CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797

CHOOSE TO ADVERTISE WITH US.....+255 713 883 797
YES!!! SEPTEMBER IS JUST HERE!!!...THE NEW TERM IS ABOUT TO BEGIN.....YOU ARE ENCOURAGED TO BRING YOUR CHILD BEFORE THE CLOSURE OF REGISTRATION!!!....HOTLINE +255 716 230441

#.....NI MARUFUKU KABISAAAAAA!!#(01).....Kufanya Maamuzi kwasababu ya kumhurumia mwingine!!!!

HELLO GUYS!!
Ni marufuku kwa mtu yeyote yule mwenye akili timamu kufanya maamuzi yeyote yale muhimu yanayobeba mstakhabali wa maisha yake kwa kigezo cha "KUWAONEA HURUMA WENGINE KATIKA MAAMUZI YAO"


Kwa mfano;
Eti mtu anakubali kuingia katika mahusiano kwasababu tu mtu huyo amekufuatilia kwa muda mrefu,kwa hiyo unamuonea huruma mdada au mkaka wa watu.....hivi wewe una huruma kuliko hata neno huruma lenyewe,aliyekwambia huruma ni kiunganishi nani?
AU
Eti mtu amepata kazi nzuri ambayo mahali pengine ambapo atalipwa zaidi ya mara mbili ya alipo sasa na kazi ni uhakika,lakini mtu huyo anasita na kubaki hapo,kwa madai ya kuwa mwajiri wake wa sasa atajisikia vibaya,sasa wewe unaishi kumfanya ajisikie vizuri hali unateseka na maisha yako?
AU
Mtu anakuomba umsaidie kitu,na wewe unajua kwa hakika kitaharibu muda wako na labda na hadhi yako,lakini kwasababu unamuonea huruma huyo anayekuomba basi unakubali,angalia usije ukajitafutia laana,kuna mama mmoja aliwahi kumuokoa mwanae wa kiume ili asife kwa kutembea nae baada ya kijana huyo kunywa dawa za kuongeza nguvu za kiume huku akimngojea mpenzi wake na bahati(sijui mbaya au nzuri) huyo mpenzi hakuja,na dawa hizo ukinywa usipotumika unaweza kuondoka(hivi ndivyo ilivyo),na mama huyo aliwasihi dada zake wamsaidie wakagoma ila yeye akaona ni bora amuokoe mwanae,sasa yaliyomkuta mama yule ni kupata mimba ya mwanae na ili kuficha aibu alitaka kutoa na katika kutoa sijui ilitokea defects gani mwilini basi akapalalaizi na kazi akaacha na maisha yote yakasimama na kubaki majonzi,sasa sijui huyu mama tunamsemeaje lakini hata sasa kijana alishakimbia kuficha aibu na mama ndio huyo anateseka kitandani!
SASA SIO KWA MIFANO HIYO TU BALI NA MINGINE MINGI,TAFADHALI USIFANYE MAAMUZI YA MUHIMU KATIKA MAISHA YAKO KWA KUJIONEA AU KUWAONEA HURUMA WATU WENGINE...BE REAL AND BE YOURSELF!!!
Ni marufuku kujaribu kufanya ujinga huu......kama na wewe umenielewa sema kwa nguvu.......NI MARUFUKU KABISA!!!!

"23TH OF MAY" MARK THE BEGINNING OF A NEW YEAR TO KING CHAVALA!!!

Shalom!!!
NINAYO HESHIMA KUBWA SANA KUWASLIMIA WAZAZI WANGU WAPENDWA MR.ERASTO & MRS.OLIVER CHAVALA,NA ZAIDI KUWASHUKURU KWA MALEZI YOTE MPAKA HAPA NILIPO LEO.....KWA HAKIKA NINAWAPENDA SANA!!

Ninawasalimia ndugu jamaa na marafiki na washika dau wote wa Stand Up Comedy na King Chavala kote duniani!
Kila tarehe 23/05 ya kila mwaka,huwa ni siku ya muhimu sana maishani mwangu kwasababu ndio siku ambayo mshale wa mwaka hufika ZERO na kuanza upya tena,ni siku ambayo nilikuja ulimwenguni humu kuanza kazi iliyonileta,ndio siku inayoongeza umri wangu na kupunguza muda wangu uliobaki hapa duniani,ndio siku ya kumshukuru Mungu sana na wazazi kwa malezi bora na utunzaji wa zawadi hii muhimu!
TANGU SASA NA KUENDELEA TAREHE HII ITAKUWA SIKU YA U-SMART/USAFI DUNIANI,sasa kama zote huwa mnaita kutokana na majina ya waazinilishi basi hii itaitwa "CHAVALA DAY......Siku ya usafi duniani"

Labda natania kwasababu mimi ni comedian lakini namaanisha in term of future expectation!!
SIKU HII NI NZURI MNO,NAMI NIMEPANGA KUSHEREKEA NA MARAFIKI MBALIMBALI....Kwanza siku hiyo hiyo au siku nyingine kwa niaba ya hiyo(maana hiyo ni siku ya kazi); Nitakwenda kuwaslimia Watoto Wa Mungu(Yatima) na kutumia siku yangu nzima pamoja nao,lakini usiku wa Tar 23 hiyo nitakuwa CBE-TAFES FAMILY,PALE A.17,pamoja na wanafamilia tukisherekea pamoja na kujikumbushia enzi hizo za uanafunzi.

