza nilitoa tahadhari ya kuwa pamoja ya kuwa na Mikakati tuwe waangalifu maana yale tunayoyapanga mengi hatutayafanya. Jichunguze mambo mangapi ulipanga mwaka huu umeyafanya ukiacha yale yaliyoibuka tu na kukwamisha mipango yako ya mwaka huu. Zimebaki siku arobaini na moja (41) mwaka huu kumalizika jiulize swali kuna ulilofanya la kujivunia??




Ninakumbuka Miaka hiyo ya zamani wakati nasoma Makongo High School alikuwepo Mwalimu anaitwa "Kombaha" mwalimu huyu alikuwa na msemo aliokuwa anapenda sana kuusema tukiwa darasani hasa mwanafunzi anapokosea/misbehave alikuwa anasema "Mambo Huanzia Nyumbani". Siku moja nilimuuliza Mwalimu tukiwa Nje ya darasa maana hasa ya Msemo wake huo akanijibu "Ukimuona Mtu ameonesha tabia fulani mbaya basi jua alikuwa nayo tangu zamani sema ailikuwa haijapata nafasi, mabadiliko yoyote ambayo mtu anataka kuyafanya katika maisha lazima aanze na yeye mwenyewe, aanze na familia yake ndipo wengine watafuata" siku mwelewa mwalimu yule kutokana na Ufahamu wangu ulivyokuwa nyakati zile. Mabadiliko ya kweli huanza na mtu mwenyewe ndipo wengine watafuata. Pastor Carlos aliwahi sema "Huwezi waambia Watu Yesu anabadilisha Wakati wewe Mwenyewe hujabadilika". Kizazi chetu kina changamoto kubwa sana ya ku-deal na tatizo badala ya Ku-deal na chanzo cha tatizo hasa yale matatizo yanayotuhusu sisi wenyewe.





Sisi ni Kizazi kinachojua tatizo ni nini, na suluhisho ni nini, lakini hatutaki kufuata suluhisho linalotupasa kufanya halafu tunataka mabadiliko yawe chanya kana kwamba tumetumia njia inayotupasa kuifuata. Kizazi hiki kina jua kabisa Ukifanya jambo fulani matokeo yake ni fulani, lakini tunataka kutumia njia ile ile mbaya halafu tupate matokeo mazuri. Sisi ni kizazi kinachojua kabisa Ukifanya ngono zembe matokeo yake ni magonjwa ya Kuambukiza ama Mimba, lakini ajabu watu wanafanya ngono zembe halafu wanategemea kabisa magonjwa yasiwepo na wala mimba zisiwepo ndio maana vikitokea unakuta mtu anachanganyikiwa yaani ukimuuliza huyu mtu alikuwa hajui matokeo??atakuambia anajua sasa ajabu alitaka kutumia njia mbaya kumpa matokeo mazuri. Sisi ni Kizazi kinachojua kabisa usipoweka akiba ya fedha kwenye maisha yako utakuwa hauna maendeleo pamoja na kujua hayo yote sisi ndio watu tunaoongoza kwa kutumia fedha vibaya, sio wanafunzi, sio vijana sio watu wazima, kuna watu wanapata fedha kila iitwapo leo lakini hakuna cha maana anachofanya kwenye maisha ukimuuliza fedha zako unazifanyiaga nini cha maana utakuta hakuna cha maana anachofanya na fedha hizo.