Na siku ya jmosi 25/05/2013 tutakuwa na safari ya kwenda Bagamoyo kwa ajili ya kujifunza na kutalii,basi kama wewe umezaliwa mwezi May au ungependa tu kwenda na sisi basi wasiliana nasi kwa haraka........safari ya kwenda na kurudi kwa 15,000/= tu....NA SAFARI HII TUTAAMBATANA NA WANAFUNZI WA CHUO CHA AFYA,HKMU-MIKOCHENI

Ahsante wote kwa kuendelea kuwa na imani na mimi,ahsanteni wote msiochoka kuniombea,kunichangia michango ya aina zote,ya hali na mali,AHSANTENI SANA MARAFIKI,KAKA NA DADA ZANGU,KILA MMOJA ALIYESHIRIKI KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE KUYAFANYA MAISHA YANGU YAFIKE HAPA NILIPO NA APOKEE SANA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI!!

MUNGU AMENIPA UPENDELEO WA UHAI NA UZIMA TELE,VIPAJI LUKUKI NA ZAWADI A KIROHO NYINGI,NAJUA ANAYO MAKUSUDI NA MIMI,OLE WANGU KAMA SITAFANYA KAMA VILE MUNGU ANITAKAVYO NIFANYE!

Maisha yangu ni kwasababu ya Mungu,ninaishi na Mungu na ni kwa ajili ya Mungu.....basi Mungu wangu na awabarikini nyote!!

HAPPY BIRTHDAY DEAR MIMI!!!
King Chavala-MC
+255 713 883 797

CHUO CHA UHASIBU ARUSHA CHAKUMBWA NA DHAHAMA TENA!!!!

CHUO CHA UHASIBU ARUSHA CHAFUNGWA KWA MUDA USIOJULIKANA!!
chuo cha uhasibu arusha kimefungwa leo saa 12 jioni kutokana na kutoelewana kwa wanafunzi wa chuo hicho na mkuu wa mkoa Arusha.
jambo hili limetokea baada ya wanafunzi wa chuoni hapa kutaka kuandamana kwenda kwa mkuu wa mkoa kudai madai ya usalama wao kua mdogo kutokana na mauaji yaliyofanywa kwa mwanafunzi mwenzao HENRY KOGA kuchomwa kisu cha shingo na watu wasiojulikana na kumpola LAPTOP na mali zake nyingine.
kitendo hicho kiliwakumbusha machungu wanafunzi wa uhasibu kutokana kupita kipindi kifupi kupita tangu aliyekuwa mwanafunzi wa chuo hicho OCTAVIAN BUKAJUMBE kuchomwa kisu na kuuawa mazingira ya chuo hicho hata miezi miwili haijapita.
Kabla fujo na mabomu ya machozi kuanza kurushwa kila mahali wanafunzi walikutana chuoni eneo linaloitwa FREEDOM SQUARE wakipanga namna ya kuandamana kwenda kwa mkuu wa mkoa. RPC alifika pamoja na UONGOZI wa CHUO wakijaribu kuwazuia wanafunzi wasiandamane.
wanafunzi walionyesha kutowasikiliza wakimtaka MKUU WA CHUO ambaye alitafutwa bila mafanikio. kelele za wanafunzi zilipungua pale Mbunge wa jimbo la Arusha Godbless LEMA kufika chuoni hapa mnamo mida ya saa 4 asubuhi na kuwatuliza kwa kumpigia simu mkuu wa mkoa wa arusha kufika chuoni na kusikiliza madai ya wanafunzi hao. hasira za wanafunzi zilipanda baada ya mkuu wa mkoa kufika na kusema "hawezi kuongea na watu wasio na nidhamu" pia hawezi kuongea bila kipaza sauti akisahau kuwa wanafunzi hao wanauchungu na hasira za mwenzao kuuawa kinyama.
Mabomu yalianza kupigwa baada ya mkuu wa mkoa huyo kuonyesha kutojali kile wanafunzi wanachotaka. ndipo walipoanza kuzomea na kurusha chupa kwa mkuu wa mkoa na askari kuanza kupiga mabomu ya machozi...
Baadhi ya maafa yaliyotokea ni baadhi ya wanafunzi kuzimia na wengine kujeruhiwa na kuibiwa mali zao wengine wamekamatwa..wanafunzi waliobaki wametakiwa kurudi nyumbani kwao mikoa mbalimbali ndani ya Tanzania kwa muda usiojulikana.
Matukio ya uporaji na kujeruhiwa limekuwa tatizo sugu kwa wanafunzi wa uhasibu zaidi kwa wanafunzi wa kiume wasiokuwa na MABWENI chuoni hapo hivyo kulazimika kupanga maeneo ya karibu na chuoni hapo. ambapo hupata matatizo hayo wanapokuwa wakirudi magetoni mwao na wakati mwengine wamekuwa wakivamiwa huko huko kutokana na kutokuwa na usalama wowote.
Kimekuwa ni kilio jwa wanafunzi hao waweze kujengewa BWENI la wavulana mahali hapo bila kupata majibu yeyote.
Historia ya Marehemu
Jina: HENRY KOGA
Mwenyeji: IRINGA
Alikuwa anasoma: SHAHA YA FEDHA NA BENKI (mwaka 2)
Aliuwa: KWA KUCHOMWA KISU NA VIBAKA
Muda: KATI YA SAA 4 NA SAA 5 USIKU

JIHADHARINI SANA NA HAWA WEZI WA MTANDAONI!!!!

Hello it is high time now!
Natumai wasomaji wangu wote mko poa!
Leo natamani niwaonyeni watumiaji wote wa mitandao ya kijamii hususani facebook,Google+ na emails, kuna watu mashuhuri duniani wanaitwa HACKERS, hawa wanaweza kukutumia email kana kwamba wao ndio operators wa hiyo site ambayo wewe una email yako,na wanaweza kudai kutaka kufanya mabadiliko na hivyo wakaomba majina,umri pamoja na password na hapo ukiwapa wanaingia kwa account yako na kuitumia vibaya labda kuomba msaada wa kifedha kwa watu kwenye account yako then wewe huwezi kufungua tena!

PILI kuna hawa wanaitwa CYBER THIEVES hawa wanatumia njia ya kuwatumia watu eti wameshinda bahati nasibu,basi watakuomba details zako na ukiingia tu mkenge basi umeliwa,pia katika kundi hili wapo wengine hujifanya wana deal za muhimu hivyo huomba urafiki na hata kukupigia simu na hapo watakuja na hadithi za eti kuna fedha benki na mrithi kafariki so wanataka uwe wewe,hapo usipokuwa makini watakuwa wanakuibia taratibu...mimi Chavala niwewahi kuibiwa karibuni $4000 mwaka 2006 ndani ya kipindi cha miezi kama sita hivi,maana niliaminmi kuna deal kweli,nikawa natuma pesa tena wanakupa document nyingine nikatuma tena na tena na tena na baadae wakapotea na hapo ndio nikawa niimeibiwa mazima...haikuwa kazi rahisi maana nilikaribia kuchanganyikiwa,but sasa ninawajua hivyo nakuonyeni usijaribu kujisumbua ...HAKUNAGA PESA YA RAHISI KIASI HICHO POPOTE!!



Na kipindi cha karibuni wapo kwenye mitandao ya kijamii hususani facebook,ni wanaume wanacreate accounts na kuomba urafiki na hata kama sio rafiki basi wanakutumia inbox na kuomba ukaribu na wewe kwa account nyinginezo wanazokupatia,na ukirogwa tu kuanza kuwasiliana watakuvuta mpaka watakuibia,maana wanajua watu wengi wanawaamini sana wasichana na kupenda ngono za reja reja!!

HAPA CHINI NAKUPA MIFANO HALISI YA MAIL HIZO,NA HIZI ZIMETUMWA KWANGU!!!

*****************************************************
Griscilla Andrew

Hello
My name is Miss Gabriella,i saw your profile today and after going through it, i fill more interest to contact you ,i will like you to please send me an email at my email address
via (gabriellaandrew20@yahoo.com) for me to send you my pics and to tell you more about me. wait for your replied thanks.
*************************************************
Vivian Jones Vivian

Hello Dear
It really is a pleasure to come along your profile, and I Miss Vivian by name, a nice looking young girl in search of friend.This is why I decided to contact you on this site, so we can be friends and also get to know each other. Age, race and religion is never a problem for me, and the only thing that matters is true love. Please contact me at my private email (joness.vivian @ yahoo.co.uk) for ease of communication, and so I will give you my pictures and more details about me, I still hope for your reply, have a nice day, write me on my email address.
Your new friend Vivian
****************************************************
Sliverline Williams

Hello Dear ..,
How are you?
My name is Sliverline. I am a female and I would like to add you as my friend and to establish a long lasting relationship with you.You are free to email me back via my email address.; sliver_lineon@ymail.com ;please If you are interested in knowing more about me OK? so I can send you my picture and tell you more about me. I'll be waiting to hear from you with love,

Yours lovely,
Sliverline.
kiss____¶¶¶¶¶__AM___¶¶¶¶¶ IN
_____¶¶■޶¶¶¶¶Ž■޶¶¶¶¶■޶¶-
____¶¶■Ž█████޶Ž████Ž- ¶¶
___¶¶■Ž███████Ž█████- Ž■ ¶¶
___¶¶■Ž████████████- Ž■ ¶¶
____¶¶■Ž███████████Ž- ¶¶
_____¶¶■Ž█████████Ž■ ¶¶
_______¶¶■Ž██████Ž■ ¶¶
_________¶¶■Ž███Ž■ ¶¶ LOVE
__________¶¶■Ž`█Ž■ ¶¶
___________¶¶¶¶¶¶¶¶
*****************************************************
Alice Koly

I saw your profile i pick interest on it and if U don't mind i will like you to write me on this mail ID( alice_koly@ yahoo. com ) am waiting to read from you,because i have something VERY VERY important and urgent to tell you In my reply i will send U more of my beautiful picture

Please try write me direct to my email address so that i can be able to responds back to you OR you can give me your own Email so that i will replied you direct to your Email ID you give me my e-mail ( alice_koly @ yahoo.com )
*********************************************************
Peaceful Peace

My dear,
Thanks for your reply, Please i have very important issue to discuss with you, But i want you to write me later through my private email( peacetagro@ hotmail.com ) It's important,so through email is the possible way for me to communicate with you.
***********************************************************
Nnice Chansa

Hello,its my pleasure to contact you,after going through your profile,i am looking for a honest person,and i think i have found you, you can get me back through my email (annicegabriel@live.com) as soon as possible ,so that i will tell you better about my self and also send to you picture,please do not reply me here in this site,just write to my email ok.

(annicegabriel@live.com)



JIHADHARINI SANA JAMANI MSIJE MKASEMA HAMKUONYWA!!!


KWA LEO NI HAYO TU!!


kING cHAVALA
+255 713 883 797

PSYCHOLOGICAL THEORIES ABOUT LOVE!!!!(WHAT DO YOU SAY?)



Women are more attracted to men who resemble or behave like their fathers.

Men are more attracted to women who resemble or behave like their mothers.

The majority of people will fall in love approximately seven times before marriage

Some individuals who claim to never have felt romantic, might suffer from Hypopituatarism - a rare mental disability that doesn’t allow a person to feel love.

Studies show that the risk of a ‘secret love’ being revealed only heightens romantic feelings.

“Frustration Attraction” is the condition of being overly attracted to someone only because they’ve rejected you.

At a critical time in childhood (between the ages of 4 - 6) boys and girls who live in close proximity, lost their ability to fall in love with each other.

When a person falls in love, the ‘ventral tegmental’ area in the brain floods the ‘caudate nucleus’ with dopamine - the same chemical found in cocaine.