Kuna mambo kadha wa kadha ambayo tunajua tusipoyafanya tutapata mabadiliko mazuri lakini mwisho wasiku tunaishia kufanya hayo hayo. Watu wanaofanya diet wanajua kabisa wakila Kitimoto na vyakula Vya Mafuta watazidi kunenepa, ajabu hiyo hiyo Diet aliyojipangia inamshinda. Wenye Vitambi wanawake kwa Wanaume na wale wanene wanajua kabisa ukifanya nini kwa Ukamilifu Kitambi kinapungua within a short time lakini ajabu hatufanyi, Wanafunzi wanajua kabisa Ukijiandaa tangu shule ama chuo kinafunguliwa hautakomaa kusoma siku za Mitihani lakini ajabu siku zingine zote mtu anatazama Movie mitihani ikiianza tu unamuona mtu ndo anaanza kusoma. Sisi ndio Kizazi ambacho mtu anajua anatakiwa kulipa Kodi ya nyumba mwenzi December, lakini miezi yote anakula hela zake ikifika kipindi cha Kodi ya Nyumba ndo anaanza Kukopa ili kulipa Kodi ya Nyumba, Sisi ndio Kizazi ambacho Kinamchagua Mgombea ambaye anatoa rushwa ili akatusaidie kumaliza tatizo la rushwa, sisi ndio Kizazi ambacho chombo kinachohusika kuchunguza Watoa Rushwa na Wala Rushwa kinapokea Rushwa ili kuwakinga wala rushwa, sisi ndio Kizazi ambacho Washauri Wa Mambo ya Ndoa za wengine Zikitaka Kustawi zinatakiwa ziwe vipi wakati za Kwao zinawashinda Kuziboresha, sisi ndo Kizazi ambacho Watu Unao Waamini ndio Wanaokusaliti, sisi ndio Kizazi ambacho timu zetu Simba na Yanga tunajua Tatizo ni Viongozi lakini Tunamfukuza Kocha. Sisi ni Kizazi Kinachojua madhara ya Sigala lakini tukaamua kuvuta.




Ni rahisi kuwasaidia wengine kuliko kijisaidia mwenyewe, ni rahisi kuwafokea wengine wanapokosea lakini tukasahau na sisi tunakosea, ni rahisi kuwanyoshea wengine vidole kwa mambo wanayokosea na kusahau sisi pia tunakosea. Matatizo mengi ya Msingi hatuko serious kuyatatua hata kama tunajua hiki tunachokifanya ni cha muda tu, siku za nyuma niliwahi andika Usizibe Shimo La Panya Kwa Kipande Cha Mkate..http://samsasali.blogspot.com/2011/10/papaa-on-tuesdayunaziba-tundu-la-panya.html. Wengi wa wanaoenda kuomba ushauri sehemu fulani mara nyingi sana huomba ushauri pasipo kueleza kiini hasa ila kasehemu tu ka kiini, unajikuta tatizo unalo deal nalo silo hasa linalopelekea tatizo kuwepo tabia hii imepenya kwenye Jamii yetu la kuto ku deal na tatizo la Msingi, tangu zamani tulipokuwa wadogo wazazi walitumia fimbo kutukataza mambo waliyokuwa hawayapendi kilichotokea walitujaza hofu ya kufanya mbele zao wengine fimbo ziliwasaidia wengine ziliwasaidia namna ya kubadilisha mbinu mbadala ili wasichapwe. Kufundishika ni Kubadilika huwezi kusema umeelewa wakati hujabadilika.




Mtu mwenye kuonesha kuwa amelielewa tatizo na ufumbuzi wake basi ni yule anayeamua kubadilika kueleka  kwenye maendeleo. Haitakusaidia kujua suluhu ya jambo kisha usifanye kwa faida yako na Jamii yako niliwahi andika kwenye Papaa On  Tuesday kuwa "Thawabu Ya Mtendaji, Haifanani na Msemaji" gonga hapa...http://samsasali.blogspot.com/2011/01/papaa-on-tuesdaythawabu-ya-mtendaji-wa.html. Mambo huanzia nyumbani, mabadiliko ni Mchakato, lakini ni mchakato wenye nidhamu pia. hakuna jambo baya kwenye maisha kama "Kuchukuliwa" ukisikia watu wanasema "tunakuchukulia sana" ujue wameshakuchoka sema ndo hivyo hawana namna. Inawezekana wamejitahidi kukusaidia wameona hausaidiki waka opt kukuchukulia kama mzigo ambao Mungu amewapa kwenye maisha. Kwenye ndo usipende kuchukuliwa ni ishara mbaya sana kwenye kizazi chetu, kwenye Jamii usiwe mtu wa kuchukuliwa. Kama unajua jambo fulani ukilikomalia utapata matokeo mazuri kwanini usilikomalie. Discipline ya kwenye maisha ni kitu cha msingi sana otherwise tutajua rushwa ni adui wa haki na sisi tutaendelea kutoa na kupokea, sisi tutajua kabisa ukifanya jambo A utakuwa na madhara ya afya lakini watu watasema "nimeshindwa kujizuia". Kujifunza ni Kubadilika Ujinga ni Kuamua. Mambo Huanzia Nyumbani.
Think Differently Make A Difference.
Papaa
0713 494110.