When looking at someone you love, the neural circuits in your brain responsible for social judgment are suppressed.

A study of college students who had recently experienced rough break-ups showed they had strong activity in the ‘insular cortex’ - the part of the brain that experiences physical pain.

Studies show that if a man meets a woman in a dangerous situation (or vise versa) he is more likely to fall in love with her.

The ‘Romeo & Juliet Effect’ is when a difficult situation with challenges or obstructions only intensify one’s love.

Men & women are subconsciously attracted to those with a symmetrical face.

Men in love show more activity in the visualization part of the brain, while women in love show more activity in the part of the brain that governs memory.

40 - 70% of female homicides are committed by their lovers or spouses.

^ That wasn’t very romantic, was it?

Staring into a lover’s eyes can be a great way to strengthen bonds. In an experiment, complete strangers of the opposite sex were put in a room together for 60 minutes. They were asked to chat for 30 minutes, then only stare into each other’s eyes for the remainder of the time. Many felt a deep attraction for one another, & two pairs married each other six months later.

The urge to fall in love, like hunger & sleep, is a primitive, biological drive.

ACCORDING TO YOU,WHAT DO YOU THINK IS TRUE???

Papaa On Tuesday...Usipoziba Ufa Utaweza Kujenga Ukuta??


Ikiwa hang over ya Pasaka ikiendelea kwa baadhi ya watu wengine leo wameingia ofisini huku wamekunja nyuso zao walitamani leo iwe Jumanne Ya Pasaka ili wasiende maofisini lakini hata wangeweka mwezi wa Pasaka ajabu siku ya kwenda ungekunja tu uso wako.

Robo ya kwanza ya Mwaka imeisha tumeingia robo ya pili bado unamatumaini ama ndo unaona tarehe zinasogea sogea na unabaki hujielewi elewi??jipange aisee mwaka utaisha na mambo yatakuwa yale yale. Wahenga walisema usipoziba ufa utajenga Ukuta. Ni maneno ya hekima ambayo mababu zetu walituachia ajabu katika kizazi chetu watu wengi hawaijui hii wao wanajua tu methali za Kizungu, misemo ya mababu wazungu wakiamini ndio yenye maana zaidi.

Maisha ni muunganiko wa mambo mengi sana ambayo yanakujenga wewe kama wewe na yananijenga mimi kama mimi. Kuna mambo ambayo pole pole unayejenga ama unayafanya leo unadhani unaweza kuyamudu tu hata madhara yake hapo baadae. Unasahau kuwa tabia hiyo inatengeneza Ufa ambao baadae itakulazimu kutengeneza Ukuta. Gharama ya Ukuta haifanani kabisa na gharama ya kuziba ufa.

Yamkini wengine wamekuwa wakienda kanisani ama misikitini pale wanapojisikia kufanya hivyo kwao zile sio nyumba za Ibada ni nyumba za Msimu, leo mtu anakuja kesho anakuwa amechoka. Hakuna haja ya Kujiita wewe ni Mkristo wewe Ni Muislam safi wakati nyumba ya Ibada kwako ni kama Kituo cha Sensa mara moja kwa mwaka ama miaka mitano. Unaenda Kanisani ili Ukifa wajue wewe ni muumini wa Kanisa hilo??unaenda unapoenda ili upate mume ama mke??umewahi kujiuliza leo nafsi yako nani unayemtegemea katika kila unachofanya??unaamini una connections??unajiamini sababu ya mumeo ama mkeo ama kazi uliyonayo??Ukampuuzia Mungu kwa hayo unayoyafanya ukadhani wewe ndio nambari one sababu unapiga hela kila siku, nikukumbushe tena, amelaaniwa kila Mwanadamu anayemtegemea mwanadamu na kumfanya kuwa kinga yake, hivi umewahi waza huyo unayemtegemea mpaka unawadharau wengine siku akifa utakuwa mgeni wa nani??unadhani cheo ulicho nacho na nafasi uliyonayo ndio imekuwa tiketi ya kuwa fuska na kunyanyasa wengine??Chozi la Munyonge Malipo Kwa Mungu baba FM Academia huwa wanasema. Biblia iko wazi apandacho mtu ndicho atakachovuna. Ni heri ukajirudi leo maana gharama ya kujenga ufa uliouweka kwenye maisha na watu wanakuzunguka unaweza jengeka kuliko siku umepoteza kazi, ama umelazwa hospitalini hoi, au unayemtegemea kuwa ndo boss wako siku Mungu akaamua tu kukufundisha adabu wewe na watu wenye tabia kama yako, si unajua kila kifo cha Mbongo kuna kitu cha kujifunza??siku ya kufa haina taarifa uliza waliodondokewa na Ukuta pale town Posta Dar watakuambia.
Kuna tabia ambazo pole pole zinaendelea kwenye maisha yetu ambazo tunadhani madhara yake ni madogo hapo baadae na tunashindwa kujiuzia kwa sasa na tunasahau kuwa gharama ya kujenga ufa ni ndogo. Mara kadhaa nimekaa na watu ambao wanadai wameokoka na katikati ya mazungumzo wakatoa na matusi, mwanzoni nilijua utu wa kale bado unawasumbua wengine nikawasaidia na wengine sikuweza pata hiyo fursa. Lakini mwisho wa siku nikajiuliza huyu jamaa na hii tabia siku akiwa madhabahuni ghafla likamponyoka tusi akiwa ameshika Microphone itakuwaje??majuto ni mjukuu, na usipoziba ufa kuna siku itakugharimu kujenga ukuta. Kuna wengine kwa siri sana wamekuwa wakitoka nje ya ndoa zao, wengine imekuwa sio siri tena na wengi wameingia kwenye mateso ya ndoa wakiwa bado vijana sana. Nilipofanya utafiti wangu usio rasmi nikagundua wengi wao sio kwamba walikuwa hawahisi kabisa sio kwamba walikuwa hawajui kabisa ila hawakujua tatizo litakuja kuwa kubwa kiasi hicho by the way walijua wenza wao wataacha. We haijawahi kukutokea kwenye maisha mtu anakuomba msamaha mpaka analia kwa kosa alilofanya halafu baada ya siku chache anafanya tena kosa lile lile na anajuta vile vile mwisho wa siku anakuambia hawezi kuacha utafanyaje??siku muulize alianzaje anzaje??alianya pole pole ufa umebomoa tabia  njema sasa kazi ni kujenga Ukuta. Kuna watu wanatabia za Kujichua kwa ajili ya kujitimiza kimapenzi, unajua madhara yake hapo baadae ya Kimwili na Kisaikolojia??ndio maana kizazi chetu kimekuwa na changamoto kubwa sana ya Kutimiziana na Kutoshelezeana Katika tendo la ndoa, wanawake wengi sana wana suffer katika ndoa zao sababu ni wachache ambao wanafurahia tendo, wanaume wengi wako busy, wanaume wengi hawana uwezo wa kutimizia hitaji la wake zao, ukitazama hili kwa kina utaona lilianza kama ka ufa lakini wengine limeshabomoa ndoa nyingi sana.
Maumivu huanza pole pole kwenye maisha yetu na majuto ni mjukuu, wengi wanajuta kwenye maisha yao si kwa sababu ya yale waliyoyafanya hapo nyuma ila wengi wanajiuliza sababu ya kufanya, hujawaji kutana na mtu anajiuliza kwanini niliamua kufanya jambo fulani, why I decided to get marriage na huyu jamaa, najiuliza kwanini niliamua a....b...c, au wengine wanajiuliza Kwanini fulani kajiua, Kwanini fulani kajinyonga. Watu wengi huwa hawaangalii sana wanachokifaanya ila wanaangalia sababu ya kufanya kile unachotaka kukifanya. Kuna vijana wengi wanataka tu kuoa kwa sasa ama kuolewa umewahi jiuliza sababu ya wewe kutaka kuoa kwa sasa ama kuolewa??Sababu yako ya ndani kabisa ambayo ulikuwa nayo pengine umri umesonga, ama ulikuwa na maumivu ya nafsi ama ulikuwa umempenda mtu kwa sababu ya makalio yake na miguu yake basi jua jambo moja usishangae kwa kile kitakachotokea pale ambapo mambo yatakuwa yanajitokeza sababu maamuzi yale base katika tamaa na sio upendo utavuna sawa sawa na unavyopanda. Unajua level ya Kukinai mambo kwa wanaume wengi iko juu sana kuliko wanawake, unaweza kuta mwanaume anatazama taarifa ya habari baada ya dakika chache kesha badilisha stesheni, unaweza kuta mwanaume kabla ya Kukupata alikuwa simu, ma sms, ma appointment kibao baada ya kukupata mambo yooote ni kama sio yeye aliyekuwa anafanya hayo hapo kabla, kwenye yale makanisa yenye utaratibu wa kupiga magoti wakati wa Kusali angalia nani huwa wananyanyuka mapema kabla ya wenzao. Wengi wamekuwa wakidhani wanaume wana mapepo sio kweli kuna ufa umejengwa kwenye maisha ya watu wengi sana ambapo hata ukiwauliza hao wanaume wenyewe hawajui. Kwa sisi tuliojua na kuamua kubadilika tunazidi kujiimarisha katika hili maana Biblia yangu inasema Utaifahamu kweli na Hiyo Kweli itakuweka huru. Kama itakufaa daka kama haitakufaa potezea maana ufa kila mtu anaoujenga kwenye maisha yeye mwenyewe ndiye mwenye kazi ya kuujenga ukuta hapo baadae, ninachojiuliza ni kitu kimoja kama mtu aliona gharama kuziba ufa je ataweza kujenga Ukuta??

Ze Blogger
0713 494110
Facebook: Samuel Sasali
Twetter: Sam Sasali\
Skype: SasaliJr 

WAS MUAMMAR GADDAFI REAL A BAD PERSON TO LIBYA?

The history of Libya under Muammar Gaddafi
 **************************************
  spanned a period of over four decades from 1969 to 2011. Gaddafi became the de facto leader of the country on 1 September 1969 after leading a group of young Libyan military officers against King Idris I in a bloodless coup d'état. After the king had fled the country, the Libyan Revolutionary Command Council (RCC) headed by Gaddafi abolished the monarchy and the old constitution and proclaimed the new Libyan African Republic, with the motto "freedom, socialism, and unity".
After coming to power, the RCC government initiated a process of directing funds toward providing education, health care and housing for all. Despite the

WHY MEN DIE EARIER THAN WOMEN?(1)

Man’s Mortality Rates by Continent

Demographic data has over many years displayed a trend that is rather disturbing. For those who care to look, statistics have been churned out by WHO, UN, American Heart Association, Centers for Disease Control and Prevention, and among others, The National Research Council (USA) that suggest that men die younger than women. See the following life expectancy figures between men and women in various nations spread out in our seven continents.
As will be observed, women tend to have a lower mortality rate when compared with men. The organizations above report that the present world mortality rate is at an average of 75 years for both sexes. However, this tends to vary with each continent and individual nation. The averages are approximately as follows:
No
Region
Men's Age
Women's Age
1
North America
75.0 years
78.0 years
2
South America
73.0 years
79.0 years
3
Europe
77.0 years
83.0 years
4
Australia
78.9 years
81.0 years
5
Antarctica
76.0 years
81.0 years
6
Asia
75.0 years
87.0 years
7
Africa
56.0 years
58.0 years
These statistics vary with time as general health care improves all over the world. Data shows that Japanese live longer than other people in the world but compare well with those in Europe, while men’s expectancy in Australia exceeds the one in Japan. Japanese men expect to live for 76.3 years while women live 82.5years on average, 6.2 years longer than their male counterparts. French women come second with 80.9 years.
Life in Africa is still precarious with many issues preying upon the average African life experiences. However, recent reports indicate that life expectancy in Africa has greatly improved by 40% while the same expectancy continues to recede in other parts of the developed world. This is mainly attributed to improved health care and nutrition.