"News of VICTORY international Magazine" issue no.4 IS COOOMING OUT SOON!!!

THIS IS A NEW CHRISTIAN MAGAZINE, THAT IS BEEN RELEASED IN INTERVAL OF TWO TO THREE MONTHS AND HERE IS COVER OF THE NEXT ISSUE!!!
YOU CAN OPT TO LEARN DIFFERENT ARTICLES FROM DIFFERENT MINISTERS OF GOD AS WELL AS ADVERTISE WITH IT!!
THE MAGAZINE IS AVAILABLE IN ALMOST ALL CITIES OF TANZANIA!!!

FOR MORE INFO, PLEASE CALL +255 655 271 144

JE UNGEPENDA KUSHIRIKI ONGEA NA JANET TV TALK SHOW?? WAKATI NDIO HUU UNAKARIBISHWA SANA!!!!

ONGEA NA JANET SHOW NDANI CHAVALA IDEAS PLATFORM
HABARI NJEMA KWA WAPENZI WA CLOUDS TV, DSTV NA ONGEA NA JANET SHOW!!
KWA YEYOTE ANAYEPENDA KUSHIRIKI MOJA KWA MOJA KATIKA RECORDING YA VIPINDI HIVYO MUALIKO UKO WAZI KWA KILA MTANZANIA MWENYE AKILI TIMAMU BILA KUJALI RANGI, DINI WALA KABILA!!!
IKIWA UNAWEZA KUONGEA,KUCHEKA,KUPIGA MAKOFI,KUULIZA MASWALI NA KUCHANGIA MAADA ITAKAYOKUWA MEZANI SAA HIYO BASI WEWE NI MTU WA MUHIMU SANA!!
USILAZE DAMU AMUA KUSHIRIKI SASA, RECORDING ITAFANYIKA JUMATATU, JUMANNE NA JUMATANO PALE LION HOTEL, SINZA KIJIWENI,BARABARA YA TANDALE KUANZIA SAA NNE ASUBUHI MPAKA KUMI JIONI!!
(KILA SIKU ZITAREKODIWA SHOW NNE...MBILI KATI YA SAA NNE MPAKA SABA NA BAADA YA LUNCH MBILI ZINGINE)
HAKUNA KIINGILIO KAMA UKITAKA KUSHIRIKI, MUHIMU NI KUTHIBITISHA MAPEMA KUWA UTAHUDHURIA LINI NA UTHIBITISHO HUO MWISHO NI JPILI SITA USIKU!!!
WEWE TUMA TU UJUMBE WENYE JINA LAKO KUWENDA NAMBARI UZIONAZO HAPO JUU!!

ANGALIZO;
MAADA ZITATUMWA KWA WALE TU WATAKAOTHIBITISHWA KUSHIRIKI NA KUMBUKA WAANDAAJI WANASHIKIRIA HAKI YA KUMZUIA MTU YEYOTE KUSHIRIKI IKIWA ATAZINGATIA MISINGI NA KANUNI ZA KIPINDI!!!

KAMA MPAKA HAPA HUJAELEWA BASI ULIZA SASA KUPITIA
0713 883797