.......TO BE CONTINUED!!!!

MMMH.....I HAVE MISSED A GOOD TITLE, BUT IT IS ABOUT "POPE"!!!

Pope's resignation reshapes traditions!!!

Benedict's decision to step down unnerves the usually plodding church leadership; cardinals have shown an unusual feistiness in the more open atmosphere.

here is GOSPEL SINGERS’ BREAKFAST in SUMMARY!!!

Hello guys,what's up?

here is another divine workable Idea! to be done on 06th April 2013 at City Harvest Auditorium, Victoria service Station 1st floor, mabibo Garage along Mandela road from 08-1230pm
here is what mean with it;

“A special divine social, spiritual and intellectual based morning feast through which all ready and willing Tanzania gospel singers (ready on board and those who are in-process of coming) and all other stakeholders from all strata and diversities will mingle together for soul, mind and body foods, in order to be STRONG in all spheres of life, for the sake of improving our servant hood, our focus and efficiency in serving and manifesting the Kingdom of God in Tanzania and in the Universe. Hopefully this event will serve singers to be impacted, motivated, inspired and challenged to think bigger. Moreover it will help them to familiarize, socialize, and strategize more on how to build a better united, focused future oriented powerful Gospel family in Tanzania, East Africa and Africa which dwell in Gospel Standards!”

Hope all Gospel Musician will be there!!!

Tchaoooooo!

Papaa On Tuesday....Siri Za Makosa Yetu Zinazogharimu Furaha Kwenye Maisha Yetu (2)(Hali Hii Itaendelea Mpaka Lini)??


Tunakila Sababu Ya Kumshukuru Mungu Kwa ajili ya Wakenya Kuamua Kiongozi ya Taifa lao ambapo Uhuru Kenyatta anakuwa Rais wa Nne wa Nchi hiyo, Kati ya Marais Wanne Watatu Wakikuyu na Mmoja Moi ndo alikuwa M-Karamajong kama alivyo Makamu wa Rais Wa Sasa Wa Nchi hiyo. Miaka ya Nyuma iliwahi sikika Kiongozi mmoja either kwa Kejeri ama hasira kuwa "Kenya Itatawaliwa na Wakikuyu Tu". Ninamtafuta Mzee Wa Upako Antony Lusekelo alitabiri "Raila Odinga" atashinda ili nimsikie atasema juu ya haya yaliyotokea nchini Kenya. Niwapongeze sana Wakenya.


Wiki Chache Zilizopita nikiwa ninatazama Tv nilimsikia Mzee Wa Upako Akihubiri, nikatega sikio Kumsikiliza kwa sisi watu wa habari Watu Kama Mzee Wa Upako hatutakosa la Kujifunza ama Kulidadisi katika mahubiri yake maana yeye ni Mzee Wa Transformer kazi kubwa ni kulipua mabomu. Juzi wakati anaongea alitoa mfano ambao nimekuwa nikiusikia mara nyingi na hata Mhe. Vicky Kamata Kuna wimbo wa kuhusu "Kuku" ametumia mfano huo huo aliotoa Mzee Wa Upako. Mfano huo unasema kulikuwa

I APPRECIATE THIS LEVEL OF COMPOSITION....Here is the Lyrics of the song "WHEN A WOMAN LOVES"By R.Kelly!!

"When A Woman Loves"

When a woman loves
She, she loves for real
When a woman loves
She, she, she loves for real

She took me back
After I broke my heart

Papaa On Tuesday......Usitukane Wakunga Wakati Uzazi Ungalipo


Ninakila sababu ya Kumshukuru Mungu kwa siku ya leo kwa kuweza kunipa nafasi hii muhimu kuongea na Marafiki kwa njia hii ya Fasihi Andishi. Wakati Tukisubiri Matokeo Ya Uchaguzi Kenya Basi Ipo haja ya Kujifunza Kutoka kwa wenzetu katika Kile Wanacho Kifanya


Nimegundua Ukioa Mfanyakazi Wa Bank, story nyingi baada ya kutoka Kazini itakuwa issue za wateja mara sijui transaction imefanyaje, mara hakuja balance, Ukioa Mwanasheria jiandae kuwafahamu ma jaji na mawakili wa Tanzania, maana utasikia sijui Kesi Hii inasimamiwa na Jaji Manento huyu jamaa ni nouma, sema Wakili Peter Kibatala nae yuko fiti, Ukioa Mwalimu Jiandae Kufahamu Taasisi zote zinazotoa Mikopo Tanzania, Ukioa Daktari ama Nurse jiandae kupokea story za Wagonjwa, Operation, Uzazi na aina za dawa na magonjwa mapya kila siku. 
Najua wengine ni kizazi cha dot com hapa hawajasoma methali wala hawajui tafsiri zake, lakini wengi pia Watoto wa Mahospitalini utajulia wapi mambo ya maneno kama Wakunga??Leo nataka tuongelee

PUMZIKA KWA AMANI BIBI KALLOVA!!

ALHAMISI JIONI YA WIKI JANA BIBI YANGU MZAA BABA ALITUACHA BAADA YA KUTESEKA KWA MUDA MREFU!
TULIMUAGA NA KUMZIKA JMOS KATIKA MAKABURI YA SEMTEMA-IRINGA!
NINAWASHUKURU WATU WOTE WALIOFANYIKA FARAJA KWETU KATIKA KIPINDI HIKI KIGUMU!
KWA NIABA YA FAMILIA NA UKOO NASEMA AHSANTE SANA NA MUNGU AWABARIKINI NYOTE,AMEN!!

KING CHAVALA!!

Papaa On Tuesday...A Way To Go Up Is To Go Down


Niwape pole Watanzania Kwa Msiba Uliotupata kwa ajili ya Padri aliyepigwa risasi kule Visiwani Zanzibar. Wiki Iliyopita niliandika Papaa On Tuesday nikasema Kama hatuwezi Kuziba Ufa Tutaweza Kujenga Ukuta??leo tunashindwa kuwadhibiti watu wachache wanaofanya fujo kutowesha hii amani je kweli kabisa wakifanya fujo nchi nzima hawa ndugu zetu tutaweza kweli wazuia?

Nakumbuka mwaka 2010 tulishuhudia tukio la Ki-historia kuhusu ndugu zetu wa Chile ambao walikaa ardhini kwa muda mrefu lakini hatimaye walifanikiwa kutoka. Katika story ya Chile nimependa story ya Jamaa aliyekuwa ameziba shimo la panya kwa kipande cha mkate na matokeo yake akaharibu. Katika wale waliokuwa ardhini kuna jamaa alikuwa na mke wake na kumbe jamaa pia alikuwa na nyumba ndogo ambayo alikuwa anaihudumia muda mrefu kwa siri. Siku ya kutoka kwenye shimo wanawake wote wawili wakawa wanamijihamu ya kumuona na kuwa nae teh teh yaani unaokoka na mauti tu unafikia kesi. Kuna siku tu ukweli utajulikana kwenye maisha yetu, tutajua chanzo cha vurugu hizi kweli ni uchinjaji ama kuna mengine, tutajua tu kuwa unamwibia mwajiri wako, tutajua tu wewe sio mwaminifu kwenye ndoa yako watu watajua tu wewe sivyo hivyo unavyoonekana.

Kwenye maisha yangu nimejifunza kufanya kazi na watu wengi sana hasa vijana na wanafunzi wakati mwingine watu wazima kabisa. Kuna wakati watu wazima Mitume na Manabii, Wakurugenzi na Wafanyabiashara tumewahi kukaa na kuongea mambo mbalimbali ya kimaendeleo kwa ajili ya huduma

#IMPORTANT TIPS#.....LEARN TO VOLUNTEER!!!


VOLUNTEERING IS NOT "A EASY/LOWLY PAYING EMPLOYMENT' BUT MORE THAN A PLATFORM TO REACH YOUR HIGHER DREAMS!!!!

I do hope that this idea will meet you rightly!!
i have meet very many people with wrong perception over this issue of volunteerism, many are treating it as low wage temporal job...that is why they either don't get those chances or when they got them, they under underperform!!
VOLUNTEERING is a willing will and act of the heart, just to pay-off a certain duration of your time to save others' objectives while gaining from it indirectly!!

Papaa On Tuesday....Leo Hakuna Papaa On Tuesday


Unajisikiaje siku unaamka ukatarajia Jambo liwe kama unavyotarajia kisha unakuta jambo lenyewe halipo kama ulivyolitarajia. Unajisikiaje leo umejiandaa kusoma Papaa On Tuesday ghafla unakutana na heading "Leo Hakuna Papaa On Tuesday" nini kinakuja kwanza kwenye Kichwa Chako??Umewahi sikia ile Sera ya "Utii Pasipo Shuruti" kwa maana ya kwamba hakuna anayekulipa mshahara kwa kazi unayoifanya Hakuna anayekushikia fimbo kuhakikisha unafanya lakini unawajibika kuifanya kazi hiyo kikamilifu sababu kuna watu wanakutegemea ufanye, utajisikiaje pale ambapo siku mtu anasema "kwanza kazi yenyewe silipwi", "Kazi yenyewe nafanya basi tu". Inahitaji Moyo Kufanya kazi kila siku kuandika Papaa On Tuesday pasipo kushurutishwa pasipo kulipwa ili kupitia kile Mungu alichoruhusu kuongea na watu wiki hiyo uweze kukiachilia.

Unavyotaka watu wa kufanyie kwenye maisha basi na wewe unawajibika kwa kipimo kile kile kuwafanyia wao kwanza, inakera sana unapoamka asubuhi watu walikuwa wanahakika utawafanyia jambo fulani kisha unawaambia kuwa lile jambo haliwezekani tena, cha

JIEPUSHE NA MATAPELI WALIOKUBUHU HAPA DSM....IMENITOKEA MM LEO 02/02/2013 KWA MARA YA PILI


Kuna utapeli fulani unaendelea Tanzania na inaelekea wanaoufanya wamefanikiwa sana na wanaendelea kufanikiwa kwani ni wa muda mrefu sasa. Nadhani matapeli hawa wanatumia ujinga wetu maana sisi sio watu wakutafuta sana usahihi wa mambo kabla ya kusema au kutoa maamuzi, pamoja na ujinga wetu wa kutaka kufanikiwa kwa haraka kwa njia yeyote ile hata kama hatujafanya kazi na bila kutumia akili. Utapeli huu sio mwingine bali ni ule wa wale watu wanaompigia mtu simu wakijifanya wanakujua kabisa na wanaweza hata kukupa some backgrounds zako za kazi, ajira au elimu na meninge hadi ukashawishika kuwa unayeongea naye ni mtu unayemfahamu/munayefahamiana na hivyo kutokua na hofu na uhalisia wa anachokuambia. Baada ya hapo wanaanza kukushawishi juu ya kuwasaidia kupata madawa ya kuhifadhi nafaka kwa madai kuwa mawakala wao ambo wamekua wakizipata toka kwao wameanza kuleta uswahili hivyo kwa vile unayeongea naye ndio anahusika na suppy, basi ameona ni vema akutumie wewe “mpendwa anayekujua” ili angalau upate hiyo commission kubwa ambayo huwapa ho mawakala na mugawane kidogo. Mara nyingi wanasema wanafanya kazi na shirika la chakula duniani (FAO) au shirika la wakimbizi duniani (UNHCR) na wako Kigoma.

Papaa On Tuesday....Mtu Aonavyo Nafsini Mwake Ndivyo Alivyo


Ninakila Sababu ya Kumshukuru Mungu kula Inapoitwa leo kwa ajili ya Upendo wake kwangu kwenye maisha yangu, ninamshukuru Sababu nina ishi vile atakavyo na sio kama watu wengi watakavyo maana kwenye Kiswahili tunajifunza methali inayosema "Miluzi Mingi Inampoteza Mbwa" we unadhani uwongo??we ishi kama watu wanavyotaka nakuambia utapotea sana. Jua kwanini Upo na Unapaswa Kufanya Nini kwenye maisha utafurahia maisha yako.

Kwenye maisha nimekutana na watu wengine walitakiwa kuwa Wanajeshi wamekuwa Viongozi wa dini, nimekutana na watu walitakiwa kuwa Waalimu Kwa sababu mbali mbali wamekuwa Askari wa Barabarani, kuna watu walitakiwa kuwa Askari Magereza wamekuwa wake za Wachungaji kwani we unadhani bongo maisha yana formula??wengi tunafanya kazi ili tupate hela, kuna wacheza movie wengi sana wako maofisini, kuna waandishi wa habari wengi sana wanauza mitumba, kuna wabunifu wengi sana mambo wako sehemu kwa ajili ya

....IF YOU MANAGED TO THINK AND COME OUT WITH AN IDEA THEN TO START IT IS NOT A BIG DEAL....JUST START DOING WHAT IS NEEDED TO BE DONE NOW!!!

IT IS HIGH TIME GUYS SINCE I WROTE HERE CONCERNING ISSUES AND WORKABLE IDEAS TIPS!!
FIRST OF ALL I AM VERY GLAD TO BE CHOSEN TO SEE 2013, I BELIEVE I AM HERE FOR A SPECIFIC PURPOSE AND ALLOW ME TO SAY HAPPY NEW YEAR TO YOU!!!!
AFTER SAYING THAT....ALLOW ME TO SHARE A BIT ABOUT WHAT POWER IT TAKES FOR SOMEONE TO COME UP WITH IDEA!!! 

In this world we live Nothing is new at all,but we are the one who are new,that is why every time we come across with matter that we have never seen before we become so excited but those matters remain just normal, but in our heads/minds we have different configurations and settings upon everything we come across with and always high attention always catch those matters that we interested most basing on background informations that we have about those issues,and all that we call it MOTIVATION/PASSION....Then the process of our brain to suitably set up those motivations in course of action in our environment, we call it THINKING, this is work involve very many inputs,energy and time and honestly speaking THIS IS THE HARDEST JOB IN THE WORLD BUT THE MOST PAYABLE ONE,and very few people opt to do this!!!
Then after thinking you come out with the product called IDEA, it might be solution oriented or problem based idea but the most important issue to consider is workability of such an idea!!!

THEN THE PROCESS OF THINKING AND COMING OUT WITH A VERY GOOD WORKABLE IDEA IS THE BEST ONE AND INVOLVE ENOUGH OF YOUR BRAIN,then going on to start it is not the big deal at all!!
I have come across very many people with very good ideas(though i am not sure if they have not just copied somewhere) but they remain stacked with thousands of reasons!!...many claim Money to be an issue but i want to tell you that money has never been a problem in this earth but the problem is your seriousness with what you have

...One thing that you need to know is this BELIEVE IN YOURSELF,TRUST YOUR IDEA then CONVINCE PEOPLE TO PUT THEIR HANDS INTO YOUR IDEA!!!

However small the Idea might be just start to do what you can do for the time being!!!

"Everything in this Earth is done by Faith,you need not to see the whole staircase,just start the first step by faith" King Martin Luther

THE POWER THAT YOU HAVE USED TO THINK(IF YOU HAVE DONE THAT) AND COME UP WITH AN IDEA IS TEN TIMES THE ONE NEEDED TO START UP AN IDEA!!

I HAVE ENOUGH EXPERIENCE AND I HAVE ESTABLISHED MANY IDEAS AND UP TO NOW THEY ARE STILL OPERATING SO I AM SURE OF WHAT I AM ADVISING YOU TODAY,YOU DON'T NEED TO BE LIKE SOMEONE SOMEWHERE JUST BE YOURSELF!!
Clown Chavala
I HAVE NEVER DESPISED ANY IDEA HOWEVER SMALL IT MIGHT BE NOR ABASED ANYONE WITH AN IDEA FOR I KNOW THE BEGINNING OF ANY THING HAS SOME HARDSHIPS!!
So i want to insist once again as i am concluding my wisdom,if you think you have an idea then start working on that idea now!!!

THANK YOU FOR READING!!!
I REAL SALUTE ALL PEOPLE WHO HAVE IDEAS,AND I WANT TO ENCOURAGE YOU THAT KEEP ON PRESSING ON MPAKA KIELEWEKE!!!

By Chavala
President-ChIP
+255 713 883 797/+255 753 883 797
FACEBOOK;facebook.com/chavalapf
Twitter@kingchavala